Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uganda na kamusi mpya

kamusi yenye kuendana na msamiati mpyawenye mchanganyiko wa maneno ya Kiingereza na lugha mama za Uganda imezinduliwa nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Katibu mtendaji BAKITA amkabidhi kamusi kuu mpya ya kiswahili katibu mkuu wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo

Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel(kulia) akikabidhiwa kamusi kuu mpya ya Kiswahili kutoka kwa Katibu Mtendaji kutoka baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) Dkt Selemani Sewangi.Kamusi hiyo mpya ina jumla ya maneno makuu Zaidi ya elfu thelathini na sita(36000) na kurasa 1264. Katibu Mtendaji kutoka baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) Dkt Selemani Sewangi(kushoto) akitoa ufafanuzi kwa Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Mwananchi

TATAKI yazindua kamusi ya Kinyarwanda na Kiswahili

Machapisho tisa yaliyotolewa na Taasisi ya Taaluma za Kiswahili (TATAKI) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam yalizinduliwa jana na Rais wa awamu ya pili ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Ali Hassan Mwinyi.

 

9 years ago

Michuzi

LONGHORN PUBLISHERS WAKIZINDUA KAMUSI KUU YA KISWAHILI KUTOKA BAKITA

 Mgeni rasmi mkuu wa mkoa wa Mwanza Mh. Magesa Mulongo akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Kamusi ya kiswahili huku akishuhudiwa na mwenyekiti wa TAHOSSA Taifa Bonus Ndimbo katika ghafla iliyofanyika kwemye mkutano mkuu wa TAHOSSA jijini Mwanza. Mgeni rasmi akiwaonyesha wakuu wa shule nchini (hawapo pichani) kamusi kuu ya kiswahili aliyoizindua, kushoto ni muhariri mkuu wa kamusi hiyo James Mwilaria Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mh. Masesa Mulongo akisaini kitabu cha wageni mara baada...

 

9 years ago

Habarileo

Uganda bingwa mpya Chalenji

TIMU ya Taifa ya Uganda ‘The Cranes’ jana ilitwaa ubingwa wa Kombe la Chalenji baada ya kuifunga Rwanda ‘Amavubi’ bao 1-0.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ushoga:Tetesi za sheria mpya Uganda

Suala la wapenzi wa jinsia moja na sheria nchini Uganda baado linazua mijadala nchini Uganda kukiwa na tetesi kuwa sheria kali zaidi inaundwa

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Bushoke ashoot video mpya na msanii wa Uganda

Muimbaji wa Bongo Flava, Bushoke ambaye kwa sasa anaishi Afrika Kusini ameshoot video ya wimbo wake mpya akiwa na msanii wa Uganda, Face Off. Bushoke amesema wimbo huo unaitwa ‘She Wants It’ na umeimbwa katika lugha tatu, Kiswahili, Kiingereza na Kiganda. Video imefanyika jijini Cape Town katika location tatu tofauti huku kampuni iliyohusika ikiitwa Dirty […]

 

10 years ago

Michuzi

Fastjet yazindua safari mpya kati ya Kilimanjaro na Entebbe, Uganda

Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (Kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) katika uzinduzi wa safari mpya kati ya Kilimanjaro, Tanzania na Entebbe, Uganda. Uzinduzi huo ulifanyika katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Entebbe wiki iliyopita. Kushoto ni Mkurugenzi asiye mtendaji wa Fastjet Tanzania, Lawrence Masha.Meneja Mkuu wa shirika la Ndege la Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (kushoto aliyeinama) na Mkurugenzi asiye mtendaji...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Uganda yazindua sera mpya ya usafiri kudhibiti maambukizi

Serikali ya Uganda imezindua sera karantini kwa wasafiri wanaowasili nchini humo kutoka mataifa 16 yaliyo kwenye 'hatari zaidi' ili kuzuia kusambaa kwa virusi vya Corona.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani