Tume kuongeza majimbo
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano na Viongozi wa vyama vya siasa ambapo alizungumzia zoezi la kugawa Majimbo ya Uchaguzi.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Nh3HgRWDnwY/VVEfcEsUASI/AAAAAAAAbkA/p8gqrPocSJg/s640/2.jpg)
Mkurugenzi wa Uchaguzi Ndugu Julius Malaba akifafanua njia zitakazotumika katika kugawa majimbo ya uchaguzi kwenye mkutano na viongozi wa vyama vya siasa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-KWL7AXOUQRs/VVEfdWl72rI/AAAAAAAAbkM/43t62yXCHNs/s640/3.jpg)
Mwenyekiti wa Tumeya uchaguzi akifafanua jambo wakati wa mkutano na viongozi wa vyama vya siasa.
![](http://4.bp.blogspot.com/-75oRLz9Pogc/VVEfeG7AsjI/AAAAAAAAbkQ/9j14lxWiK00/s640/4.jpg)
Profesa Ibrahimu Lipumba akichangia mada wakati wa mkutano wa Tume ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2BcXmTtHXUk/VVEfdRslckI/AAAAAAAAbkI/SvYEgp9qGJI/s72-c/1.jpg)
TUME YA UCHAGUZI KUONGEZA MAJIMBO
![](http://3.bp.blogspot.com/-2BcXmTtHXUk/VVEfdRslckI/AAAAAAAAbkI/SvYEgp9qGJI/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Nh3HgRWDnwY/VVEfcEsUASI/AAAAAAAAbkA/p8gqrPocSJg/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KWL7AXOUQRs/VVEfdWl72rI/AAAAAAAAbkM/43t62yXCHNs/s640/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-75oRLz9Pogc/VVEfeG7AsjI/AAAAAAAAbkQ/9j14lxWiK00/s640/4.jpg)
10 years ago
Mwananchi30 May
Kuongeza majimbo pekee hakuimarishi demokrasia
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3sKV5USQbaw/Xl6_4QimsdI/AAAAAAALgyo/R60yvtJBEH4GysvwxE8qsdi2sg2-4Ud1gCLcBGAsYHQ/s72-c/6f86bbba-36fc-4dd2-ac2c-2dafcfc18334.jpg)
JESHI LA POLISI LAAHIDI KUONGEZA ULINZI TUME YA NGUVU ZA ATOMIKI TANZANIA
Jeshi la Polisi nchini limeingia Makubaliano ya kutoa Ulinzi na Tume ya Nguvu za Atomik Tanzania, kutokana na eneo hilo kuwa ni muhimu kwa nchi,pamoja na usalama wa nchi ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa eneo hilo halitumiwi na wahalifu.
Akizungumza wakati wa zoezi hilo Kamishna wa Operesheni Liberatus Sabas alisema kuwa eneo hilo ni muhimu sana kwa usalama wa nchi hivyo, linahitaji kuwa salama na ulinzi mathubutu ili kuzuia wahalifu kutotumia eneo hilo.
Sabas alisema...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-AAv7MA6keFY/VjHlVnyhCmI/AAAAAAAAd4o/tPzc4QMnPfA/s72-c/5.jpg)
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YATANGAZA MAJIMBO 69 KWA NGAZI YA URAIS LEO MCHANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-AAv7MA6keFY/VjHlVnyhCmI/AAAAAAAAd4o/tPzc4QMnPfA/s1600/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xHebSMnU4OA/VjHlUu2ltDI/AAAAAAAAd4Y/-Om16IgFSmA/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nj8_DK8B71w/VjHlUWOOwPI/AAAAAAAAd4Q/P367gcc86-k/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-koZHR5ig3XA/VjHlWdPuimI/AAAAAAAAd4s/Tnmbd7SETL0/s640/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-r__VGBjNznk/VjHlW00pINI/AAAAAAAAd40/nPJBc_PDE3M/s640/7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-M1QPbl9I854/VjHlXLpk6SI/AAAAAAAAd44/OFLRXchgjNs/s640/8.jpg)
Endelea kufuatilia
10 years ago
GPLTUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAKUTANA NA VYAMA VYA SIASA KUHUSU MAJIMBO MAPYA
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
CCM walalamikia tume ya uchaguzi NEC, kufuatia kukosa majimbo manne Tanzania Bara
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya CCM, January Makamba.
CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wana-CCM na kwa umma:
MALALAMIKO YA CCM KUHUSU MATOKEO KWENYE BAADHI YA MAJIMBO
Chama cha Mapinduzi hakijaridhishwa na utaratibu wa kukusanya na kujumlisha matokeo kwenye baadhi ya majimbo. Katika majimbo manne kumekuwa na ukiukwaji mkubwa wa utaratibu wa uchaguzi, hasa katika kujumlisha matokeo, uliopelekea wabunge wa upinzani kutangazwa washindi. Majimbo hayo ni Iringa Mjini, Mikumi, Ndanda na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DnDGCL7q9gk/VbjOGRhI6eI/AAAAAAAC9EA/tZ86Goq07Xw/s72-c/8.jpg)
CCM MKOA WA DAR ES SALAAM WAITAKA TUME KUONGEZA VIFAA ILI KUFANIKISHA ZOEZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-DnDGCL7q9gk/VbjOGRhI6eI/AAAAAAAC9EA/tZ86Goq07Xw/s640/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mIvPSmztF3U/VbjOGG7UWeI/AAAAAAAC9D8/veC22HhdvL4/s640/6.jpg)
Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Dar es Salaam kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuongeza,vifaa na rasilimali watu...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mjqtNw2FrJc/VbjFQwUSKcI/AAAAAAAAiq0/okZlr5k75qw/s72-c/1.jpg)
CCM MKOA WA DAR ES SALAAM WAITAKA TUME KUONGEZA VIFAA PAMOJA NA RASILIMALI WATU ILI KURAHISISHA ZOEZI LA UANDIKISHAJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-mjqtNw2FrJc/VbjFQwUSKcI/AAAAAAAAiq0/okZlr5k75qw/s640/1.jpg)
Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Dar es Salaam kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuongeza,vifaa na rasilimali watu ili wananchi wengi waweze kujiandikisha kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura bila usumbufu.
Akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Bw. Juma Simba Gadafi alisema...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4uwiP6Kpzwg/Vi7_7fVsi4I/AAAAAAABYCY/BqUtzfEQwBw/s72-c/UCHAGUZI%2BWA%2BTANZANIA.jpg)
MATOKEO KWA NGAZI YA UBUNGE KWA MAJIMBO YALIYOTANGWAZWA NA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI HAYA HAPA
![](http://4.bp.blogspot.com/-4uwiP6Kpzwg/Vi7_7fVsi4I/AAAAAAABYCY/BqUtzfEQwBw/s640/UCHAGUZI%2BWA%2BTANZANIA.jpg)
Jimbo la TundumaUbunge: Mwakajoka Frank (Chadema)...