TUMEKUSUDIA NFRA LAZIMA IJIENDESHE KIBIASHARA-MHE MGUMBA
Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe Omary Mgumba (Mb) akisisitiza jambo wakati akifunga kikao kazi cha Bodi ya Ushauri ya NFRA jijini Dodoma hivi karibuni. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)
Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe Omary Mgumba (Mb) akisisitiza jambo wakati akifunga kikao kazi cha Bodi ya Ushauri ya NFRA jijini Dodoma hivi karibuni. Wengine pichani ni Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA), Mhandisi Yustas Kongolle (Kushoto) na Afisa Mtendaji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ddjFHOQSHzg/XqgTlWG7yYI/AAAAAAALoec/bUbGDmNEI3spPqC9DGCtsCLMuEU1h4P1QCLcBGAsYHQ/s72-c/46b59ac7-0a79-4093-a5db-7b823e33944b.jpg)
HASUNGA AITAKA NFRA KUJIENDESHA KIBIASHARA, KUTAFUTA MASOKO NJE YA NCHI
Charles James, Michuzi TV
WAKALA wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) umetakiwa kuhakikisha unajiendesha kibiashara pamoja na kutoa huduma bora kwa watanzania.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Kilimo, Joseph Hasunga leo jijini Dodoma alipokua akizindua Bodi ya Ushauri ya NFRA ambapo ameutaka wakala huo kufanya manunuzi kipindi hiki cha mavuno.
Ameutaka wakala huo kufanya manunuzi ya mazao kwa ajili ya kuhifadhi kama akiba kwenye maghala ya serikali lakini pia kwa ajili ya biashara kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ddjFHOQSHzg/XqgTlWG7yYI/AAAAAAALoec/bUbGDmNEI3spPqC9DGCtsCLMuEU1h4P1QCLcBGAsYHQ/s72-c/46b59ac7-0a79-4093-a5db-7b823e33944b.jpg)
WAZIRI HASUNGA AITAKA NFRA KUJIENDESHA KIBIASHARA NA KUTAFUTA MASOKO NJE YA NCHI
Charles James, Michuzi TV
WAKALA wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) umetakiwa kuhakikisha unajiendesha kibiashara pamoja na kutoa huduma bora kwa watanzania.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Kilimo, Joseph Hasunga leo jijini Dodoma alipokua akizindua Bodi ya Ushauri ya NFRA ambapo ameutaka wakala huo kufanya manunuzi kipindi hiki cha mavuno.
Ameutaka wakala huo kufanya manunuzi ya mazao kwa ajili ya kuhifadhi kama akiba kwenye maghala ya serikali lakini pia kwa ajili ya biashara kwa kutafuta...
5 years ago
MichuziSERIKALI HAITOPANGA BEI ZA MAZAO YA WAKULIMA-MHE MGUMBA
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Serikali imesisitiza kuwa haitopanga wala kuingilia bei za mazao ya wakulima nchini badala yake wakulima watajipangia bei na kuuza wenyewe ilihali serikali ikisalia kama msimamizi.
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe Omary Mgumba (Mb)...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tVyYDnk4ZvOAEpztpGTl*GjCAIL0N0Fen98dA0DTggxxBnUG6wLqOEKIrJzSWdO1d*d5ab0CJqUgo3mqha1QuvlUdTe881VB/hj.gif?width=650)
MAYA: MIMI SIYO MGUMBA
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Namna ya kumsaidia mgumba kupata mtoto
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uMxF1o08j-U/Xl7BSvq-BZI/AAAAAAALgy8/Bqv3aCKfOw43nc0NGLNs9jxzCCApWfR_gCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-01-768x432.jpg)
MGUMBA AWATAKA WANANCHI KUCHANGIA SHUGHULI ZA MAENDELEO MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-uMxF1o08j-U/Xl7BSvq-BZI/AAAAAAALgy8/Bqv3aCKfOw43nc0NGLNs9jxzCCApWfR_gCLcBGAsYHQ/s640/PIX-01-768x432.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/pix-02-1024x576.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lnL4ulrLmQ4/XrVyBlGkcoI/AAAAAAALpgo/J17BOrFrDq4NxO3ZypQFRulfnUyPeiNrQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-01-1.jpg)
NAIBU WAZIRI MGUMBA AKAGUA VITUO VYA AFYA JIMBONI KWAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-lnL4ulrLmQ4/XrVyBlGkcoI/AAAAAAALpgo/J17BOrFrDq4NxO3ZypQFRulfnUyPeiNrQCLcBGAsYHQ/s640/PIX-01-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-02-1.jpg)
Mjumbe wa kamati ya usimamizi wa Kituo cha Afya cha Mikese akimueleza jambo Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki Mhe Omary Mgumba,(wakwanza) kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Morogoro Mhe Kibena Kingo,(wakati )ni diwani wa kata ya Mikese Mhe Mwega .J. Mohamed.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-03-1.jpg)
Mbunge wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-K8k1yu8EM8c/XvXhF2A3cbI/AAAAAAALvhA/JgUrG1dC7oAAy22jgcerEVJB8JqcEuYAwCLcBGAsYHQ/s72-c/MGUMMMM.jpg)
Naibu waziri wa kilimo Omar Mgumba,aagiza kukusanywa tani elfu thelathini za mazao
![](https://1.bp.blogspot.com/-K8k1yu8EM8c/XvXhF2A3cbI/AAAAAAALvhA/JgUrG1dC7oAAy22jgcerEVJB8JqcEuYAwCLcBGAsYHQ/s400/MGUMMMM.jpg)
Wakala wa taifa wa hifadhi ya chakula kanda ya Makambako,mkoani Njombe umetakiwa kukusanya tani elfu thelethini za mazao kwa mwaka wa fedha wa 2020 /2021.
Agizo hilo limetolewa na Naibu waziri wa kilimo nchini Omar Mgumba wakati akizungumza na watumishi wa hifadhi hiyo,ambapo amesema kuwa lengo la serikali kitaifa ni kununua na kuhifadhi mazao tani laki tatu kwa mwaka na kanda ya Makambako inatakiwa kununua tani elfu thelathini na kuhakikisha inapata faida katika...
10 years ago
Mwananchi14 Nov
NFRA kununua mahindi Gairo