Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uandikishaji waanza na changamoto

>Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapigakura kwa kutumia mfumo wa teknolojia ya kisasa wa BVR (Biometric Voter Registration), umeanza kwa kusuasua na kasoro nyingi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Uandikishaji waanza vyema Ukerewe

UANDIKISHAJI katika Daftari la Kudumu la Wapirakura katika wilaya ya Ukerewe, Mwanza umenza vyema juzi na tayari umeanza kuzidi lengo la siku.

 

10 years ago

Habarileo

Mwanza, Shinyanga waanza uandikishaji

Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Damian Lubuva.TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inatarajia kufanya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa kutumia mfumo wa ‘Biometric Voters Registration (BVR)’ katika mikoa minne.

 

10 years ago

GPL

UANDIKISHAJI BVR WAANZA LEO DAR

Baadhi ya wakazi wa Kijitonyama wakiwa katika Shule ya Msingi Sinza-Maalum kwenye foleni tayari kwa kujiandikisha. Wananchi wakiwa kwenye foleni katika zoezi la kujiandikisha.…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Uandikishaji serikali za mitaa waanza kwa kusua

JANA ikiwa ni siku ya kwanza ya uandikishaji wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba 14 mwaka huu, Tanzania Daima imebaini mwitikio wa wananchi...

 

10 years ago

GPL

UANDIKISHAJI BVR DAR WATAWALIWA NA CHANGAMOTO

Mwandikishaji wa Daftari la Wapiga Kura (katikati) akisoma jina la mwananchi aliyehitajika kwenda kujiandikisha. Wananchi wakisubiri kujiandikisha eneo la kituo cha Kijitonyama-Mpakani B. …

 

10 years ago

Mwananchi

Uandikishaji BVR waisha kwa changamoto

Wakati majaribio ya uandikishaji wa wapigakura kwa kutumia mfumo mpya wa BVR yakiisha leo, wananchi wengi wameshindwa kujiandikisha kutokana na mpango wenyewe kusuasua.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mchakato wa uandikishaji wa wanachama “Tanzania Bloggers Network” ( TBN ) waanza rasmi

IMG-20150310-WA0045

Chama cha Wamiliki/Waendeshaji wa Mitandao ya Jamii nchini ‘Tanzania Bloggers Network’ – TBN kinapenda kuwajulisha wanaotaka kujiunga na chama hicho kuwa fomu za kujiunga zinatolewa. Wahusika ni wamiliki na waendeshaji wote wa mitandao ya kijamii (blogs na forums) Tanzania na Watanzania wanaofanya kazi kama hiyo nje ya nchi.

Sifa kuu kwa mwanachama ni kuwa na blog ambayo ina umri wa miezi sita tangu ianze kuendeshwa mfululizo. Kwa wa kazi wa Dar es Salaam wenye sifa ambao wanataka kujiunga...

 

10 years ago

Michuzi

AWAMU YA KWANZA YA UANDIKISHAJI WA WACHEZAJI KWA AJILI YA KUJIUNGA NA KITUO CHA MICHEZO CHA NSSF-REAL MADRID SPORTS ACADEMY WAANZA RASMI LEO

 Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, Crescentius Magori (katikati) akibadilishana mawazo na Mwakilishi wa Klabu ya Real Madrid, Rayco Ghasia (kulia).  Mzee Augustino Mtauka akisaini fomu za usajili wa kituo kipya cha mchezo wa soka kinachomilikiwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kushirikiana na klabu ya Real Madrid ya Hispania.. Mzee Mtauka alikuwa akisaini fomu hizo kwa niaba ya mjukuu wake Godfrey Oscar (katikati), usajili uliofanyika kwenye Uwanja wa Karume, Ilala jijini...

 

11 years ago

Mwananchi

Changamoto kwa Wafanyabiashara wadogo wapewa changamoto

Wafanyabiashara wadogo wametakiwa kuacha woga na kuanza kutumia taasisi za fedha kama njia rafiki na chachu ya maendeleo na kukuza mitaji yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani