Turnbull aapishwa kuongoza Australia
Turnbull ameapishwa kuwa waziri mkuu mpya wa Australia na kusema ana matumaini tele kwamba taifa hilo sasa litafana.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi05 Nov
DK Magufuli aapishwa rasmi kuongoza serikali ya awamu ya tano
9 years ago
TheCitizen02 Dec
Australians would be better off it Turnbull replicated Magufuli
5 years ago
BBC News13 Feb
Bill Turnbull to sit in for Piers Morgan on Good Morning Britain
9 years ago
BBCSwahili20 Aug
Rais Nkurunziza aapishwa
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-K6Z6WnGBXrU/VED0HhuzitI/AAAAAAAGrMk/dO-Z4EaQMSU/s72-c/unnamed%2B(56).jpg)
AG MPYA ZANZIBAR AAPISHWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-K6Z6WnGBXrU/VED0HhuzitI/AAAAAAAGrMk/dO-Z4EaQMSU/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
9 years ago
Mtanzania21 Nov
Waziri Mkuu Majaliwa aapishwa
NA JONAS MUSHI, DAR ES SALAAM
SIKU moja baada ya Kassim Majaliwa kuteuliwa na Rais John Magufuli na kuthibitishwa na Bunge kwa asilimia 73.5 kuwa Waziri Mkuu, jana aliapishwa kuanza kazi rasmi katika wadhifa huo.
Majaliwa, ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Ruangwa, aliapishwa na Rais Magufuli majira ya asubuhi katika sherehe zilizofanyika katika viwanja vya Ikulu ndogo ya Chamwino, mjini Dodoma na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa, wakuu wa vyombo vya ulinzi pamoja na viongozi...
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
Bouteflika aapishwa kwa muhula wa 4
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Rais mpya wa Tanzania aapishwa
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Magufuli aapishwa na kuwashauri wapinzani