Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ugunduzi mpya kuhusu Malaria

Vimelea vinavyosababisha Malaria huweza kuishi mwilini kwa uboho (Bone Marrow) na kuepuka kinga za mwili na hivyo kusababisha maradhi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

NEEMA: Ugunduzi wabaini aina mpya ya viumbe

>Tanzania imegundua aina 27 za viumbe vipya jamii ya nyoka mijusi na vyura ambao hawapatikani eneo jingine duniani.

 

5 years ago

Michuzi

TAARIFA KUHUSU MAADHIMISHO SIKU YA MALARIA DUNIANI

 Waziri wa Afya , Maendeleoya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu


 

10 years ago

Michuzi

BALOZI KALLAGHE ASHIRIKI UZINDUZI WA RIPOTI KUHUSU MALARIA DUNIANI

Tarehe 9 Desemba 2014, ripoti ya mwaka ya dunia ya malaria (World Malaria Report 2014) ilizinduliwa rasmi katika hafla fupi iliyofanyika katika ofisi za bunge la Uingereza zilizopo Portcullis House, Westminster jijini London.
Katika hafla hiyo, Tanzania ilitajwa kama mfano wa nchi inayoendelea kupata mafanikio barani Afrika katika kupambana na ugonjwa wa Malaria hasa kwa upande wa Zanzibar.
Tanzania ilipongezwa kwa mchango wa kisiasa wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika kuhakikisha agenda...

 

9 years ago

Vijimambo

9 years ago

BBCSwahili

Aina mpya ya Malaria yatishia Waafrika

Watafiti wanaonya kuwa aina mpya ya Malaria isiyosikia dawa itahatarisha maisha ya mamilioni ya watu barani Afrika

 

9 years ago

Mwananchi

Muundo mpya wa dawa ya malaria wazinduliwa nchini

Wagonjwa wa Malaria sasa watatumia vidonge 6  badala ya 24 kwa dozi nzima ikiwa ni sawa na asilimia 75 ya punguzo la mzigo wa vidonge, iwapo watatumia dawa aina ya coartem.

 

9 years ago

Mtanzania

Mbinu mpya ya kudhibiti mbu waenezao malaria

Jamii Yetu Pull Out. Siah.inddMALARIA ni ugonjwa wa kuambukiza u n a o l e t w a na chembe chembe zinazojulikana kwa jina la kitaalamu plasmodium.
Chembe chembe hizi huingia ndani ya mwili wa binadamu baada ya kuumwa na mbu jike aina ya Anopheles.
Mbu mwenye chembe chembe za plasmodium anapomuuma mtu, humuingizia baadhi ya mate yenye viini vya
kuambukiza kwenye kidonda, hivyo kusambaza malaria.

Viini hivi husafiri hadi katika maini ambapo hukaa hadi vifikie ukomavu.
Kuna aina 4 za malaria, ambazo ni P. vivax, P....

 

11 years ago

Michuzi

KABLA YA KUANZA KWA MTANANGE WA WATANI WA JADI SIMBA NA YANGA-SOMO LATOLEWA KUHUSU MALARIA NO MORE

 Wasanii mahiri wanaounda kundi la THT wakiimba wimbo wa Malaria No More  kabla ya mechi kuanza ya watani wa jadi Simba na Yanga.Wakati Vodacom Tanzania  kushirikiana na Taasisi ya Malaria No More na THTwalipokuwa wakitangaza namba maalumu ambayo wateja wanaotumia huduma za kampuni hiyo wanaweza kuitumia kupata taarifa zinazohusiana na ugonjwa wa malaria. Ili mteja kuweza kupata taarifa hizo zinazohusisha jinsi ya kujikinga, tiba na masuala mengine mbalimbali ya Malaria anachopaswa mteja...

 

11 years ago

Mwananchi

Chanjo mpya ya Malaria kuleta tumaini kwa asilimia 100

Wakati vifo zaidi ya 700,000 vitokanavyo na Malaria vikitokea ukanda wa Jangwa la Sahara kila mwaka wanasayansi wa Taasisi ya Afya ya Ifakara (IHI) wakishirikiana na kampuni ya Marekani wameanza majaribio ya chanjo mpya inayotarajiwa kuzuia malaria kwa asilimia 100.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani