Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchaguzi TEFA sasa Jumapili

KAMATI ya uchaguzi ya Chama cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam, (DRFA) imeitaka kamati ya uchaguzi ya Temeke (TEFA) kufanya uchaguzi wa viongozi Agosti 23, kama ilivyopangwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAELEKEZA UCHAGUZI WA TEFA KUFANYIKA AGOSTI 23 MWAKA HUU

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI         KAMATI ya uchaguzi DRFA inaelekeza kamati ya uchaguzi ya TEFA kufanya uchaguzi wa viongozi,jumapili tarehe 23/08/2015 katika ukumbi wa JKT kama ilivyopangwa kufanyika hapo awali.Kamati pia inapenda  kuutarifu umma kuwa mchakato huu una Baraka zote kutoka TFF,hivyo uingiliaji wowote unakwenda kinyume na ibara ya 6(1)ya kanuni za uchaguzi za TFF 2013 na ibara za 52(6) na 56(6)(a) za katiba ya TFF ambazo zinaelekeza kuwa majukumu ya uchaguzi yapo chini ya...

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAPANGUA AGIZO LA KAMATI YA UCHAGUZI TFF KUSIMAMISHA UCHAGUZI WA TEFA

Kamati ya uchaguzi ya chama cha soka mkoa wa Dar e salaam DRFA,imeshindwa kutekeleza agizo la lililotolewa na mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi ya shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF la kusimamisha mchakato wa uchaguzi wa chama cha soka wilaya ya temeke TEFA uliopangwa kufanyika jumapili agosti 23/2015.
Baada ya kupitia kwa umakini kanuni za uchaguzi za TFF za mwaka 2013 ibara ya 6, na kujiridhisha kuwa hakuna kipengele chochote kinachoruhusu kamati ya uchaguzi ya TFF kuingilia kati...

 

10 years ago

Vijimambo

TFF YAIRUHUSU DRFA KUENDELEA NA MCHAKATO WA UCHAGUZI WA TEFA,KAMA ULIVYOPANGWA KUFANYIKA KESHO.

Shirikisho la mpira wa miguu nchini Tff imekiruhusu chama cha soka mkoa wa Dar es salaam DRFA kuendelea na mchakato wa uchaguzi wa viongozi wa chama cha soka wilaya ya Temeke (TEFA) kama ulivyopangwa na kamati ya uchaguzi ya chama hicho.
Baada ya ruhusa hiyo Uongozi wa DRFA umemuandikia barua katibu wa TEFA Kasim Mustapha ili aijulishe kamati ya uchaguzi ya chama hicho kuendelea na mchakato huo kama kawaida.

Awali TFF iliiandikia barua DRFA kushauri kusimamishwa kwa uchaguzi huo,kutokana na...

 

10 years ago

Mwananchi

Kikao cha Bunge sasa kunguruma Jumapili

Dodoma. Bunge limetoa ratiba inayoonyesha kuwa kikao cha 23 cha chombo hicho, kitafanyika kesho kuanzia saa tano asubuhi.

 

11 years ago

Dewji Blog

New Safari Restaurant Washington DC sasa inafunguliwa Jumanne hadi Jumapili-Karibuni

Untitled 11

Mbuzi wa Kukaanga                         Nyama ya Kuchoma

New Safari Restaurant Inavyoonekana kwa sasa Ndani.

Baadhi ya Kinadada wa Tano Ladies Wakipata Lunch

  Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV na Wageni wake Wakipata Dinner.

                                      

                          Wakurugenzi Wakiburudika na Kinywaji baada ya Mlo.

Untitled 22

Wadau Mbali Mbali Wakijumuika Pamoja bila kujali itikadi zao.

KARIBUNI TUNAFUNGUA JUMANNE HADI JUMAPILI DINNER...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ethiopia tayari kwa uchaguzi jumapili

Muungano wa Afrika umesema Ethiopia iko tayari kwa uchaguzi mkuu wa jumapili

 

10 years ago

Michuzi

MAANDALIZI MBIO ZA MAGARI YAKAMILIKA,SASA KUFANYIKA JUMAPILI HII MAENEO YA KIA

Baadhi ya magari yakiingia uwanjani kwa ajili ya ukaguzi wa mwisho kabla ya mashindano.

Mafundi wakiweka mafuta ya ndege katika moja ya magari yanayoshiriki mbio hizo.
Magari yanaotajwa kutoa ushindani mkali katika mbio hizo.Mamboz na Madebe linalotajwa kufungwa injini mpya ambayo bado kilometa zake zinasoma 0.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

11 years ago

Michuzi

NEWZ ALERT:TAMASHA LA FIESTA SASA KUFANYIKA KESHO JUMAPILI MJINI MUSOMA.

 
 MKurugenzi wa Uzalishaji na Vipindi,Bwa.Ruge Mutahaba (Wanne kulia) kwa niaba ya uongozi wa Clouds Media Group na PrimeTime Promotions  Ltd ambao ndio waandaaji wa Tamasha la Fiesta 2014,ametangaza rasmi kuwa onesho la tamasha hilo lililobeba ujumbe murua kabisa wa sambaza upendo, litafanyika kesho jumapili ndani ya uwanja wa Karume.
Tamasha hilo la Fiesta lilipangwa kufanyika JANA ijumaa mjini Musoma mkoani Mara lakini kufuatia ajali mbaya iliyotokea mkoani humo jana na kusababisho...

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Chadema Wafichua Mbinu Zilizopangwa Kuvuruga Uchaguzi wa Jumapili hii

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Chadema, Reginald Munisi (kulia) akifafanua jambo. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Prof. Abdallah Safari Thursday, October 22, 2015 ZIKIWA zimebaki siku tatu kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 mwaka […]

The post Chadema Wafichua Mbinu Zilizopangwa Kuvuruga Uchaguzi wa Jumapili hii appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani