Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UKISTAAJABU YA WASANII UTAKUTANA NA YA WANASIASA


Charles James, Michuzi TV

UNAFIKI! Ndiyo. Kwanini nisiuite unafiki ilihali jana walipendana na kuliana yamini kwamba hawatogombana wala kuachana lakini sasa kutwa kurushiana maneno kwenye Televisheni baada ya kugombana.

Wapo wale ambao jana waliitana wanafiki, wazandiki. Mwingine akasema fulani anakwamisha michongo yangu, ila leo wanaenda wote Kidimbwi kula bata. Unafiki.

Siyo siasa, maisha ya kawaida wala mapenzi. Kote huko ni maeneo yenye kuonesha unafiki wetu sisi binadamu. Wanafiki wenye...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Nay wa Mitego: Wasanii tusiwe wanasiasa

nayNA ESTHER MNYIKA

MSANII wa muziki wa hip hop nchini, Emanuel Eribarik ‘Ney wa Mitego’ amewataka wasanii wenzake wawe wahamasishaji wa wananchi ili kujitokeza na kupiga kura Oktoba 25, badala ya wao kugeuka kama wanasiasa wanaogombea katika siasa.

Ney wa Mitego aliandika katika ukurasa wake wa ‘Instagram’ kwamba wasanii wamejisahau, wamekuwa wanasiasa na wagombea, jambo litakalokuja kuwagharimu baada ya uchaguzi huo.

“Wasanii tubaki kuwa wahamasishaji tu, kuanza kukashifu viongozi utadhani...

 

10 years ago

Bongo Movies

Riyama Awaasa Wasanii Wanaotumika Kutetea Matumbo ya Wanasiasa, Wakati…

Habari wapendwa wangu Leo naomba kuongea na wewe MTANZANIA mwenzangu rafiki yangu unae Like na ku comment katika ukurasa wangu (kwenye mtandao wa Instagram) naamini wewe ndio balozi wangu utake nifikishia ujumbe wangu Kwa jamii inayo tuzunguka.

 Ndugu zangu kupiga kura ni haki ya kila MTANZANIA hivo shime tujitokeze kwa wingi kwa wale umri unao tu ruhusu kupiga kura angalizo usikubali kushurutishwa na mtu wa aina yeyote yule kwa kumchagua kiongozi anae mtaka yeye kwa maslahi yake, bali...

 

11 years ago

GPL

BARUA NZITO: UKIMSHANGAA SNURA UTAKUTANA NA SHILOLE!

Snura Mushi. KWENU,
Wasanii chipukizi katika muziki, Snura Mushi na Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Poleni na majukumu yenu ya kila siku. Hongereni pia kwa kukubalika kwenu katika upande wa pili wa sanaa ya muziki mkitokea uigizaji. Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Ni muda mrefu sana nafahamiana na Snura. Nakufahamu vizuri sana tangu wakati ule ukijaribu kufurukuta kwenye filamu. Shilole ni tofauti kidogo. Wewe...

 

11 years ago

BBCSwahili

ukistaajabu ya Musa?

mimba na ndoa za utotoni ni tatizo Ivory Coast .

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukistaajabu ya Nkamia utaona ya Mwigulu

NIMEJITAHIDI kadiri ya uwezo wangu kujizuia nisijadili kabisa mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yaliyofanywa hivi karibuni na Rais Jakaya Kikwete, lakini nimeshindwa. Nasema nimeshindwa kutokana na jina la Juma Nkamia,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukistaajabu ya Kikwete utaona ya Sitta

BAADA  ya kumdhalilisha, kumvizia na kumhujumu Jaji Joseph Warioba, na tume yake, wengi tulidhani Chama Cha Mapinduzi (CCM), lau, kingeona aibu na kuona inatosha. Lakini wapi! Wameonja asali sasa wanataka...

 

10 years ago

Vijimambo

UKIFIKA MITAA YA KINONDONI BLOK 41 NYUMA YA JENGO LA AIRTEL UTAKUTANA NA HII VITU VYA KHADIJA LIVE.

Mwanamitindo mahiri nchini Khadija Mwanamboka, amefungua kiota kipya kabisa maeneo ya Kinondoni Blok 41 kinachotoa huduma ya mambo ya maakuli na vinywaji laini, ikiwa ni pamoja na Juice fresh za matunda mbalimbali kama Embe. Pasion, Nanasi, Fenesi, Miwa na mengineyo mchanganyiko, kwa afya yako na kioganiki kabisa pamoja na vyakula vya aina mbalimbali vinavyopatikana kwa mtindo wa Bufee. Eti ni 'VITU VYA KHADIJA' fika ukajionee mwenyewe Vitu vya Hadija, Kiota hicho kimefunguliwa mwishoni mwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mtazamo:Ukistaajabu ya Kajala na Wema, utayaona ya Wastara na Wolper

Kweli nimeamini samaki mmoja akioza wote huoza, hadi wewe wastara? Hukumbuki wolper alivyohangaika na marehemu mume wako? Dada wa watu akajitolea mamilion ili mume wako akatibiwe India? Umesahau wema wote hadi ukalia nachozi na kumuona wolper ni Mungu mtu?

Pesa tu ndio zinakutoa utu na kukufanya uumize moyo wa mwanamke mwenzio aliyejitolea wakati una shida ili aokoe maisha ya mume wako kipenzi japokuwa haikuwezekana (Mungu ailaze roho ya marehemu peponi ), inasikitisha na kuumiza sana, kuna...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani