Ukeketaji wapungua wilaya ya Ngorongoro
Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro ambaye pia ni Afisa Maendeleo ya Jamii, Teresia Irafay akifungua warsha ya wiki moja ya mafunzo juu ya elimu ya Afya ya Uzazi na Maadili iliyojumuisha wakunga wa Jadi, Waganga wa tiba asili, viongozi wa dini, waandishi wa habari na wahamasishaji afya jamii iliyowaleta pamoja wadau mbalimbali katika ngazi ya vitongoji, vijiji na wilaya kujifunza namna ya kufanya kazi shirikishi ili kuleta mabadiliko katika jamii...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bdrsTvcLHAA/XnzH75w9ilI/AAAAAAALlLw/Y_Dck3W0Lrc-_8elZhDZa76H1dQupo6MACLcBGAsYHQ/s72-c/a1b1e13a-e93f-4fa3-9a84-1930981a549e.jpg)
UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NDANI YA HIFADHI YA ENEO LA NGORONGORO SASA WAHAMISHIWA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO
Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imeeleza mkutano huo wa siku tatu ulikuwa ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Hamis Kigwangala na moja ya majadiliano yalikuwa ni kuangalia utaratibu wa Usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la...
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Kinana amaliza ziara wilaya ya Ngorongoro
![](http://1.bp.blogspot.com/-WBNlfotA4wM/VQXVwDTtJXI/AAAAAAAAYI4/ux7gh9EkHBc/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi wa kijiji cha Arash wilaya ya Ngorongoro,ambao walimueleza Katibu Mkuu wa CCM kero zao,ikiwemo tatizo la kuchomewa makazi yao na askari wa hifadhi pamoja na tatizo la maji.
![](http://2.bp.blogspot.com/-n12nfQKTJUM/VQXV4DpErOI/AAAAAAAAYJ0/HJoIeh5GoGs/s1600/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza wakati wa mkutano na Baraza la wafugaji,Viongozi wa Kata na Viongozi wa Kimila.
![](http://3.bp.blogspot.com/-j4lx9VBlsh4/VQXV42Ce1zI/AAAAAAAAYKA/V0z62w0pgxs/s1600/3.jpg)
Wajumbe wa baraza la wafugaji,viongozi wa kata na viongozi wa kimila wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...
10 years ago
MichuziMKUU MPYA WA WILAYA YA NGORONGORO AAPISHWA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-WBNlfotA4wM/VQXVwDTtJXI/AAAAAAAAYI4/ux7gh9EkHBc/s72-c/1.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YA SIKU MBILI WILAYA YA NGORONGORO
![](http://1.bp.blogspot.com/-WBNlfotA4wM/VQXVwDTtJXI/AAAAAAAAYI4/ux7gh9EkHBc/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-n12nfQKTJUM/VQXV4DpErOI/AAAAAAAAYJ0/HJoIeh5GoGs/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-j4lx9VBlsh4/VQXV42Ce1zI/AAAAAAAAYKA/V0z62w0pgxs/s1600/3.jpg)
10 years ago
MichuziZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA WILAYA YA NGORONGORO MKOANI ARUSHA.
10 years ago
Dewji Blog19 Jun
Shirika la Oxfam lakabidhi vituo vya kusindika na kuhifadhi maziwa kwa wanawake wa wilaya ya Ngorongoro
![](http://4.bp.blogspot.com/-_CBXOQPjdvs/VYJTu8SMo9I/AAAAAAAAbXI/JBUrJ9O7n8Q/s640/Mkurugenzi-akikata-utepe-kama-ishara-ya-kuzindua-rasmi-kituo-cha-kuhifadhia-na-kusindika-maziwa.jpg)
Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro John Kulwa Mgalula akikata utepe kama ishara ya kuzindua rasmi kituo cha kuhifadhia na kusindika maziwa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-hdbrDa_PtjM/VYJV68_zB3I/AAAAAAAAbYs/MkiAcYxX28o/s640/Mkurugenzi-akijaribisha-jokofu-linalotumia-umeme-wa-jua.jpg)
Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro John Kulwa Mgalula akijaribisha Jokofu linalotumia umeme wa jua wakati wa uzinduzi huo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-rsbSLOMZ9Ys/VYJTvAoeKEI/AAAAAAAAbXE/Af9Tk5vwS1w/s640/Mkurugenzi-akionyeshwa-vipima-joto-na-vifaa-vingine-vilivyokabidhiwa-kwa-wanakikundi.jpg)
Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro, John Kulwa Mgalula (kushoto) akioneshwa baadhi ya vifaa ambavyo walikabidhiwa vituo hivyo na Shirika la Oxfam Tanzania.
![](http://1.bp.blogspot.com/-kB6clEzI228/VYJT1itX9FI/AAAAAAAAbYQ/nuvpFzhS09g/s640/Wanakikundi-cha-NOSOTWA-kutoka-kijiji-cha-Engaresero.jpg)
Baadhi ya Wanakikundi cha NOSOTWA kutoka kijiji cha...
10 years ago
Dewji Blog19 Jun
Shirika la Oxfam lakabidhi vituo vya kusindika na kuhifadhi maziwa kwa wanawake wa vijiji vinne wilaya ya Ngorongoro
![](http://4.bp.blogspot.com/-_CBXOQPjdvs/VYJTu8SMo9I/AAAAAAAAbXI/JBUrJ9O7n8Q/s640/Mkurugenzi-akikata-utepe-kama-ishara-ya-kuzindua-rasmi-kituo-cha-kuhifadhia-na-kusindika-maziwa.jpg)
Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro John Kulwa Mgalula akikata utepe kama ishara ya kuzindua rasmi kituo cha kuhifadhia na kusindika maziwa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-hdbrDa_PtjM/VYJV68_zB3I/AAAAAAAAbYs/MkiAcYxX28o/s640/Mkurugenzi-akijaribisha-jokofu-linalotumia-umeme-wa-jua.jpg)
Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro John Kulwa Mgalula akijaribisha Jokofu linalotumia umeme wa jua wakati wa uzinduzi huo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-rsbSLOMZ9Ys/VYJTvAoeKEI/AAAAAAAAbXE/Af9Tk5vwS1w/s640/Mkurugenzi-akionyeshwa-vipima-joto-na-vifaa-vingine-vilivyokabidhiwa-kwa-wanakikundi.jpg)
Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro, John Kulwa Mgalula (kushoto) akioneshwa baadhi ya vifaa ambavyo walikabidhiwa vituo hivyo na Shirika la Oxfam Tanzania.
![](http://1.bp.blogspot.com/-kB6clEzI228/VYJT1itX9FI/AAAAAAAAbYQ/nuvpFzhS09g/s640/Wanakikundi-cha-NOSOTWA-kutoka-kijiji-cha-Engaresero.jpg)
Baadhi ya Wanakikundi cha NOSOTWA kutoka kijiji cha...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-_CBXOQPjdvs/VYJTu8SMo9I/AAAAAAAAbXI/JBUrJ9O7n8Q/s72-c/Mkurugenzi-akikata-utepe-kama-ishara-ya-kuzindua-rasmi-kituo-cha-kuhifadhia-na-kusindika-maziwa.jpg)
SHIRIKA LA OXFAM LAKABIDHI VITUO VYA KUSINDIKA NA KUHIFADHI MAZIWA KWA WANAWAKE WA VIJIJI VINNE VYA WILAYA YA NGORONGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-_CBXOQPjdvs/VYJTu8SMo9I/AAAAAAAAbXI/JBUrJ9O7n8Q/s640/Mkurugenzi-akikata-utepe-kama-ishara-ya-kuzindua-rasmi-kituo-cha-kuhifadhia-na-kusindika-maziwa.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hdbrDa_PtjM/VYJV68_zB3I/AAAAAAAAbYs/MkiAcYxX28o/s640/Mkurugenzi-akijaribisha-jokofu-linalotumia-umeme-wa-jua.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rsbSLOMZ9Ys/VYJTvAoeKEI/AAAAAAAAbXE/Af9Tk5vwS1w/s640/Mkurugenzi-akionyeshwa-vipima-joto-na-vifaa-vingine-vilivyokabidhiwa-kwa-wanakikundi.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kB6clEzI228/VYJT1itX9FI/AAAAAAAAbYQ/nuvpFzhS09g/s640/Wanakikundi-cha-NOSOTWA-kutoka-kijiji-cha-Engaresero.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dXltEgz7LRY/VYJTzLv10QI/AAAAAAAAbXo/ijauTIo2yM4/s640/Stellah-Julius-kutoka-Oxfam-akizungumza-na-wanakikundi-cha-NOSOTWA-kutoka-kijiji-cha-Engaresero.jpg)
10 years ago
Habarileo01 Jan
Ujangili wapungua
KWA mwaka uliomalizika jana, mapambano dhidi ya ujangili na biashara haramu ya bidhaa zinazotokana na wanyama pori, yameimarishwa.