Uhamiaji yakusanya zaidi ya Sh44 bilioni
Idara ya uhamiaji imekusanya zaidi ya Sh44 bilioni kutoka katika vyanzo vyake kati ya Julai na Novemba 2014 na kuvuka malengo kwa asilimia 13.6.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R_vGc-QsXzs/VSfYsyMbBrI/AAAAAAAHQIA/-wV8LBPhP90/s72-c/unnamedM.jpg)
TRA YAKUSANYA ZAIDI YA SH.BILIONI 258 KWA FAINI NA KODI ZA BIDHAA ZA MAGENDO
MAMLAKA ya Mapato Nchini (TRA), kwa kipindi cha miezi miwili iliyopita imekusanya zaidi ya Sh. Bilioni 258 zilizotokana na faini ya bidhaa mbalimbali za magendo.
Hayo ameyasema leo Mkurugenzi huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi wa TRA, Richard Kayombo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es salaam,amesema TRA inaungana na jeshi la Polisi katika kukamata watu wanaojihusisha na usafirishaji na uuzaji wa ...
11 years ago
Habarileo15 Jun
Bodi ya Mikopo yakusanya bilioni 49.7/-
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu imekusanya zaidi ya Sh bilioni 49.7 ya mikopo kutoka kwa wanufaika wa mikopo hiyo hadi kufikia Aprili 30, mwaka huu.
10 years ago
MichuziIDARA YA UHAMIAJI YAINGIZA SH.BILIONI 474 AWAMU YA NNE YA RAIS JAKAYA KIKWETE
Akizungumza na waandishi wa habari leo Kamishina wa Fedha na Utawala,Piniel Mgonja amesema kuwa katika awamu ya nne uhamiaji imeweza kufanya kazi ya kisasa kutokana na mifumo pamoja na ujenzi wa Chuocha kuendeleza maafisa wa idara hiyo.
Amesema katika utoaji wa hati ya kusafiria...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3DMWYVM5zonQWPpDyeuLHIKTvpzOjiLuWekWGQ7gvV2ldSw0H18JhplSymi24YTqaePC2HOfzMRzdreii0p-m2B/chikawe.jpg?width=650)
UHAMIAJI WANATAKIWA KUFIKIRI ZAIDI
10 years ago
Dewji Blog29 Oct
Halmashauri ya Ikungi yakusanya zaidi ya shilingi billion 2 ndani ya miezi 3 kutoka vyanzo mbalimbali vya mapato
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, Celestine Yunde, akizungumza kwenye kikao cha kawaida cha baraza la madiwani.Kulia ni makwamu mwenyekiti, Ali Mwanga na wa kwanza kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Ikungi,Hassan Tanti na anayefuatia ni Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri wilaya Ikungi, Mahammud Nkya.
Na Nathaniel Limu, Ikungi
HALMASHAURI ya wilaya ya Ikungi mkoani Singida, imekusanya mapato ya zaidi ya shilingi 2.9 bilioni kutoka vyanzo vyake mbalimbali vya...
9 years ago
MichuziBANK OF AFRIKA TANZANIA YAKUSANYA ZAIDI YA MILIONI 210 KUSAIDIA MATIBABU YA WATOTO WANAOZALIWA NA MIGUU ILIYOPINDA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-MdcTyrV9dVw/XqKZAO_gsEI/AAAAAAAC310/Te1brv3QwO8elZyPeRxHyLeR9LNC19cTACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
SERIKALI KUTOA AJIRA ZAIDI YA 4000 KWA POLISI, MAGEREZA, UHAMIAJI NA ZIMAMOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-MdcTyrV9dVw/XqKZAO_gsEI/AAAAAAAC310/Te1brv3QwO8elZyPeRxHyLeR9LNC19cTACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Serikali Kutoa Ajira Zaidi ya 4000 kwa Polisi, Magereza, Uhamiaji, ZimamotoAkiwasilisha makadirio ya bajeti ya mwaka 2020/21, Waziri wa wizara hiyo, George Simbachawene, alisema ajira hizo zitakwenda pamoja na mafunzo mbalimbali kwa askari na watumishi mbalimbali.
Alisema kwa mwaka huo, Jeshi la Polisi linatarajia kuajiri askari 2,725, askari Magereza 685, Uhamiaji 495 na Zimamoto...
9 years ago
AllAfrica.Com20 Aug
Sh44 Million Ivory 'Was From 160 Elephants'
AllAfrica.com
The 314 pieces of ivory, allegedly found in possession of Mombasa businessman Feisal Ali Mohamed, were extracted from 160 elephants, a court heard on Wednesday. The trophy, weighing 2,152 kilograms and valued at Sh44 million, was harvested from ...