Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tumia njia za asili kuondoa madoa

Uwepo wa mabaka na madoa usoni ni tatizo linalowakabili watu wengi na kuwafanya kuhangaika huku na kule kutafuta dawa ili kukabiliana nalo, lakini hujikuta wakiishia kutumia vipodozi vyenye kemikali ambavyo huishia kuharibu ngozi za wengi wao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Askofu ataka madoa ya amani kufutwa

ASKOFU Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu Eusebius Nzigilwa amesema kwa mwaka huu yapo matukio yamejitokeza na kuweka doa katika suala la amani ya nchi hasa katika maeneo ya kidini, kisiasa na kiuchumi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwema atua ‘madoa’ kwa Mangu

RAIS Jakaya Kikwete, jana alimuapisha Ernest Mangu kuwa Mkuu mpya wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), akichukua mikoba ya Said Mwema ambaye amestaafu kwa mujibu wa sheria baada ya kufikisha...

 

10 years ago

GPL

10 years ago

Mwananchi

Tumia vipaji vyako ufanikiwe maishani-2

Hoja yangu tangu wiki iliyopita ni umuhimu wa kubaini vipaji tulivyojaliwa na Mungu na kuvitumia kufanikiwa maishani.

 

11 years ago

Mwananchi

Tumia limao kuimarisha mwonekano wa midomo

Mdomo ni kiungo kinachopewa nafasi kubwa katika urembo wa mwanamke kutokana na kuwa ni miongoni mwa viungo vinavyoonekana kwa haraka zaidi.

 

10 years ago

Mwananchi

Tumia vipaji ulivyopewa na Mungu ufanikiwe maishani

Miongoni mwa tunu muhimu za mafanikio ambazo Mungu amewekeza ndani ya kila mtu ni vipawa.

 

11 years ago

Michuzi

HII NDIO GARI ISIZO TUMIA WESE

HABARI ZA KAZI ANKAL.  KATIKA PITA PITA YANGU HAPA UGHAIBUNI NIMEIKUTA GARI ISIYOTUMIA WESE IKIPATIWA CHARGE. NAOMBA OWAONYESHE WADAU WA USAFIRI NCHI WAANZE KUWEKA MAZINGIRA YATAKAYOWEZEZA AINA YA GARI KAMA HIZI KUJA TANZANIA.
AHSANTE MDAU LUTON UK

 

10 years ago

Vijimambo

MSIKITI WA GADDAFI DODOMA WAMSHUKURU MEMBE - TUMIA HII

Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mustafa Rajabu Shabani (kulia) akimtambulisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (katikati), kwa waumini wa Msikiti wa Gaddafi mkoani humo jana, wakati waumini hao walipomwita kwa ajili ya kumshukuru kutokana na jitihada zake katika kuwezesha ujenzi wa msikiti huo uliojengwa kwa ufadhili wa aliyekuwa Kiongozi wa Libya, marehemu Muammar Gaddafi. Kushoto ni Diwani wa Kwadelo, Alhaj Omary Kariati. Picha zote na John BadiSheikh Mkuu...

 

9 years ago

Mwananchi

TUONGEE WAZAZI : Tumia kosa la mtoto kumjengea nidhamu

Jamii zetu za Kiafrika zilikuwa na taratibu nzuri za kumwadhibu mtoto kwa lengo la kumfundisha pindi anapokosea. Taratibu hizi zililenga kumpa mtoto uzoefu kwa kumjenga kukabiliana na changamoto za maisha yaliyomzunguka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani