Twiga imeiva, atamba kocha
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya wanawake, Twiga Stars, Rogasian Kaijage amesema kikosi chake kimeiva na anachosubiri ni mechi ya kirafiki dhidi ya Kenya mwishoni mwa wiki ijayo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo02 Sep
Stars yarejea imeiva atamba Nadir
KIKOSI cha timu ya soka ya taifa, Taifa Stars kilitarajiwa kuwasili nchini alfajiri ya leo kikitokea Uturuki huku wachezaji wake wakitamba kuiva vya kutosha kuikabili Nigeria.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-C4HOIEtg7z4/Uvtq9qQykuI/AAAAAAAFMi0/dq3GcSGKAak/s72-c/TanzaniaFootballFederation.jpg)
TWIGA STARS IKO VIZURI KUIVAA ZAMBIA- KOCHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-C4HOIEtg7z4/Uvtq9qQykuI/AAAAAAAFMi0/dq3GcSGKAak/s1600/TanzaniaFootballFederation.jpg)
Akizungumza kwenye hafla ya kuiaga timu hiyo iliyofanyika leo (Februari 12 mwaka huu) kwenye ofisi za TFF jijini Dar es Salaam, Kocha Kaijage amesema wachezaji wake wako vizuri, ingawa hakuwa tayari kutoa ahadi kuhusu matokeo.
“Vijana wako vizuri, lakini sitaki kutoa ahadi....
9 years ago
Habarileo25 Aug
Kocha Twiga Stars afurahia kiwango cha wachezaji wake
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars), Rogasian Kaijage amesema mchezo wa kirafiki dhidi ya Kenya ‘Harambee Starlets’ umemsaidia kugundua makosa ambayo atayafanyia kazi.
9 years ago
Mwananchi15 Oct
Lowassa: Chadema imeiva kuingia Ikulu
11 years ago
Mwananchi15 May
UDA zinazokatiza safari dawa imeiva
9 years ago
Global Publishers31 Dec
Ile Albamu ya Big Sean sasa imeiva
Pusha T
RAPA na Meneja wa lebel ya G.O.O.D Music, Pusha T amethibitisha kuwa album mpya ya Big Sean inaelekea kukamilika na itatolewa rasmi mwanzoni mwa mwaka 2016.
Big Sean
Big Sean alishika nafasi ya juu kwenye chati na albamu yake ya tatu ya Dark Sky Paradise mwaka huu.
Kwa upande wake Pusha T alisema anaprojekti ya kuitangaza albamu yake mpya ya King Push – Darkest Before Dawn iliyoshika namba 20 kwenye billboard katika wiki yake ya kwanza, projekti itayomalizika Aprili kwenye miji...
10 years ago
Dewji Blog17 Jul
Safari ya Wema Sepetu imeiva, ubunge viti maalum mkoa wa Singida
Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu, (kushoto) akipokea fomu za kuwania ubunge viti maalum mkoa wa Singida kutoka kwa Katibu wa UWT wilaya ya Ikungi, Yagi Kiaratu.
Miss Tanzania 2006,Wema Sepetu alipokuwa akijiandaa kulipa ada ya uchukuzi wa fomu za kuwania ubunge viti maalum mkoa wa Singida leo (17/7/2015).Kulia ni katibu UWT wilaya ya Ikungi mkoani Singida.
Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu, akitoka ndani ya ofisi ya CCM wilaya ya Ikungi baada ya kukabidhiwa fomu za kuwania ubunge viti...
10 years ago
Vijimambo09 Mar
KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/kocha-640x360.jpg)
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/kochaa-640x360.jpg)
9 years ago
Mtanzania19 Oct
Dk. Magufuli Atamba
BAKARI KIMWANGA NA PETER FABIAN, MAGU
MGOMBEA Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amewataka Watanzania wamchague awe rais kwani atateua waziri mkuu mchapakazi atakayesimamia shughuli za Serikali wakati wote.
Amesema kwamba, anahitaji kuwa na baraza dogo la mawaziri litakalokuwa tayari kwenda kwa wananchi kutatua kero zao.
Dk. Magufuli alitoa kauli hiyo jana kwa nyakati tofauti katika mikutano yake ya kampeni za lala salama zilizofanyika katika Majimbo ya Magu, Sumve,...