Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa kutikisa

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) unakusudia kutumia vikao vya Bunge, kikiwamo cha ufunguzi wik

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

IPTL kutikisa Bunge

HATIMAYE sakata lililosumbua Bunge lililopita na kuzungumziwa nje ya Bunge kuhusu ufisadi wa fedha zaidi ya sh bilioni 200 katika akaunti ya Escrow, ripoti yake imekamilika na imefikishwa kwa Katibu...

 

10 years ago

GPL

MBOWE KUTIKISA MWANZA KESHO

Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema,  Alfred Rwakatare akitoa maelekezo. Walinzi wa Chadema wakiwa katika…

 

10 years ago

Mwananchi

Ufisadi mpya kutikisa Bunge

>Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kesho itawasha moto upya bungeni wakati itakaposoma ripoti maalumu ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ikitarajiwa kuibua kashfa tatu nzito ikiwamo ya misamaha ya kodi.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mjadala mkali kutikisa bunge


NA SELINA WILSON, DODOMA
MJADALA mkali unatarajiwa kutikisa Bunge leo, wakati wabunge watakapoanza kuchangia bajeti ya serikali kwa mwaka 2014/2015 iliyowasilishwa bungeni Alhamisi iliyopita.
Bajeti hiyo iliwasilishwa na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum,  na kufuatiliwa kwa karibu na wadau wa maendeleo wa ndani na nje ya nchi huku baadhi yao wakipata fursa ya kuwepo bungeni ilipowasilishwa.
Hoja zinazotarajiwa kuteka mjadala huo ni pamoja na kodi ya Payee wanayokatwa wafanyakazi ambayo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Koko Byanko Azidi Kutikisa

MUIGIZAJI Koko Byanko ameeleza kuwa, hatasahau namna alivyokuwa kambini wakati akiigiza filamu mpya ya MCC Machupachupa ambapo alikutana na jopo la wataalamu wa utengenezaji filamu lililomtia hamasa ya kuigiza kwa ustadi mkubwa kwenye filamu hiyo.


Koko alieleza kuwa, jopo hilo lililokuwa limekamilika kila idara, liliwafanya waigizaji wawe na ari kubwa wakati wote na hivyo kufanya vizuri wakati wakiigiza.


“Hapa nilipo kila wakati naweweseka kila ninapopata pongezi kutoka kwa mashabiki...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Malope kutikisa Mwanza Aprili 4

BAADA ya kuweka historia  katika Tamasha la Pasaka mwaka 2012, Malkia wa muziki wa injili Afrika Kusini, Rebecca Malope, anatarajia kuuinua umati wa mashabiki wa muziki huo jijini Mwanza, Aprili...

 

10 years ago

Mwananchi

Mauaji yazidi kutikisa Kiteto

Mapigano baina ya wakulima na wafugaji Wilayani Kiteto mkoani Manyara, yameendelea tena, ambapo watu wengine wawili wamefariki dunia jana na kufanya idadi ya waliouawa kuwa saba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mzee Yusuf kutikisa na filamu

MFALME wa Muziki wa taarabu Nchini, Mzee Yusuf, anatarajia kuachia filamu yake ya kwanza mwezi huu itakayokwenda kwa jina la ‘Nitadumu naye’ ikiwa ni nyimbo iliyowahi kutamba  nayo mwaka 2006....

 

9 years ago

Habarileo

Majaliwa kutikisa mkoa wa Ruvuma

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo ataanza ziara ya siku tatu mkoani Ruvuma, kuhimiza na kukagua shughuli mbalimbali za maendeleo. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa, Said Mwambungu alipozungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Songea jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani