Wataka Katiba iainishe itikadi ya Tanzania
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, wamependekeza Rasimu ya Katiba mpya ieleze Tanzania inafuata misingi ipi ya itikadi kati ya Ubepari au Ujamaa na Kujitegemea.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Itikadi zitafifisha katiba mpya
JUZI Rais Jakaya Kikwete, alitangaza majina 201 ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba linalotarajia kuanza vikao vyake Februari 18 mkoani Dodoma. Bunge hilo litajumuisha wabunge wote 357 wa Bunge...
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Tumeachia itikadi za kisiasa zifanye kazi, tutakosa Katiba bora
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Wataka Katiba ya Tanganyika
10 years ago
Tanzania Daima06 Oct
Walemavu wataka elimu ya katiba
UMOJA wa Wafanyabiashara Walemavu Dar es Salaam (Uwawada), umesema baada ya Bunge Maalumu kupitisha Katiba iliyopendekezwa, kilichobaki sasa ni wananchi kupewa elimu ya kutosha ili wafanye uamuzi sahihi. Akizungumza na...
10 years ago
Habarileo03 Oct
Wataka Katiba inayopendekezwa itembezwe
BAADHI ya wajumbe wameshauri Katiba Inayopendekezwa iliyopatikana jana, itembezwe na kutumika kutoa elimu kwa wananchi, ikiwemo kupitia mkutano wa hadhara utakaofanyika Kibandamaiti, Zanzibar.
10 years ago
Habarileo30 Aug
KKKT wataka Katiba ya Watanzania
MSAIDIZI wa Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kikristo Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Dodoma Mchungaji Samweli Mshana, amewataka wajumbe walio katika mchakato wa Katiba kuhakikisha wanawapatia watanzania Katiba itakayotoa haki zote bila upendeleo.
10 years ago
Uhuru Newspaper08 Apr
Watanzania Zimbabwe wataka rasimu ya katiba
Na Athanas Kazige, Harare BAADHI ya Watanzania wanaoishi Zimbabwe, wameiomba serikali kupeleka Rasimu ya Katiba ili waisome na kuielewa vizuri. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania wanaoishi hapa, Apatae Fatacky, alisema hayo alipokuwa akihojiwa na mwandishi wa habari hii, katika klabu ya Watanzania iliyoko 6 Allan Willson.
Alisema wamekuwa wanafuatia rasimu hiyo kwa kusoma kupitia mitandao ya kijamii na kuomba kama kuna uwezekano wapelekewe vitabu angalau 10, katika ofisi ya ubalozi....
11 years ago
Tanzania Daima14 May
SCOC wataka maridhiano Bunge la Katiba
KAMATI Maalumu ya Wataalamu wa Katiba (SCOC) imetaka mamlaka ya juu ya nchi kuutafutia suluhu mgogoro uliosababisha wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kususia Bunge Maalumu la Katiba....
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
ACT wataka maridhiano Bunge la Katiba
CHAMA cha Aliance for Change and Transparency (ACT- Tanzania), kimeyataka makundi yanayosigana ndani ya Bunge Maalum la Katiba watafute maridhiano yatakayowezesha kupatikana kwa katiba iliyo bora. ACT-Tanzania imeyataka makundi hayo...