Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tumeachia itikadi za kisiasa zifanye kazi, tutakosa Katiba bora

Mchakato wa Katiba mpya unaoendelea nchini hauonyeshi dalili njema baada ya mijadala yake kuanzia kwa wananchi hadi ndani ya Bunge Maalumu kutawaliwa na hisia za itikadi za vyama badala ya utaifa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Itikadi zitafifisha katiba mpya

JUZI Rais Jakaya Kikwete, alitangaza majina 201 ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba linalotarajia kuanza vikao vyake Februari 18 mkoani Dodoma. Bunge hilo litajumuisha wabunge wote 357 wa Bunge...

 

10 years ago

Habarileo

Wataka Katiba iainishe itikadi ya Tanzania

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, wamependekeza Rasimu ya Katiba mpya ieleze Tanzania inafuata misingi ipi ya itikadi kati ya Ubepari au Ujamaa na Kujitegemea.

 

9 years ago

Mwananchi

SUZANE : Kazi ni kazi bora mkono uende kinywani

Kuchelewa kwa maendeleo katika jamii kumekuwa kukichangiwa na sababu mbalimbali hasa uchaguzi na ubaguzi wa kazi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katiba nzuri bila utashi wa kisiasa ni bure

DESEMBA 30, 2013, rasimu ya pili ya katiba imewasilishwa serikalini. Ni ishara kwamba tunaelekea kupata Bunge la Katiba,  kura ya maoni na hatimaye katiba mpya kama itaridhiwa. Ukisikiliza maoni kutoka...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Usambazaji nakala za Katiba usifanywe kisiasa

>Hatimaye nakala za Katiba Inayopendekezwa zimeanza kusambazwa katika kata zote 3,800 nchini ili kuwawezesha wananchi kuelewa vyema maudhui yaliyomo kabla ya kuipigia kura ya maoni ya kuikubali au kuikataa ifikapo Aprili 30, mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Ukomavu wa kisiasa’ kuwapa wananchi #Katiba Mpya [VIDEO]

Watanzania wametakiwa kutokuwa na hofu kuhusu mchakato wa Katiba Mpya unaoendelea hivi sasa Bungeni Dodoma, kwani Katiba hiyo itapatikana.

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete: Asasi zifanye shughuli kwa uwazi

Rais Jakaya Kikwete akifungua mkutano wa siku mbili wa Mpango wa Uendeshaji wa Shughuli za Serikali kwa Uwazi (OGP) katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam jana. (Picha na Ikulu).RAIS Jakaya Kikwete amesema kuna umuhimu wa asasi za kiraia, kufanya shughuli zao kwa uwazi ili kuwapa fursa wananchi kujua shughuli wanazofanya kwa niaba yao.

 

5 years ago

Michuzi

NILAZIMA TAASISI ZA KILIMO ZIFANYE MAJUKUMU YAKE ILI KUENDELEA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Ndg Gerald Kusaya akimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Dkt Geoffrey Mkamilo wakati alipotembelea Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) katika ofisi za makao makuu ya Taasisi hiyo eneo la Makutupora Jijini Dodoma Leo Tarehe 11 Machi 2020.Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Ndg Gerald Kusaya akisisitiza jambo wakati akizungumza na Uongozi na watumishi wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Namna bora ya kuvunja mkataba wa kazi

Mkataba wa ajira husainiwa kwa amani, nderemo, vifijo na shukrani nyingi na nyuso za pande zote mbili yaani mwajiri na mfanyakazi zikionyesha furaha ya kufungua ukurasa mpya wa maisha kwa kutenda kazi pamoja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani