Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Turnbull aapishwa kuongoza Australia

Turnbull ameapishwa kuwa waziri mkuu mpya wa Australia na kusema ana matumaini tele kwamba taifa hilo sasa litafana.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

DK Magufuli aapishwa rasmi kuongoza serikali ya awamu ya tano

Rais Mteule John Magufuli leo ameapishwa kuwa rais awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kusema anafahamu majukumu makubwa aliyonayo kutekeleza ahadi alizozitoa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu.

 

9 years ago

TheCitizen

Australians would be better off it Turnbull replicated Magufuli

As two in three Australians wallow in the warm glow of Malcolm Turnbull’s first 11 weeks of procrastination, indecision and waffle, over in Tanzania a brand new president is actually getting on with doing the job.

 

5 years ago

BBC News

Bill Turnbull to sit in for Piers Morgan on Good Morning Britain

Bill Turnbull to sit in for Piers Morgan on Good Morning Britain  BBC NewsDresden Survivor Describes the Horrors 75 Years on | Good Morning Britain  Good Morning BritainPiers Morgan REPLACED by Bill Turnbull on GMB ‘what on earth am I doing?’  ExpressBill Turnbull to replace Piers Morgan in return to breakfast TV after cancer battle  Manchester Evening NewsBill Turnbull warns ‘the beast might be unleashed’ as he returns to breakfast TV  AOL UKView Full coverage on Google...

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais Nkurunziza aapishwa

Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza anaapishwa kwa muhula wa tatu uliozua utata.

 

10 years ago

Michuzi

AG MPYA ZANZIBAR AAPISHWA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akimuapisha Said Hassan Said kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar katika hafla iliyofanyika leo Ikulu Mjini Zanzibar.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

 

9 years ago

Mtanzania

Waziri Mkuu Majaliwa aapishwa

maj1NA JONAS MUSHI, DAR ES SALAAM

SIKU moja baada ya Kassim Majaliwa kuteuliwa na Rais John Magufuli na kuthibitishwa na Bunge kwa asilimia 73.5 kuwa Waziri Mkuu, jana aliapishwa kuanza kazi rasmi katika wadhifa huo.

Majaliwa, ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Ruangwa, aliapishwa na Rais Magufuli majira ya asubuhi katika sherehe zilizofanyika katika viwanja vya Ikulu ndogo ya Chamwino, mjini Dodoma na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa, wakuu wa vyombo vya ulinzi pamoja na viongozi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Bouteflika aapishwa kwa muhula wa 4

Rais Abdelaziz Bouteflika ameapishwa kwa muhula mwingine wa miaka 4 mamlakani katika hafla iliyofanyika mjini Algiers licha ya hali yake mbaya ya kiafya.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais mpya wa Tanzania aapishwa

John Pombe Magufuli sasa ndiye rais mpya wa taifa la Tanzania baada kuapishwa mbele ya umati mkubwa wa watu waliojaa uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam wakiwemo viongozi wa mataifa mbalimbali.

 

9 years ago

BBCSwahili

Magufuli aapishwa na kuwashauri wapinzani

John Magufuli ameapishwa kuwa rais mpya wa Tanzania na kuwaambia wapinzani kwamba yuko tayari kufanya kazi nao kwa ajili ya kuiendeleza nchi hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani