Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunampongeza JPM kwa hatua hizi

Tumepokea kwa matumaini mema mikakati mbalimbali iliyotangazwa na Rais John Pombe Magufuli (JPM) ya kuimarisha mapato ya Serikali kwa kukusanya kodi zaidi na kupunguza matumizi ya fedha ikiwa ni pamoja na kupiga marufuku safari za nje ya nchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

HALMASHAURI YA JIJI YAMPONGEZA RAIS JPM KWA HATUA ALIZOCHUKUA KUKABILIANA NA COVID 19


Kaimu Ofisa Afya wa Jiji la Tanga Hamza Maulidi akizungumza wakati akitoa elimu katika semina ya siku mbili  inayotolewa kwa Wasaidizi wa msaada wa kisheria (Paralegals) kutoka halmashauri 11 zilizopo mkoani Tanga.
Kaimu Ofisa Afya wa Jiji la Tanga Hamza Maulidi akizungumza wakati akitoa elimu katika semina ya siku mbili inayotolewa kwa Wasaidizi wa msaada wa kisheria (Paralegals) kutoka halmashauri 11 zilizopo mkoani Tanga
Programu Meneja wa Shirika la TEWOREC Halima Jabiri Saguti...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hatua hizi Maliasili zisiishie hapa

WIZARA ya Maliasili na Utalii jana iliwasimamisha kazi maofisa 21 wa Idara ya Wanyamapori. Naibu Waziri wa wizara hiyo, Lazaro Nyalandu, ndiye alitangaza uamuzi huo akisema hatua hiyo inatokana na...

 

10 years ago

GPL

JE UMECHOSHWA NA UNAHITAJI TALAKA ? FUATA HATUA HIZI

Na Bashir Yakub Kuomba talaka si dhambi. Kama lingekuwa dhambi sheria isingeruhusu jambo hilo kwakuwa si kawaida ya sheria  kuhamasishi madhambi.  Ni kwasababu hii nasema kuwa atakayeona amebanwa basi aombe talaka. Si kosa hata kidogo kufanya hivyo isipokuwa ndivyo tunavyoelekezwa  na sheria zetu tunazozipenda na kuziheshimu sana. 1.   KUVUNJIKA  KWA  NDOA. Kuvunjika kwa ndoa kwa mujibu wa sheria zetu za...

 

9 years ago

Michuzi

HATI MILIKI INAPOPOTEA, HARAKA CHUKUA HATUA HIZI.

Hati miliki  ni  mali  inayohamishika  na  hivyo  inaweza kupotea.  Kupotea  kwa  hati miliki  kunaweza  kuwa  katika  mazingira  mengi.  Inaweza kupotea katika  mazingira ya  kuibiwa,  kufichwa  au  kutupwa  kwa  makusudi  kwa   malengo  mabaya  na  mazingira  mengine  yoyote  yanayofanana  na matukio  hayo.  Lakini   mara  kwa  mara  kupotea  kwa  hati  huhusishwa  na  mbinu  chafu  za  kubadilisha  umiliki   pasipo  uhalali  au  kutumika  katika  shughuli  za  kujipatia mikopo   pasi  na...

 

9 years ago

GPL

KAULI HIZI NI DALILI YA MWANAUME KAKUCHOKA, CHUKUA HATUA!

Leo mpenzi msomaji wa safu hii, nimekuja na mada mpya ambayo imenisukuma kuwaandikia wanandoa na wapenzi walioko kwenye uhusiano kwa muda mrefu kwani wengi hujikuta wameachwa na kuona kuwa ni ghafla kumbe hawakutambua kwa kujua ni utani. Kauli anazozitoa mwanaume wako ni wazi kabisa kuwa amekuchoka wengi hawazitambui sasa zisome kwa makini na uzielewe.Tukiachana sisi  si wa kwanza
Kauli kama hii mwanaume hawezi kukuambia mkiwa...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA SHERIA: JE UMECHOSHWA NA UNAHITAJI TALAKA? FUATA HATUA HIZI

Na Bashir Yakub
Kuomba talaka si dhambi. Kama lingekuwa dhambi sheria isingeruhusu jambo hilo kwakuwa si kawaida ya sheria  kuhamasisha madhambi.  Ni kwasababu hii nasema kuwa atakayeona amebanwa basi aombe talaka. Si kosa hata kidogo kufanya hivyo isipokuwa ndivyo tunavyoelekezwa  na sheria zetu tunazozipenda na kuziheshimu sana.
1.   KUVUNJIKA  KWA  NDOA.
Kuvunjika kwa ndoa kwa mujibu wa sheria zetu za Tanzania kuna mazingira mengi. Baadhi ya mazingira hayo ni yale yaliyoorodheshwa kifungu...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS KENYATTA NAYE AKUBALI YA JPM, ASEMA HAWEZI KUENDELEA KUCHUKUA HATUA ZA WAKENYA KUKAA NDANI MILELE


Rais Uhuru Kenyatta wa KenyaHaki miliki ya pichaAFPImage captionRais Uhuru Kenyatta wa KenyaRais Uhuru Kenyatta ametangaza mipango ya kusaidia biashara na raia kusonga mbele katika kipindi hiki cha mdororo wa kiuchumi kwasababu ya janga la virusi vya coronaRais amehutubia taifa kutoka Ikulu ya rais, Nairobi na kusema kwamba mipango hiyo itagharimu shilingi bilioni 53.7.Katika hotuba yake, rais alisema pesa hizo zitagawanywa katika sekta muhimu kama vile miundo mbinu, elimu, biashara ndogo ndogo na za wastani, afya,...

 

10 years ago

Vijimambo

HIZI NDIO SALAMU ZA MWIGULU KWA WOTE WALIOHUJUMU FEDHA HIZI ZA UMMA

Waliosababishia Serikali hasara ya bn 40/- kukiona Na Mwandishi wetu Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu NchembaWizara ya Fedha imeziagiza taasisi zilizokabidhiwa jukumu la kuchunguza wakuu wa mashirika na taasisi za umma waliojihusisha katika kughushi malipo hewa ya wafanyakazi na kuisababishia serikali hasara ya Sh. bilioni 40 kila mwezi wafichuliwe.
 Agizo hilo lilitolewa na Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu Nchemba, akisema wakuu hao pamoja na waajiri wametumia mwanya wa...

 

10 years ago

GPL

HATUA KWA HATUA FUMANIZI X-MAS

Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah Shabaash! Mwanamke mmoja, mkazi wa Mikocheni A, Dar, Catherine Kayombo ‘Catty’ anadai kumfumania mumewe aliyemtaja kwa jina la Excavery Kayombo akiwa na mchepuko alioutaja kwa jina la Mariamu Kauke ‘Mamuu’ ndani ya Sikukuu ya Krismasi ‘X-Mas’, Ijumaa Wikienda limesheheni. Mchepuko… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani