Uholanzi kukutana na Argentina
Uholanzi imeishinda Costa Rica ili kuungana na Argentina, Brazil na Ujerumani katika mechi za semi fainali ya kombe la dunia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo510 Jul
Argentina yailaza Uholanzi 4-2, fainali Argentina na Ujerumani july 13
Timu ya soka ya Argentina imejikatia tiketi ya kufuzu kwa fainali yake ya kwanza tangu mwaka 1990 baada ya kuilaza timu ya Uholanzi kwa goli 4-2, ambapo fainali itachuana na Ujerumani july 13 siku ya jumapili. Katika mchezo huo wa nusu fainali wa jana, Argentina na Uholanzi zilitoka sare tasa baada ya muda wa kawaida […]
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UiJqgvoGuXQ/VXk7Rv0_3yI/AAAAAAAHeoc/VcmBAeMjMf0/s72-c/IMGL0003.jpg)
Watanzania waishio Uholanzi wafurahia kukutana na kuagana na JK jijini the Hague
![](http://3.bp.blogspot.com/-UiJqgvoGuXQ/VXk7Rv0_3yI/AAAAAAAHeoc/VcmBAeMjMf0/s640/IMGL0003.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z4ubm6dRQ9Q/VXk7ReVvcYI/AAAAAAAHeok/fV86EcQ7bfg/s640/IMGL0037.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--DCI7dK0NqY/VXk7RVHOmYI/AAAAAAAHeog/5HKesLAMYuk/s640/IMGL0040.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vzJaMtZ82A0/VXk7Tl94iTI/AAAAAAAHeo0/GkM_40F8wn0/s640/IMGL0052.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-luCgtpRSAk8/VXk7UMeirsI/AAAAAAAHeo4/00rldCch1ck/s640/IMGL0055.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRbRog78kShNuFvg6v*KMqFPMeguYPmXUvPBWNGvTBk48uyoEtFx847XFldTWGISzH5wXWX0bS*qxDIoa*BVxTpX/NetherlandsvsArgentina2014.jpg?width=650)
11 years ago
Bongo513 Jul
Uholanzi yailaza Brazil 3-0,Uholanzi yashika nafasi ya 3 kombe la dunia
Timu ya taifa ya Uholanzi imeibamiza Brazil 3-0 na kutwaa nafasi ya tatu katika kombe la dunia huko Brazil. Mashabiki wa Brazil waliwazomea wachezaji wao akiwemo kocha Luiz felipe Scolari kwa utendakazi duni katika mechi hizi mbili za mwisho ambazo Brazil imefungwa mabao 10 nayo ikifunga moja. Brazil ilifungua mechi hiyo kwa kasi lakini ikafungwa […]
9 years ago
Vijimambo04 Sep
DR SLAA AKIRI KUKUTANA NA MWAKYEMBE SIKU MOJA KABLA YA KUKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI, AMWAMBIA LISSU AONYESHE VOCHA YA YEYE KUCHUKUA MSHAHARA CHADEMA
![](http://jewajua.com/wp-content/uploads/2015/09/Dr-Wilbroad-Slaa-Akitangaza-Kuachana-na-Sisa-za-Vyama-741x486.jpg)
SIKU moja baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, kutangaza kuachana na siasa na kushusha tuhuma kwa chama chake, maaskofu wa Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), imebainika kuwa kabla ya kuzungumza na waandishi wa habari alikutana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwamo Dk. Harison Mwakyembe.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Dk. Slaa ambaye alimshambulia mgombea...
11 years ago
BBCSwahili02 Jul
Argentina 1-0 Uswissi
Bao la dakika za majeruhi la Di Maria laisaidia Argentina kutinga robo fainali
11 years ago
BBCSwahili13 Jun
Uhispania inakabiliana na Uholanzi
Mabingwa watetezi Uhispania wamakabiliana na Uholanzi katika marudio ya fainali ya kombe la dunia la 2010.
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Japan yaichapa Uholanzi
Timu ya taifa ya Japan imekua timu ya mwisho kufuzu kwa robo fainali katika michuano ya kombe la dunia la wanawake.
10 years ago
BBCSwahili23 Nov
Mabaki ya MH 17 kurejeshwa Uholanzi
mabaki ya ndege ya shirika la ndege la Malaysia MH 17 yaliyookotwa huko mashariki mwa Ukraine hatimaye yanarejeshwa Uholanzi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania