Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uimarishaji Miundombinu ya Barabara za Ndani Zenj Ukiendelea.

Mafundi wa Idara ya Utunzaji wa Baraza Zanzibar wakiweka lami barabara ya muembetanga hadi mtendeni ili kuimarisha barabara hiyo kuiweka katuika kiwango cha lami baada ya lami yake ya zamani kuharibika kwa kuchimbika, Wizara husiku inazifanyika ukarabati wa kuziwekea lami barabara za ndani katika manispa ya Zanzibar kuimarisha miundombinu hiyo kwa Wananchi. Eneo la mtendeni barabara hiyo ikiwa tayari imeshawakwa lami mpya nas kutowa huduma kwa watumiaji wa barabara hiyo Eneo la muembetanga...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

UJENZI WA BARABARA YA MTAA WA LION-SINZA UKIENDELEA

Vifusi vya mchanga ambavyo vimemwagwa kwaajili ya kutengeneza barabara ya mtaa wa Lion Sinza jijini Dar es Salaam.Alama ya barabarani inayoonyesha  vyombo vya usafiri vipite upande wa kulia wakati ujenzi ukiendelea. Mashine inayotumika kushindilia udongo wakati wa kutengeneza barabara.Mafundi wakiendelea na ujenzi wa barabara ya mtaa wa Lion Sinza jijini Dar es Salaam.(Picha zote na Avila Kakingo,Globu ya Jamii)

 

10 years ago

Michuzi

UJENZI WA BARABARA YA CHUO KIKUU KUTOKEA MBEZI YA KIMARA UKIENDELEA KWA KASI

Pichani juu ni sehemu ya kipande cha barabara ya lami ambacho tayari kimekwisha kamilika,kama kilivyonaswa na Globu ya Jamii wakati ikivinjari katika barabara hiyo jana na kujionea ujenzi huo ukienda kwa kasi,barabara hiyo ambayo imeonekana kuwa na umuhimu mkubwa katika jitihada za kupambana na msongamano wa magari ambao umekuwa kero kubwa kwa wakazi wa jiji la Dar na kwingineko.Barabara hiyo almaarufu kwa jina la barabara ya chuo kikuu ambayo pia unaweza kwenda Goba ama kuchepuka na kutokea...

 

11 years ago

Michuzi

UONGOZI WA DAMPO WAAGIZWA KUREKEBISHA MIUNDOMBINU YA BARABARA

DSC_0458 Gari la Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick likiwasili Dampo kuu la taka la Pugu Kinyamwezi, lililopo maeneo ya Gongo la Mboto jijini Dar alipofanya ziara ya ghafla kwenye dampo hilo.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
Na. Damas Makangale, MOblog.
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick ametoa agizo mara moja kwa uongozi wa Dampo nje kidogo la jiji la Dar, Pugu Kinyamwezi, kurekebisha miundombinu ya barabara pamoja na taa ili kurahisisha umwagaji wa taka katika dampo...

 

11 years ago

GPL

UONGOZI WA DAMPO WAAGIZWA KUREKEBISHA MIUNDOMBINU YA BARABARA‏

Gari la Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick likiwasili Dampo kuu la taka la Pugu Kinyamwezi, lililopo maeneo ya Gongo la Mboto jijini Dar alipofanya ziara ya ghafla kwenye dampo hilo.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog). Kaimu Mkuu wa Idara ya Udhibiti taka kutoka halmashauri ya jiji, Bi. Enezael Ayo (kushoto) akifafanua jinsi magari ya taka yanavyomwaga taka katika dampo kuu taka la Pugu Kinyamwezi jijini Dar wakati...

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI LUDEWA WAIOMBA SERIKALI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA

Na Amiri Kilagalila,Njombe. Wananchi wa kitongoji cha Mking’ino kijiji cha Luvuyo kata ya Madope wilayani Ludewa mkoani Njombe wameiomba serikali kuboresha miundombinu ya barabara inayounganisha kijiji chao na vijiji  jirani ili kurahisisha upatikanaji wa huduma mbalimbali za kijamii. Wakazi hao akiwemo Erasto Mtega, Junitha Mbukwa na Stia Chaula wamesema asilimia kubwa ya wakazi wa eneo hilo ni wakulima wa mazao ya viazi mviringo na mahindi lakini changamoto ya ubovu wa barabara inawalazimu...

 

11 years ago

GPL

5 years ago

Michuzi

WANANCHI KIJIJI CHA IGAWA WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA


Na Mwandishi Wetu,MAELEZO-DAR ES SALAAM
 WANANCHI wa Kijiji cha Igawa, Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya wamempongeza Rais Dkt. John Magufuli kwa kuboresha miundombinu ya barabara hatua inayolenga kufungua fursa za kiuchumi na ukuaji wa miji katika maeneo mbalimbali nchini. Wakizungumza katika mahojiano maalum na Idara ya Habari (MAELEZO) hivi karibuni Kijijini hapo, wananchi hao walisema udhubutu uliofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano katika kutekeleza miradi mikubwa ya...

 

5 years ago

Michuzi

UHARIBIFU WA MIUNDOMBINU YA BARABARA KATIKA JIMBO LA MKURUNGA WASABABISHA NAIBU WAZIRI ABDALLAH ULEGA KUTOA MAELEKEZO KWA TARURA

Na Emmanuel Massaka,Michuzi Tv.
NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi ambae pia ni Mbunge wa Jimbo la Mkuranga mkoani Pwani Abdallah Ulega amefanya ziara katika kata mbilimbali za jimbo hilo kwa lengo la kukagua miundombinu ya barabara ilivyoharibiwa  na mvua zinazoendelea kunyesha nchini.
Kutokana na uharibifu huo Ulega amemtaka Meneja wa Wakala wa Ujenzi wa Barabara Vijijini (TARURA) kutafuta namna ya kuhakikisha barabara hizo zinapitika.
Akizungumza hivi karibuni jimboni humo na baadhi ya wananchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani