Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TZ tayari kuhifadhi walioachiliwa ICTR

Tanzania inasema ina uwezo wa kuwapa hifadhi ya kudumu Raia wa Rwanda waliochiwa huru na mahakama ya ICTR

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

JUMUIYA YA KUINUA VIPAJI VYA KUHIFADHI QURAN JIMBO LA KIKWAJUNI YANDAA MASHINDANO MADOGO YA KUHIFADHI QURAN

 M.C. wa shughuli  Ustaadh Khamis Ameir akisoma utaratibu wa mashindano madoga ya kuinua vipaji ya kuhifadhi Quran ya Jimbo la Kikwajuni yaliyofanyika uwanja wa Alabama Michenzani Mjini Zanzibar. Mwafunzi Ramla Khamsin Jafar wa madrasati Nurul-iman akionyesha jitihada zake katika mashindano ya kuhifadhi yaliyofanyika ya Jimbo la Kwahani.  Baadhi ya washiriki wakifuatilia kwa kina mashindano hayo. Jaji kiongozi Abushayth Daud Mohudhar akitoa matokeo ya mashindano hayo. Mgeni rasmin Mbunge wa...

 

9 years ago

TheCitizen

ICTR releases 2 in last judgement

The International Criminal Tribunal for Rwanda (ICTR) wound up its business yesterday after 20 years by releasing two of the six convicts who had earlier been jailed for long terms for their alleged role in the 1994 Rwanda genocide.

 

10 years ago

Michuzi

JUST IN: ICTR Expected to close down this year

The International Criminal Tribunal for Rwanda (ICTR) is primed to finally close down during this year, 2015, after over twenty years of prosecuting persons who played leading roles in the Rwandan genocide in 1994 that claimed the lives of more than half a million innocent civilians of mainly Tutsi and some moderate Hutus who sympathized with them.In preparation for its closure, the Tribunal separated 117 out of 414 staff members between October and December 2014 that were on board at the...

 

9 years ago

Habarileo

UN –ICTR yashitakiwa Mahakama ya Kazi

WALIOKUWA wafanyakazi wa Mahakama ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN –ICTR) ambayo imemaliza kazi zake hapa wameishtaki Mahakama hiyo kwenye Mahakama ya Kazi wakidai kutolipwa stahiki zao.

 

9 years ago

Mwananchi

UN-ICTR yamaliza kazi nchini

Arusha. Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) imefunga shughuli zake nchini huku ikiiachia kazi Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (MICT) cha upatikanaji, ukamataji na usikilizwaji wa kesi ya watuhumiwa tisa wa mauaji.

 

9 years ago

Michuzi

UN-ICTR Bids Farewell to Rwanda

Senior officials of the Arusha-based United Nations International Criminal Tribunal for Rwanda (UN-ICTR) last week visited Kigali, Rwanda to bid farewell to the people and Government of Rwanda, the diplomatic community and other stakeholders who have supported the work of the Tribunal in its 21 years of operation. The Tribunal will be closing its doors on 31 December 2015. 
During its duration the ICTR indicted a t total of 93 individuals for the crimes of genocide, crimes against humanity...

 

10 years ago

TheCitizen

Bilal pleads for ICTR homeless

The Tanzanian government and officials of the International Criminal Tribunal for Rwanda (ICTR) on Saturday called for countries to host persons acquitted by the court or those who have served their sentences.

 

10 years ago

Habarileo

Wanyarwanda walioshtakiwa ICTR `walowea’ Arusha

BAADHI ya watu ambao walifungwa baada ya kupatikana na hatia ya kushiriki kwenye mauaji ya halaiki ya Rwanda na sasa wamemaliza kifungo chao na wale ambao wameachiwa huru na mahakama ya kimataifa ya ICTR baada ya kubainika hawana makosa, hawataki kurejea kwao Rwanda.

 

10 years ago

Habarileo

Raia 11 walioshtakiwa ICTR walowea nchini

Mkuu wa Kitengo cha Utawala cha ICTR, Sarah Kilemi RAIA 11 waliokuwa wanakabiliwa na mashitaka katika Mahakama ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (ICTR) ya mjini Arusha, wamelowea na kuendelea kuishi nchini, kwa kile kinachoelezwa kuwa ni hofu ya kushindwa kurudi kwao, kwa sababu za kiusalama.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani