Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tutaishambulia BDF XI ya Bostwana

Kocha wa klabu ya Yanga, Mdachi Hans Van de Pluijm amesema watawashambulia wapinzani wao, BDF XI ya Botswana mwanzo mwisho katika kipindi cha kwanza

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Pluijm aiponda BDF

yanga vs BDF IXNA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KOCHA wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amekasirishwa na mfumo wa kujilinda uliotumiwa na BDF XI kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika uliochezwa juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Licha ya BDF kucheza kwa staili hiyo, Yanga ilifanikiwa kupata ushindi wa mabao 2-0 yaliyofungwa na Amissi Tambwe.
Akizungumza mara baada ya mchezo huo, Pluijm alisema timu yake ilipata shida sana kucheza nyuma ya mabeki watano wa BDF na kupelekea kutumia...

 

10 years ago

GPL

BDF yafanya mchezo mchafu

Kocha msaidizi wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa. Na Mwandishi Wetu KIKOSI cha BDF XI kimeshitukiwa kutokana na uamuzi wake wa kutangaza kutaka kujiondoa katika michuano ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga kwa madai ya ukata. Ratiba inaonyesha Yanga itaanza kuivaa BDF, Februari 14 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar.
Shirikisho la Soka Afrika (Caf), limeingilia na kuonya kwamba BDF XI inachotakiwa ni… ...

 

10 years ago

TheCitizen

Tambwe brace sinks BDF

A brace of headers from Amissi Tambwe gave Young Africans a 2-0 win over Botswana’s DBF X1 in an exciting CAF Confederation Cup preliminary round, first leg at the National Stadium yesterday.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga kidedea, yaichapa BDF XI 2-0

Mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi, Amisi Tambwe leo ameibuka shujaa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam baada ya kuifungia timu yake ya Yanga ya jijini Dar es Salaam magoli 2-0 dhidi ya BDF XI ya nchini Botswana.

 

10 years ago

Mwananchi

MTN ya Yanga kuichakaza BDF XI

Wakati Barcelona inajivunia Messi, Suarez , Neymar ‘MSN’, Real Madrid ikiwa na ‘BBC’ ya Benzema, Bale na Cristiano Ronaldo, Yanga inao washambuliaji watatu, Msuva, Tambwe, Ngassa wanaounda umoja, MTN utakaotumika leo kuisambaratisha BDF XI.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga SC kanyaga BDF XI twende

Ikiwa ni miaka 12 tangu, DBF itolewe na Simba katika Ligi ya Mabingwa Afrika, leo inakanyanga jijini Dar es Salaam kwa mara nyingine kucheza na Yanga yenye maswali mengi.

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: Yanga target BDF scalp

>Mainland giants Young Africans must be harbouring hopes of making a flying start in the continent’s second-tier competition.

 

10 years ago

Mtanzania

Kocha Pluijm: BDF hawatoki Taifa leo

PluijmNA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

KOCHA wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, amewaondoa shaka mashabiki wa timu hiyo kuelekea mchezo wao dhidi ya BDF XI ya Botswana utakaofanyika leo na kueleza kuwa timu yake itawafunga Wabotswana hao.

Yanga itachuana na BDF kwenye mchezo wa hatua ya awali ya Kombe la Shirikisho Afrika utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 10 jioni leo.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana mbele ya waandishi wa habari kwenye mkutano wa makocha wa pande...

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga, Azam pongezi kuwadunda El-Merreikh, BDF XI

Chama cha kandanda mkoa wa Dar es salaam DRFA,kimewapongeza wawakilishi wa Tanzania bara katika michuano ya vilabu barani Afrika klabu ya Azam FC na Yanga SC.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani