Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UCHAMBUZI: Hivi Sitta alimaanisha au ulimi uliteleza?

>Septemba 15 mwaka huu, saa 2:00 usiku wakati akiahirisha kikao cha Bunge, Mwenyekiti wa Bunge la Katiba Samwel Sitta alisema fedha zitakazookolewa katika uendeshaji wa Bunge hilo hazitarudishwa Serikalini bali zitatafutiwa kile alichokiita‘utaratibu’.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Mkapa: Ninachunga ulimi wangu

benjamin mkapaNA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
RAIS Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin Mkapa, amesema kwamba yeye ni mwanasiasa mstaafu anayechunga ulimi wake.
Mkapa alitoa kauli hiyo Dar es Salaam jana alipofungua mkutano wa makandarasi ulioandaliwa na Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB).
Alisema pamoja na hali hiyo hivi sasa kila anapopelekewa mialiko ukiwamo wa CRB huwa anajiuliza kukubali lakini hujikutuka akipata moyo kwa kuchunga ulimi wake.
“Nilipoombwa kuja kuwa mgeni rasmi katika mkutano huu...

 

10 years ago

GPL

NYAMA YA ULIMI MPE LAAZIZ WAKO

Mmmh mshaanza eti nimeishaingia mama Chaunabe, kitanga na njia nisiye na breki kwenye domo langu, wahenga wanasema kinywa cha mkubwa kinanuka lakini maneno hayanuki. Najua maneno yangu ya shombo huenda hayakufurahishi wewe, ambaye kila kukicha unabadili wanaume na kuonekana una hila. Shutuuu dada mwanamke tabia babu wee, mwanamke kujua mumeo anataka nini, mwanamke kujituma kwenye kiwanja kifupi cha sita kwa sita.
Unasahau cha...

 

10 years ago

Habarileo

Auawa kwa shoka, anyofolewa ulimi

Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya Barakael MasakiIMANI ya ushirikina, ajali na vitendo vya ukatili dhidi ya binadamu vimesababisha wananchi wa mikoa ya Mbeya kugubikwa na simanzi kutokana na mauaji ya kutisha.

 

11 years ago

GPL

NYAMA YA ULIMI MPE LAAZIZI WAKO

MMMH mshaanza eti nimeisha ingia mama Chaunabe kitanga na njia nisiye na bleki kwenye domo langu, wahenga wanasema kinywa cha mkubwa kinanuka lakini maneno hayanuki. Najua maneno yangu ya shombo huenda hayakufurahishi wewe ambaye kila kukicha unabadili wanaume na kuonekana una hila. Shutuuu dada mwanamke tabia babu wee, mwanamke kujua mumeo anataka nini, mwanamke kujituma kwenye kiwanja kifupi cha sita kwa sita.
Unasahau cha...

 

10 years ago

Habarileo

Mtoto auawa, sehemu za siri, ulimi vyakatwa

Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Kilimanjaro, Fulgence NgonyaniWATU watatu wamefariki dunia mkoani Kilimanjaro, katika matukio matatu tofauti, likiwemo la mtoto aliyetambulika kwa jina la Faterine Massawe (14) kulawitiwa na kuuawa kikatili, kisha kukatwa sehemu zake za siri na ulimi na watu wasiojulikana.

 

9 years ago

Bongo5

Zari: Diamond ananipenda hivi hivi pamoja na ninyi kuniona bibi!

12357542_428396244023192_1854107619_n

Kuna watu wanaodai kuwa make up ya Zari kwenye video ya Utanipenda! imemharibu na sasa mpenzi huyo wa Diamond amevunja ukimya na kuwajibu.

12357542_428396244023192_1854107619_n

Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Zari ameandika:

Need I remind some fools that this was a music video a lot of make up going on here and sometimes it just doesn’t do justice on a face, so if age is what is bothering you guess what, he knows there is a lot of young hoes out there but then again he prefers this old ass right here, so suck that up and take...

 

9 years ago

MillardAyo

Ni kweli Pep Guardiola kaamua hivi kuhusu Man City? Ujerumani wameandika hivi …

Kocha wa zamani wa klabu ya FC Barcelona ambaye kwa sasa anaitumikia klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani Pep Guardiola jina lake limekuwa likitumika kupamba headlines tofauti tofauti za magazeti ya michezo barani Ulaya na Afrika, hususani juu ya stori za kocha huyo kuhusishwa kutaka kujiunga na Man City ila Chelsea na Man United […]

The post Ni kweli Pep Guardiola kaamua hivi kuhusu Man City? Ujerumani wameandika hivi … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

GPL

ADRIANNE LEWIS; MWANADADA MWENYE ULIMI MREFU ANAYETAKA KUVUNJA REKODI YA DUNIA

Adrianne Lewis akipima ulimi wake wenye inchi nne. MWANADADA Adrianne Lewis mwenye umri wa miaka 18 kutoka Michigan anafukuzia rekodi ya dunia kwa kuwa mtu mwenye ulimi mrefu kuliko wote. Adrianne mwenye ulimi wa inchi nne anataka kuvunja rekodi inayoshikiliwa na Nick Stoeberl mwenye ulimi wa inchi 3.9. Dada huyo ana uwezo wa kugusa pua yake, kidevu chake, jicho na nyusi zake kwa kutumia ulimi huo. Adrianne ana chaneli yake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani