Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Warioba, akuchukiaye hakosi ila ya kukutia

ANAYEKUCHUKIA hakosi kasoro au ila ya kusema kuwa nayo. Twashauriwa kutoshangaa, hasa tusikiapo maneno fulani yakisemwa na watu wasiotupenda. Yesu alisema “Nabii hakosi kupata heshima, isipokuwa katika nchi yake, na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA KWENYE KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KAWE

 Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba (katikati), akimnadi Mgombea  Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kippi Warioba, katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu, uliofanyika katika Kata ya Makongo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam Jumapili Sept. 20.15. Kushoto ni Mgombea Udiwani wa Kata hiyo, Charles William Iteba.
Mgombea  Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kippi Warioba, akipongezwa na wanaCCM katika mkutano wa kampeni...

 

9 years ago

Vijimambo

JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA

Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba (katikati), akimnadi Mgombea  Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kippi Warioba, katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu, uliofanyika katika Kata ya Makongo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam Jumapili Sept. 20.15. Kushoto ni Mgombea Udiwani wa Kata hiyo, Charles William Iteba.  PICHA ZOTE/JOHN BADI WA DAILY MITIKASI BLOGWaziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba (katikati), akizungumza wakati akiwanadi...

 

10 years ago

Mtanzania

Julio: Nilijua tutafungwa, ila si hivi

Jamhuri Kihwel JulioNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Jamhuri Kihwelu ‘Julio’, amesema kuwa alijua atafungwa na Yanga, lakini si kwa idadi kubwa ya mabao kama waliyofungwa.
Yanga juzi iliwastaajabisha Coastal Union ya Tanga kwa kuwafunga mabao 8-0, ikiwa ni idadi kubwa ya mabao waliyofungwa msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania Bara, iliyo kwenye hatua za lala salama.
Akizungumza baada ya kumalizika kwa mchezo huo, Julio alisema, hakuwa na taarifa ya mchezo huo, kwani alijua watakutana nayo...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Maradhi yote ugua ila BT usiombe

“…Eee bwana wee isiwe tabu huu muembe chukua wewe isipokua embe tu zikizaliwa nitachukua mie! Sasa huo muembe unautaka wa nini? Kivuli?…”Alihoji bwana Othman. Hio ilikua ni shabihisho ya funga mwaka alioitoa bwana Othman Masoud, aliyekua […]

The post Maradhi yote ugua ila BT usiombe appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

GPL

MLELA: SANAA NGUMU ILA SIACHI

Staa wa filamu Bongo, Yusuf Mlela. Gladness Mallya STAA wa filamu Bongo, Yusuf Mlela amedai licha ya hali mbaya katika sanaa hiyo hivi sasa, lakini hawezi kuacha kwa vile ndiyo kazi yake. Akipiga stori na gazeti hili, Mlela alisema hali mbaya ya soko la sanaa inatokana na mambo ya uchaguzi kwani kila kitu sasa kimesimama kupisha tukio hilo kubwa linalotokea mara moja kila baada ya miaka mitano. “Ukweli sanaa ni ngumu sana kwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Samatta, Ulimwengu waizima Malawi, ila...

Licha ya washambuliaji wa TP Mazembe, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu kuiongoza vyema Taifa Stars kuichapa Malawi mabao 2-0 jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, lakini bado ina safari ndefu kufuzu kwa hatua inayofuata.

 

10 years ago

Bongo Movies

Nisha: Natamani Kuzaa Tena Ila….

Staa wa Bongo Movies , Salma Jabu ‘Nisha’ ambaye ni mama wa mtoto mmoja kiutani utani  amefunguka kutamani kuzaa ila anahitaji ushauri azae na nani.

Nisha ambaye kwa sasa yupo nchini China, alitanhaza nia yake hiyo kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram.

"Mwaka huu mastaa wengi wamezaa  na mimi nimetamani kuzaa tena dah.. lakini wakuzaa naye sasa nanii ...  sponsor ana mkewe
gandalandizi?? atanifilisi...

Pls nishaurini jamaniii nna hamu kweliii...Niolewe na kuzaa na sponsor...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani