Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uhalifu huu unaiua Zanzibar kiuchumi

Tumesikitishwa na habari za kutokea kwa milipuko minne inayosadikiwa kuwa ni mabomu katika maeneo matatu tofauti visiwani Zanzibar juzi, ambapo watu wanne walijeruhiwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mkutano mkubwa wa Kimataifa wa Wafadhili wa kustawisha Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii ya Zanzibar,kufanyika robo mwaka ya mwisho ya mwaka huu

Mkutano mkubwa wa Kimataifa wa Wafadhili { Donor Conference } kwa ajili ya kustawisha Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii ya Zanzibar unatarajiwa kufanyika robo mwaka ya mwisho ya mwaka huu hapa Zanzibar baada kukamilika kwa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Mkutano huo utakofadhiliwa na Serikali ya Oman unatatarajiwa pia kujumuisha Wawekezaji wa sekta ya fedha na uchumi kutoka Mataifa na Taasisi tofauti Duniani . Mjumbe Maalum wa Serikali ya Oman Bwana Yahya Al – Ureim alieleza...

 

10 years ago

Mwananchi

Mihadarati yaongeza uhalifu Zanzibar

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imekiri kuongezeka kwa vitendo vya uhalifu katika mji mdogo wa Mochuari kisiwani Pemba kutokana na kushamiri kwa matumizi ya mihadarati dawa za kulevya.

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge waambiwa uhalifu Zanzibar umepungua

Naibu Waziri Mambo ya Ndani, Pereira Ame SilimaMATUKIO ya uhalifu Zanzibar yamepungua kutoka matukio 10 kwa mwaka hadi kufikia matatu au manne kutokana na kudhibiti maeneo ya kuingilia wageni pamoja na kufanywa kwa operesheni mbalimbali.

 

10 years ago

Habarileo

Zanzibar kutumia kamera kudhibiti uhalifu

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaweka kamera katika maeneo mbalimbali Unguja na Pemba kwa ajili ya kukabiliana na matukio ya uhalifu.

 

11 years ago

Mwananchi

Zanzibar kufunga CCTV kudhibiti uhalifu

 Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imepanga kufunga kamera za usalama (CCTV) katika maeneo mbalimbali ya kitalii visiwani hapa ikiwa ni moja ya jitihada za kupambana na uhalifu.

 

9 years ago

Vijimambo

Maalim Seif kuifungua Zanzibar kiuchumi na kibiashara pindipo akipata ridhaa za wananchi

Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na wafuasi na wapenzi wa Chama hicho katika viwanja vya Kwawazee mjini Zanzibar.Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwatambulisha na kuwanadi baadhi ya wagombea wa nafasi za Ubunge, Uwakilishi na Udiwani kwa majimbo ya Amani na Magomeni katika viwanja vya Kwawazee mjini Zanzibar.Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad,...

 

9 years ago

Michuzi

DENMARK IMEAHIDI KUENDELEA KUIUNGA MKONO ZANZIBAR KATIKA HARAKATI ZAKE ZA KIUCHUMI

 Balozi Mpya wa Denmark Nchini Tanzania Einar Hebogard Jensen akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwa Balozi Seif Vuga Mjini Zanzibar alipofika kujitambulisha rasmi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwa Balozi Seif akibadilishana mawazo na Balozi Mpya wa Denmark Nchini Tanzania Bwana Einar Hebogard Jensen.
Picha na –OMPR – ZNZ.                 DENMARK imeahidi kuendelea kuiunga Mkono  Zanzibar katika harakati zake za...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZ...: MWAKILISHI WA JIMBO LA MAGOMENI ZANZIBAR AFARIKI DUNI GHAFLA MCHANA HUU


Habari iliyotufikia hivi punde toka Visiwani Zanzibar,inaeleza kuwa Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni,Mhe. Salmin Awadh amefariki dunia mchana huu baada kuanguka hafla akiwa kikaoni katika Afisi kuu ya CCM kisiwandui,mjini Unguja Zanzibar.
Pichani ni Mwili wa Mwakilishi huyo ukipakiwa kwenye gari ukitolewa kwenye hospitali ya Mnazi Mmoja kwenda nyumbani kwake kwa matayarisho ya mazishi.
taarifa kamili tutapeana hapo baadae.

 

10 years ago

Michuzi

RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI DR. ALI MOHAMMED SHEIN MGENI RASMI TUZO ZA TASWA USIKU HUU

0001Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mh. Dr. Ali Mohammed Shein akikabidhi tuzo ya heshima ya mwanamichezo bora wa mwaka kwa Mama Fatma Karume Mjane wa Rais wa kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Marehemu Mzee Abeid Amani Karume iliyotolewa na Chama cha Waandishi wa habari za Michezo TASWA kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee Usiku huu. Kushoto ni Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa habari za Michezo TASWA Bw. Juma Pinto.)003Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani