Uimarishaji Miundombinu ya Barabara za Ndani Zenj Ukiendelea.
Mafundi wa Idara ya Utunzaji wa Baraza Zanzibar wakiweka lami barabara ya muembetanga hadi mtendeni ili kuimarisha barabara hiyo kuiweka katuika kiwango cha lami baada ya lami yake ya zamani kuharibika kwa kuchimbika, Wizara husiku inazifanyika ukarabati wa kuziwekea lami barabara za ndani katika manispa ya Zanzibar kuimarisha miundombinu hiyo kwa Wananchi.
Eneo la mtendeni barabara hiyo ikiwa tayari imeshawakwa lami mpya nas kutowa huduma kwa watumiaji wa barabara hiyo
Eneo la muembetanga...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HPFHtr1RO04/VTeKE3m2HuI/AAAAAAAHSfA/K9GJTFJskRg/s72-c/IMG_2960.jpg)
UJENZI WA BARABARA YA MTAA WA LION-SINZA UKIENDELEA
![](http://2.bp.blogspot.com/-HPFHtr1RO04/VTeKE3m2HuI/AAAAAAAHSfA/K9GJTFJskRg/s1600/IMG_2960.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IwjYTIxQesQ/VTeKF9uru7I/AAAAAAAHSfY/bhcAV2I5Ffc/s1600/IMG_2988.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Rxgx89zcFNM/VTeKIHq4hhI/AAAAAAAHSfo/wkcL9XMD9L8/s1600/IMG_3012.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tcQhQFmB6tw/VTeKI5grexI/AAAAAAAHSf0/4UhlR3P8lBQ/s1600/IMG_3061.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7HYzGD0HIqs/VAFrLOIAFJI/AAAAAAAGVqE/jMfWvmNV55c/s72-c/5.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--DB4zP7tftc/VJv6i8-GLVI/AAAAAAAG5yE/CwO1rBKrCJ8/s72-c/IMG_2828.jpg)
UJENZI WA BARABARA YA CHUO KIKUU KUTOKEA MBEZI YA KIMARA UKIENDELEA KWA KASI
![](http://3.bp.blogspot.com/--DB4zP7tftc/VJv6i8-GLVI/AAAAAAAG5yE/CwO1rBKrCJ8/s1600/IMG_2828.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-u8FBOIHe268/VJv6g6QKByI/AAAAAAAG5xo/bFJaq2SrHy0/s1600/IMG_2796.jpg)
11 years ago
Michuzi27 Mar
UONGOZI WA DAMPO WAAGIZWA KUREKEBISHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
![DSC_0458](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0458.jpg)
Na. Damas Makangale, MOblog.
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick ametoa agizo mara moja kwa uongozi wa Dampo nje kidogo la jiji la Dar, Pugu Kinyamwezi, kurekebisha miundombinu ya barabara pamoja na taa ili kurahisisha umwagaji wa taka katika dampo...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0458.jpg?width=640)
UONGOZI WA DAMPO WAAGIZWA KUREKEBISHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LOCpssTMyE0/Xut7m2rC8vI/AAAAAAALue8/pyZjmKmU154tziMn--gUugiCc7DKnVQBQCLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
WANANCHI LUDEWA WAIOMBA SERIKALI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
11 years ago
GPL5 years ago
MichuziWANANCHI KIJIJI CHA IGAWA WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
Na Mwandishi Wetu,MAELEZO-DAR ES SALAAM
WANANCHI wa Kijiji cha Igawa, Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya wamempongeza Rais Dkt. John Magufuli kwa kuboresha miundombinu ya barabara hatua inayolenga kufungua fursa za kiuchumi na ukuaji wa miji katika maeneo mbalimbali nchini. Wakizungumza katika mahojiano maalum na Idara ya Habari (MAELEZO) hivi karibuni Kijijini hapo, wananchi hao walisema udhubutu uliofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano katika kutekeleza miradi mikubwa ya...
5 years ago
MichuziUHARIBIFU WA MIUNDOMBINU YA BARABARA KATIKA JIMBO LA MKURUNGA WASABABISHA NAIBU WAZIRI ABDALLAH ULEGA KUTOA MAELEKEZO KWA TARURA
NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi ambae pia ni Mbunge wa Jimbo la Mkuranga mkoani Pwani Abdallah Ulega amefanya ziara katika kata mbilimbali za jimbo hilo kwa lengo la kukagua miundombinu ya barabara ilivyoharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha nchini.
Kutokana na uharibifu huo Ulega amemtaka Meneja wa Wakala wa Ujenzi wa Barabara Vijijini (TARURA) kutafuta namna ya kuhakikisha barabara hizo zinapitika.
Akizungumza hivi karibuni jimboni humo na baadhi ya wananchi...