U15 TANZANIA YATUA MEDALI VIFUANI
Timu ya Tanzania ya wachezaji wenye umri chini ya miaka 15 ikiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) ikitokea Gaborone kupitia Nairobi. (PICHA NA RICHARD BUKOS / GPL) Timu ya Tanzania ya wachezaji wenye umri chini ya miaka 15 iliyoshika nafasi ya pili katika Michezo ya Afrika kwa Vijana (AYG) iliyofanyika Gaborone, Botswana imewasili leo (Juni 2 mwaka huu) jijini Dar es Salaam. U15 ambayo imeshinda mechi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y0EK4KOiKns/U4hJ3cb2OUI/AAAAAAAFmdU/xoVL004yy9Y/s72-c/4.jpg)
TIMU YA U15 TANZANIA YASHIKA NAFASI YA PILI AYG
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y0EK4KOiKns/U4hJ3cb2OUI/AAAAAAAFmdU/xoVL004yy9Y/s1600/4.jpg)
Mechi hiyo ilichezwa Uwanja wa SSKB jijini Gaborone ambapo kwa matokeo hayo Tanzania imetwaa medali ya fedha baada ya kushika nafasi ya pili. Nigeria ndiyo ilishika nafasi ya kwanza na kutwaa medali ya dhahabu.
Tanzania imemaliza ikiwa na pointi kumi ambapo ilishinda mechi tatu,...
11 years ago
Mwananchi19 Jul
‘Medali ya Madola imeachwa Tanzania’
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Mashujaa wa Tanzania waliotwaa medali 21 Madola
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Tanzania kusaka medali Madola leo
9 years ago
MichuziWANARIADHA WANNE TANZANIA KUWANIA MEDALI LEO CHINA
![](http://2.bp.blogspot.com/-f71SuWNcO5Q/VdcPYoWCiCI/AAAAAAAHy2k/y5Fbm_3pEbQ/s640/KATIKA%2BPICHA%2BNI%2BRAIS%2BWA%2BSHIRIKISHO%2BLA%2BRIADHA%2BTANZANIA%2B%2BATHONY%2BMTAKA%2BAKIMPONGEZA%2BRAISI%2BMPYA%2BWA%2BSHIRIKISHO%2BHILO%2BDUNIANI%2B%2BSEBASTIAN%2B%2BCOE%2BMUDA%2BMFUPI%2BBAADA%2BYA%2BKUSHINDA.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-iVZBbaczxr0/VdcPYdZ3o9I/AAAAAAAHy2g/N7M3ksemzlo/s640/KATIKA%2BPICHA%2BNI%2BRAISI%2BWA%2BSHIRIKISHO%2BLA%2BRIADHA%2BTANZANIA%2B%2BaTHONY%2BMTAKA%2BAKIPOKEA%2BVIFAA%2BVYA%2BMICHEZO%2BKUTOKA%2BKWA%2BMWAKILISHI%2BWA%2BKAMPUNI%2BYA%2B%2BNIKE%2BBERETT%2BJONES.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FM5Urnf9BZE/VbcgjRpcGGI/AAAAAAAHsIk/O-0bGlRVTEA/s72-c/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
TANZANIA YAPATA MEDALI YA FEDHA KATIKA MASHINDANO YA RIADHA, SWAZILAND
![](http://3.bp.blogspot.com/-FM5Urnf9BZE/VbcgjRpcGGI/AAAAAAAHsIk/O-0bGlRVTEA/s640/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7VlvGWgoy_E/VbcguqSPNvI/AAAAAAAHsIs/3GHxhVY47IU/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WYXpvkBiGUY/U8jMRs-BtyI/AAAAAAAF3O0/6ZXyLblFyBk/s72-c/unnamed+(32).jpg)
TIMU YA TANZANIA KATIKA MICHEZO YA JUMUIYA YA MADOLA YATUA JIJINI GLASGOW, SCOTLAND
![](http://4.bp.blogspot.com/-WYXpvkBiGUY/U8jMRs-BtyI/AAAAAAAF3O0/6ZXyLblFyBk/s1600/unnamed+(32).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hEegx7oY_3M/U8jMR7Qlf2I/AAAAAAAF3PA/jwMeUAij4R0/s1600/unnamed+(33).jpg)
10 years ago
MichuziSWAHILI BLUES BAND YA TANZANIA YATUA ADDIS ABABA KWA MWALIKO WA DR MULATU
Leo Mkanyia and Swahili Blues Band iko mjini Addis Ababa Ethiopia kwa mwaliko maalumu toka kwa gwiji la muziki barani Afrika na ulimwenguni kote Dr Mulatu Astakte.
Swahili Blues Band ilifika mjini...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JWPedwV75IU/VmbUnTsSMCI/AAAAAAAIK9E/cnfFqxVskIU/s72-c/u15camp.png)
U15 YAREJEA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-JWPedwV75IU/VmbUnTsSMCI/AAAAAAAIK9E/cnfFqxVskIU/s640/u15camp.png)
ZIARA ya timu ya Taifa ya Vijana wenye umri chini ya miaka 15 (U15) iliyoanzia kanda ya ziwa na kanda ya Magharibi kisha kuendelea katika nchi za Rwanda, Uganda na Kenya mwezi huu imesitishwa kutokana na kufungwa akaunti za Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) na Mamlaka ya Mapato nchini (TRA).
Timu hiyo ya vijana iliondoka wiki iliyopita kuelekea jijin Mwanza, ambapo iliagwa na kukabidhiwa bendera ya Taifa na katibu mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Profesa Elisante Ole...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10