Ukawa wakutana kwa dharura
Chadema kwa kushirikiana na vyama vinavyounda Ukawa, leo wanakutana kujadili mwenendo waliouita usio halali wa kutangaza matokeo, wakiituhumu Tume ya Uchaguzi (NEC), CCM na Jeshi la Polisi kushirikiana kuhujumu matokeo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-K_eL1uKQggE/XmcrdCunXEI/AAAAAAAC0lA/aA_mkZ3vWpQivR2Zd2aH6wspschfb5LTQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MAWAZIRI SEKTA YA AFYA NCHINI ZA SADC WAKUTANA KWA DHARURA TANZANI KUJADILI NAMNA YA KUKABILIANA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-K_eL1uKQggE/XmcrdCunXEI/AAAAAAAC0lA/aA_mkZ3vWpQivR2Zd2aH6wspschfb5LTQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Akizungumza katika Mkutano wa dharura uliofanyika Jijini Dar es Salaam, ambao uliitishwa kujadili hali ya mlipuko wa ugonjwa huo uliohudhuriwa na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fvsT4Z4DsCk/U9phogN_OXI/AAAAAAAF8Ds/1s1UXiAqAr0/s72-c/unnamed+(8).jpg)
UKAWA wakutana na waandhishi wa habari jijini Dar leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-fvsT4Z4DsCk/U9phogN_OXI/AAAAAAAF8Ds/1s1UXiAqAr0/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PkDhuXRJBWI/U9phowwfKoI/AAAAAAAF8Dk/c-aZmMdYrVg/s1600/unnamed+(9).jpg)
10 years ago
Mwananchi29 Apr
Serikali isifanye mambo kwa dharura
10 years ago
Mwananchi26 Jun
CCM yaitisha Kamati Kuu kwa dharura
10 years ago
VijimamboNDEGE YA AL-SALAAM YATUA PEMBA KWA DHARURA
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Mawaziri wa afya EAC kukutana kwa dharura Arusha
9 years ago
Global Publishers20 Dec
Ndege ya Ufaransa yatua kwa dharura Mombasa kuhofia bomu
Ndege ya Air France ikiwa imetua
Mombasa, Kenya
Ndege kubwa ya abiria, Boeing 777 AF463, mali ya Shirika la Ndege la Ufaransa (Air France) iliyokuwa ikitokea Visiwa vya Mauritius kuelekea Uwanja wa Ndege wa Charles de Gaulle, Paris, Ufaransa, imelazimika kutua kwa dharura katika Uwanja wa Ndege wa Mombasa baada ya kuhofiwa kuwa ndani yake kulikuwa na bomu.
Taarifa kutoka kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Kenya, Jenerali Joseph Boinnet kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter, imeeleza kuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vkvt66ebQDk/XqBsJK1wFII/AAAAAAALn1s/JwZUNUerXSg8uvwx-x0fWgVOK2DLgKACwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-40.jpg)
Hospitali ya Wilaya Chamwino yatakiwa kujiandaa kwa dharura ya Korona
![](https://1.bp.blogspot.com/-vkvt66ebQDk/XqBsJK1wFII/AAAAAAALn1s/JwZUNUerXSg8uvwx-x0fWgVOK2DLgKACwCLcBGAsYHQ/s640/1-40.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2-29.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/3-20.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/4-14.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/5-11.jpg)
****************************Nteghenjwa Hosseah, MlowoWaziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo ameutaka uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino kukamilisha mahitajimuhimu ya Hospitali ya Wilaya hiyo ambayo iko katika hatua za ukamilishaji wa ujenzi kwa tahadhari ya kupokea wagonjwa wa Korona endapo...
11 years ago
Dewji Blog11 Apr
Huduma za dharura kwa wazazi Kibiti zaokoa maisha ya mama na mtoto
![Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akimjulia hali mmoja wa akinamama aliyejifungua katika wodi ya wazazi katika Kituo cha Afya Kibiti leo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0216.jpg)
Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akimjulia hali mmoja wa akinamama aliyejifungua katika wodi ya wazazi katika Kituo cha Afya Kibiti leo.
![Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akitambulishwa kwa baadhi ya wahudumu katika wodi ya wazazi kwenye Kituo cha Afya Kibiti leo alipotembelea kuangalia mwenendo wa utoaji huduma za dharura katika kituo hicho.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0177.jpg)
Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akitambulishwa kwa baadhi ya wahudumu katika wodi ya wazazi kwenye Kituo cha Afya Kibiti leo alipotembelea kuangalia mwenendo wa utoaji huduma za dharura katika kituo hicho.
![Jengo ambalo ni chumba cha upasuaji linalotoa huduma za dharura kwa wajawazito katika Kituo cha Afya Kibiti.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0163.jpg)
Jengo ambalo ni chumba cha upasuaji linalotoa...