Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tuliwapenda ila Mungu aliwapenda 2015

bobbi-kristina-b-768NA HASSAN BUMBULI

WIKI iliyopita katika safu hii tulikuandalia habari mbalimbali za wasanii maarufu duniani ambao wanaumaliza mwaka kwa kuonja joto la jela.

Baadhi ya wasanii hao walikuwa wanatumikia kifungo cha muda mfupi, huku wengine wanaonekana wazi kuwa mwaka mpya watauonea gerezani.

Jumamosi ya leo tunakujuza au kukukumbusha vifo vya wasanii mbalimbali ambao wamepoteza maisha mwaka huu.

KRISTINA BROWN

Huyu alikuwa mtangazaji wa vipindi mbalimbali vya runinga, mwanamitindo na msanii...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

REPEAT: Nay wa Mitego aliumizwa na hili pia mwaka 2015 ila hakuongea kwa undani kiasi hiki

Kila mtu anayo yaliyompata mwaka 2015 iwe huzuni au furaha, kwa staa wa bongofleva Nay wa Mitego kwenye upande wa mapenzi hawezi kusahau mengi ikiwemo ya mpenzi wake kuvishwa pete ya uchumba na Mwanaume mwingine wakati huohuo akiwa na Nay, mengine yote aliyoyasema yapo kwenye hii video hapa chini’ Unataka kutumiwa MSG za habari zote […]

The post REPEAT: Nay wa Mitego aliumizwa na hili pia mwaka 2015 ila hakuongea kwa undani kiasi hiki appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Habarileo

‘Wachagueni wacha Mungu uchaguzi 2015’

MCHUNGAJI Kiongozi wa Kanisa la Gloryland Tanga, Manasse Maganga amewashauri waumini wa dini ya Kikristo nchini kuhakikisha katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2015, wanachagua watu wenye hofu ya Mungu ambao wataepuka rushwa na vitendo vya ufisadi kazini.

 

11 years ago

GPL

MUACHE MUNGU AITWE MUNGU NA KAMA HUJAFA HUJAUMBIKA‏

Elisha Bahunde akiwa chumba # 8 ghorofa ya 6 alipolazwa tangia siku ya Jumatano Feb 19, 2014 alipoletwa Maryland kwa matibabu zaidi
Elisha Bahunde au Eric akiwa hana miguu wa mkono kama picha inavyoonyesha.…

 

5 years ago

CCM Blog

KANISA HALISI LA MUNGU BABA LINAWAKARIBISHA WATU WOTE KWENYE HIJA YA CHANZO HALISI CHA MUNGU BABA, MJINI KIGOMA 26 THEBETI,1(26 APRILI,2020)

KWA NINI  HIJA MOJA HALISI IKO KIGOMA?
Sauti Mpya(2019) ambayo imetangaza kuwa Tanzania ni Taifa Baba ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo imetangaza kuwa Afrika ni Bara la Nuru ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya zile Sauti Saba ilisikika Kigoma-Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya ishara tatu mbinguni (Ufunuo 12:1-9) ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya Nafsi ya Moyo (Miungu tisa mitakatifu iliyofafanuliwa ndani ya Kitabu) ilisikika...

 

10 years ago

Mtanzania

Julio: Nilijua tutafungwa, ila si hivi

Jamhuri Kihwel JulioNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Jamhuri Kihwelu ‘Julio’, amesema kuwa alijua atafungwa na Yanga, lakini si kwa idadi kubwa ya mabao kama waliyofungwa.
Yanga juzi iliwastaajabisha Coastal Union ya Tanga kwa kuwafunga mabao 8-0, ikiwa ni idadi kubwa ya mabao waliyofungwa msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania Bara, iliyo kwenye hatua za lala salama.
Akizungumza baada ya kumalizika kwa mchezo huo, Julio alisema, hakuwa na taarifa ya mchezo huo, kwani alijua watakutana nayo...

 

9 years ago

Mwananchi

Samatta, Ulimwengu waizima Malawi, ila...

Licha ya washambuliaji wa TP Mazembe, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu kuiongoza vyema Taifa Stars kuichapa Malawi mabao 2-0 jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, lakini bado ina safari ndefu kufuzu kwa hatua inayofuata.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Warioba, akuchukiaye hakosi ila ya kukutia

ANAYEKUCHUKIA hakosi kasoro au ila ya kusema kuwa nayo. Twashauriwa kutoshangaa, hasa tusikiapo maneno fulani yakisemwa na watu wasiotupenda. Yesu alisema “Nabii hakosi kupata heshima, isipokuwa katika nchi yake, na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Niva Anakesha, Ila Hana Demu

MSANII nyota kwenye tasnia ya filamu nchini, Mohamed Zuberi ‘Niva’ amesema licha ya kupenda kukesha katika klabu za usiku, lakini ‘anashukuru’ hajawahi kuchunwa na wanawake.

Niva ambaye amekuwa akiwakosha mashabiki wa filamu kwa filamu zake, alisema kikubwa zaidi anachokutana nacho ni kushuhudia mateso makubwa waliyonayo wanaume wenye kupenda kuhonga. “Kwa kweli huwa nashangaa jamaa wanaotumia mkwanja kuonga kwa ajili ya mapenzi, inashangaza mno na wanashindwa kufikia malengo yao ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani