Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kuongeza majimbo pekee hakuimarishi demokrasia

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) inatarajiwa kutangaza majimbo mapya muda wowote, ikiwa ni kuboredha demokrasia kwa kuongeza uwakilishi wa wananchi kwa kuzingatia vigezo mbalimbali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Mtikila na mchago wa pekee ujenzi wa demokrasia

"KUKOSA kutogombea urais hakunizuii kwenda mbinguni", hayo yalikuwa ni maneno yaaliyekuwa Mwenyek

Njonjo Mfaume

 

10 years ago

Mwananchi

Demokrasia iwe kwa wote, siyo matajiri pekee

>Hatukushangazwa hata kidogo na hatua ya baadhi ya wanachama wa CCM wanaowania kuteuliwa kugombea ubunge, kulalamikia utaratibu uliowekwa na chama hicho unaowataka kutoa kiasi kikubwa cha fedha kama mchango wa kampeni za kujinadi kwa wananchi katika majimbo yao.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tume kuongeza majimbo

 Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano na Viongozi wa vyama vya siasa ambapo alizungumzia zoezi la kugawa Majimbo ya Uchaguzi.

 Mkurugenzi wa Uchaguzi Ndugu Julius Malaba akifafanua njia zitakazotumika katika kugawa majimbo ya uchaguzi kwenye mkutano na viongozi wa vyama vya siasa.

 Mwenyekiti wa Tumeya uchaguzi akifafanua jambo wakati wa mkutano na viongozi wa vyama vya siasa.

 Profesa Ibrahimu Lipumba akichangia mada wakati wa mkutano wa Tume ya...

 

10 years ago

Vijimambo

TUME YA UCHAGUZI KUONGEZA MAJIMBO

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano na Viongozi wa vyama vya siasa ambapo alizungumzia zoezi la kugawa Majimbo ya Uchaguzi. Mkurugenzi wa Uchaguzi Ndugu Julius Malaba akifafanua njia zitakazotumika katika kugawa majimbo ya uchaguzi kwenye mkutano na viongozi wa vyama vya siasa. Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi akifafanua jambo wakati wa mkutano na viongozi wa vyama vya siasa.
Profesa Ibrahimu Lipumba akichangia mada wakati wa mkutano wa Tume ya Uchaguzi na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Taarifa ya CCM kunyakua majimbo 176 kati ya majimbo 264 na mengineyo soma hapa

123

Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya CCM, January Makamba.

CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wanachama, wapenzi na washabiki wake na kwa umma Watanzania.

Tathmini ya Upigaji Kura

Kama tulivyoeleza jana, tumeridhishwa na amani na utulivu uliotawala katika sehemu kubwa ya nchi yetu wakati wa zoezi la upigaji kura. Licha ya changamoto zilizojitokeza, ambazo baadhi zimeshughulikiwa, kwa jinsi zoezi la kupiga na kuhesabu kura lilivyoendeshwa kwa uwazi, matokeo ya uchaguzi huu yatakuwa ni...

 

9 years ago

Habarileo

CCM yashinda majimbo 159, Chadema majimbo 35

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeongoza kwa kunyakua majimbo ya uchaguzi 159, ambayo hadi jana yamethibitishwa na wasimamizi waliopewa mamlaka ya kutangaza matokeo hayo na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), huku Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikifuatia kwa kupata majimbo 35.

 

11 years ago

Tanzania Daima

NEC isimamie demokrasia

WAKATI leo baadhi ya Watanzania wanashiriki kupiga kura kwa ajili ya kupata madiwani katika kata 27 katika maeneo mbalimbali Tanzania Bara, ni vyema zoezi hilo likafanyika kwa ustaarabu na kuepuka...

 

11 years ago

BBCSwahili

A. Kusini:Miaka 20 ya demokrasia

Akihutubia taifa Rais Zuma alisema Afrika Kusini inaanza kupona vidonda vya historia ya ukatili na mgawanyiko na taratibu inajenga umoja wa taifa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM na ubakaji wa demokrasia

DODODMA, uliteuliwa mwaka 1972 kuwa makao makuu ya chama na serikali enzi za chama cha ukombozi; yaani, Tanganyika Africans National Union (TANU) na baadaye Chama Cha Mapinduzi (CCM). Tangu hapo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani