UCHAMBUZI: Hivi Sitta alimaanisha au ulimi uliteleza?
>Septemba 15 mwaka huu, saa 2:00 usiku wakati akiahirisha kikao cha Bunge, Mwenyekiti wa Bunge la Katiba Samwel Sitta alisema fedha zitakazookolewa katika uendeshaji wa Bunge hilo hazitarudishwa Serikalini bali zitatafutiwa kile alichokiita‘utaratibu’.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania15 May
Mkapa: Ninachunga ulimi wangu
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
RAIS Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin Mkapa, amesema kwamba yeye ni mwanasiasa mstaafu anayechunga ulimi wake.
Mkapa alitoa kauli hiyo Dar es Salaam jana alipofungua mkutano wa makandarasi ulioandaliwa na Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB).
Alisema pamoja na hali hiyo hivi sasa kila anapopelekewa mialiko ukiwamo wa CRB huwa anajiuliza kukubali lakini hujikutuka akipata moyo kwa kuchunga ulimi wake.
“Nilipoombwa kuja kuwa mgeni rasmi katika mkutano huu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjKg4FaegE7T5lCnpMM3h-btmgd2qVZk55hDmrAkh9w0xhD5B5TIFkHz-SWWkNnh2m6zzL1RnGb9xWARWGySb7B5/MonicaBellucciSylvieLancrenon10.jpg?width=650)
NYAMA YA ULIMI MPE LAAZIZ WAKO
10 years ago
Habarileo28 Jan
Auawa kwa shoka, anyofolewa ulimi
IMANI ya ushirikina, ajali na vitendo vya ukatili dhidi ya binadamu vimesababisha wananchi wa mikoa ya Mbeya kugubikwa na simanzi kutokana na mauaji ya kutisha.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg03NTS4Lfl2IpNJUA1UDhjUfpgwnMjbzz3wdhbEroWpZAu-xphZRDbU5kwhZaSJ6uAp1BBF2E82*0Q3Vsx1dEA0/COUPLES.jpg?width=650)
NYAMA YA ULIMI MPE LAAZIZI WAKO
10 years ago
Habarileo26 May
Mtoto auawa, sehemu za siri, ulimi vyakatwa
WATU watatu wamefariki dunia mkoani Kilimanjaro, katika matukio matatu tofauti, likiwemo la mtoto aliyetambulika kwa jina la Faterine Massawe (14) kulawitiwa na kuuawa kikatili, kisha kukatwa sehemu zake za siri na ulimi na watu wasiojulikana.
9 years ago
Bongo517 Dec
Zari: Diamond ananipenda hivi hivi pamoja na ninyi kuniona bibi!
![12357542_428396244023192_1854107619_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12357542_428396244023192_1854107619_n-300x194.jpg)
Kuna watu wanaodai kuwa make up ya Zari kwenye video ya Utanipenda! imemharibu na sasa mpenzi huyo wa Diamond amevunja ukimya na kuwajibu.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Zari ameandika:
Need I remind some fools that this was a music video a lot of make up going on here and sometimes it just doesn’t do justice on a face, so if age is what is bothering you guess what, he knows there is a lot of young hoes out there but then again he prefers this old ass right here, so suck that up and take...
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Ni kweli Pep Guardiola kaamua hivi kuhusu Man City? Ujerumani wameandika hivi …
Kocha wa zamani wa klabu ya FC Barcelona ambaye kwa sasa anaitumikia klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani Pep Guardiola jina lake limekuwa likitumika kupamba headlines tofauti tofauti za magazeti ya michezo barani Ulaya na Afrika, hususani juu ya stori za kocha huyo kuhusishwa kutaka kujiunga na Man City ila Chelsea na Man United […]
The post Ni kweli Pep Guardiola kaamua hivi kuhusu Man City? Ujerumani wameandika hivi … appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tZHhhMhD8MALInfCPAH4YCoI-FWfOOKi6Wtwjtf91Z*n9uQ8VJCfc1N2-ON99iCF7bo03jg*DpUFhB6olp-109ECwYSJT8ar/1.jpg)
ADRIANNE LEWIS; MWANADADA MWENYE ULIMI MREFU ANAYETAKA KUVUNJA REKODI YA DUNIA
10 years ago
Bongo Movies01 May