Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UBORA WA MAGARI YA ENZI HIZOOOOO

SIKU HIZI MNA VIGARI VYENU VYA CEILINGBOARD MNARIIIINGA, MAGARI YALIKUA ENZI ZETU BANA, ANGALIA TANGU 1910 HADI LEO HII BODI IPO VILEVILE MPAKA MTI UMEOTA HUMO HUMO, HAPANA CHEZEA JEREMANI..... UKIITAKA TAFADHALI USIKATE MTI BALI CHOMOA GARI ! VINGEVYO AFISA MISITU ATAKUFIKISHA MAHAKAMANI

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Kumbe Aliens wamekuwepo enzi na enzi!

AliensILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Mpenzi msomaji wangu wiki iliyopita tuliona ni kwa jinsi gani hawa viumbe wa ajabu waishio angani wa Aliens walivyo na tabia zinazoaminika ni za majini japokuwa wana utofauti kidogo. Tuliona kuwa tofauti kubwa iliyopo kati ya Aliens na majini ni kwamba majini wana maumbile maalum na uwezo wa kujibadilisha japo wote wana uwezo wa kusafiri kwa kasi ya upepo. SASA ENDELEA…

Kama nilivyoeleza awali katika matoleo ya simulizi hii huko nyuma, kuna filamu na tamthiliya...

 

11 years ago

Michuzi

Tamasha la Magari Tanzania (Autofest) limerudi na Matoleo Mapya ya Magari

Likirudi kwa mwaka wake wa saba, tamasha la magari Tanzania (autofest) litakua likionyesha magari mapya, matoleo mapya ya pikipiki, burudani za muziki kutoka kwa wasanii mbalimbali wa nchini na burudani nyingine za kusisimua kwa ajili ya familia nzima kuanzia Septemba 19-21, 2014. Tamasha la mwaka huu ambalo linaandaliwa na Vision Investment, litafanyika katika viwanja vya Biafra, Kinondoni. Anayetarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi ni Mhe. Dk Abdallah O. Kigoda, Waziri wa...

 

10 years ago

Michuzi

usafiri enzi hizo....

 Tiketi na bei ya nauli za jiji la Dar es salaam enzi hizo. Wenye data tunaomba kumbukumbu zenu. Mjadala ruksa mradi usichafue hali ya hewa....

 

11 years ago

GPL

NELSON MANDELA MWISHO WA ENZI!

Nelson Rolihlahla Mandela ‘Mzee Madiba’ enzi za uhai wake. SHUJAA na mwamba wa Afrika, Nelson Rolihlahla Mandela ‘Mzee Madiba’ amefariki dunia Desemba 5, mwaka huu akiwa na umri wa miaka 95 kwa maradhi ya mapafu.
Hakuna ngozi nyeusi na hata nyeupe anayeweza kubisha kuwa rais huyo mstaafu wa Afrika Kusini na mtetezi wa watu weusi amepitia mambo mengi. Tukiacha kukua kwake, ujana na mengine, tujikumbushe...

 

11 years ago

Mwananchi

CCM na enzi za ufalme uliofitinika

>Mitandao ya makundi yanayohusishwa kuwa nyuma ya wanasiasa wanaotajwa au kujitaja kutaka kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu mwakani imejenga hofu miongoni mwa makada maarufu wa CCM.

 

10 years ago

Mwananchi

Nkamia akumbuka enzi za utangazaji

Naibu Waziri wa Vijana, Utamaduni na Michezo Juma Nkamia, juzi alikonga nyoyo za watu pale alipoamua kukumbushia enzi zake za kutangaza mpira.

 

9 years ago

BBCSwahili

Enzi ya Malkia Elizabeth ya miaka 63 !

Malkia Elizabeth wa Uingereza ametimiza miaka 63 katika enzi.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Maneno mazima ya Mh Enzi Talib

Na Enzi T. Aboud KAMA aliyoyasema Balozi Seif Ali Iddi, Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa kampeni wa CCM Zanzibar, yalitoka moyoni mwake kuwa viongozi wa CUF na UKAWA kupitia cha CHADEMA, […]

The post Maneno mazima ya Mh Enzi Talib appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha:Norah Ajikumbushia Enzi Zake

Muigizaji mkongwe na maarufu nchini, Nuru nassoro, maarufu kama Norah, hivi karibuni amejikumbushia enzi zake alivyokuwa aking'ara kwenye magazeti na vyombo mbali mbali vya habari miaka ya 2000/2003.

Muigizaji huyo mwenye mvuto wa aina yake, ali post picha yake kwenye ukurusa wake wa instagram (@norahtanzania), ikimuonyesha staa huyo akiwa ameshika magazeti mbali mbali yaliyokuwa yamesheheni picha za mrembo huyo aliyetikisa kwenye filamu ya SIKITIKO LANGU.

“Throw back 2000/2003 utaniambia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani