Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujumbe wa Walimu kutoka Kiruna Sweden Wakiwa Makunduchi

Ndugu Moh'd Simba wa pili kushoto akizungumza wakati wa kukabidhi baiskeli 18 kwa walimu kutoka Kiruna Sweden. Sherehe ya kukabidhi baiskeli hizo ilifanyika Skuli ya Makunduchi na kuhudhuriwa na wanakijiji. Mgeni rasmi kwenye hafla hiyo ni ndugu Mwita Masemo, mwenyekiti wa Kamati ya wadi za Makunduchi ambayo imeanzisha uhusiano na Manispaa ya Kiruna. Chini ya mashirikiano wanawake wa Makunduchi watafundishwa ujasiriamali, kiingereza, kompyuta na demokrasia.Miongoni mwa wazee waliohudhuria...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

mkuu wa majeshi jenerali Davis Mwamunyange na ujumbe wake wakiwa Dubai

 Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange pamoja na ujumbe wake, akiwa na Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, Mhe. Omar Mjenga, wakiwa katika picha ya pamoja na mtumishi wa Hoteli ya Continental ya Dubai, ambaye kwa sasa ndiye Mtu Mrefu Duniani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nagu avutia uwekezaji, biashara kutoka Sweden

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk. Mary Nagvu, amesema ujio wa Malkia Mtarajiwa Princess Victoria wa Sweden utasaidia kuitangaza Tanzania kwa wafanyabiashara wa nchi...

 

11 years ago

Michuzi

Tanzania Yapokea Msaada wa sh .Bilion 151 kutoka Sweden

Waziri wa Fedha Saada Mkuya (kulia) na Balozi wa Sweden nchini Lennarth Hjermaker (kushoto) wakiweka saini katika mkataba wa programu ya kukuza stadi za kusoma,kuandika na kuhesabu wenye thamani ya shilingi Bilioni 151 ,leo jijini Dar es Salaam. Waziri wa Fedha Saada Mkuya (kulia) akibadirishana mkataba na Balozi wa Sweden nchini Lennarth Hjermaker (kushoto) baada ya kutiliana saini mkataba wa programu ya kukuza stadi za kusoma,kuandika na kuhesabu wenye thamani ya shilingi...

 

10 years ago

GPL

KONGAMANO LA KIMATAIFA LA WATOTO NA VIJANA WENYE ULEMAVU KUTOKA NCHI TATU, TANZANIA, RWANDA NA SWEDEN

Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu Eng.Christopher Chiza(katikati)akisoma hotuba iliyoandaliwa katika kongamano hilo (kulia)balozi wa Swideni wa Tanzania Lennarth Hjelmaker(kushoto)Askofu mkuu wa makanisa ya FPCT David Batenzi.…

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS JAKAYA KIKWETE AAGANA NA MABALOZI KUTOKA INDIA, UBELGIJI NA SWEDEN WALIOMALIZA MUDA WAO WA KAZI NCHINI

1
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na balozi wa India anayemaliza muda wake Mhe.Debnath Shaw wakati balozi huyo alipokwenda kumuaga ikulu jijini Dar es Salaam leo. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo ameagana na mabalozi watatu wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania baada ya kumaliza muda wao wa kazi . Mabalozi walioagana na Rais leo ikulu jijini Dar es Salaam ni pamoja na Mhe.Debnath Shaw wa India,Balozi Koenraad Adam wa Ubelgiji na balozi Lennarth Hjelmaker wa Sweden.
2Rais Dkt.Jakaya...

 

11 years ago

GPL

UJUMBE MAALUM KUTOKA KWA SHIGONGO

Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo. Hiki ndicho ninachokifahamu mimi ndugu yenu. Maisha ni vita, maisha ni mapambano na mtindo pekee wa kukusogeza mbele ni kupigana! Hata uwe mwema kiasi gani utakuwa na maadui, Yesu alikuwa nao, Mtume Muhammad alikuwa nao, Mandela alikuwa nao na hata Mahatma Gandhi alikuwa nao. Hata ufanyeje maadui watakuwepo tu, utapingwa, utapuuzwa, hivyo basi kamwe usijaribu kuwafurahisha watu,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Video ya Ujumbe wa Amani kutoka LHRC

Untitled 2

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeendeleza dhamira yake ya kujenga jamii inayozingatia Haki na Usawa kwa kutoa ujumbe wa dakika moja unaohimiza Amani kwa watanzania katika kipindi hiki cha uchaguzi.

Tazama video ya ujumbe huo hapa upate kuhamasika na kushiriki na Watanzania wengine wapenda Amani.

 

11 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani