Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukistaajabu ya Kikwete utaona ya Sitta

BAADA  ya kumdhalilisha, kumvizia na kumhujumu Jaji Joseph Warioba, na tume yake, wengi tulidhani Chama Cha Mapinduzi (CCM), lau, kingeona aibu na kuona inatosha. Lakini wapi! Wameonja asali sasa wanataka...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ukistaajabu ya Nkamia utaona ya Mwigulu

NIMEJITAHIDI kadiri ya uwezo wangu kujizuia nisijadili kabisa mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yaliyofanywa hivi karibuni na Rais Jakaya Kikwete, lakini nimeshindwa. Nasema nimeshindwa kutokana na jina la Juma Nkamia,...

 

11 years ago

TheCitizen

Sitta wants Kikwete to adjourn CA

The Constituent Assembly (CA) will most likely be postponed on April 28 to make way for the Budget session, The Citizen has learnt. According to CA Chairman Samuel Sitta, the sittings could be adjourned at the end of April and resume in August.

 

10 years ago

BBCSwahili

ukistaajabu ya Musa?

mimba na ndoa za utotoni ni tatizo Ivory Coast .

 

10 years ago

GPL

JAMANI, USIPOYAJUA MAPENZI UTAONA USUMBUFU

Sikila mwanaume anajua maana ya kupendwa, wengine huona kufanya baadhi ya vitu ni usumbufu. Kwa mfano kuoshwa, kulishwa, kufanyiwa usafi wa sehemu za siri, kuvuliwa nguo au kubebwa mgongoni wanaume wengi huona usumbufu na hii hutegemea na makabila. Jamanii, makubwa madogo yana nafuu, wakati  watu wanalilia mapenzi kwa wenza wao kuna ambao wanaona eti ni usumbufu. Hii ilitokea juzi baada ya mtu na mkewe kuletana kwangu...

 

10 years ago

GPL

UKIPENDA PANAPOSTAHILI UTAONA THAMANI HALISI YA PENZI

KILA mtu angeyaheshimu mapenzi, angejua jinsi ya kulinda hisia za mwenzi wake, angeelewa maana ya kupenda. Asingekuwa na shaka pale anapopendwa. Angeishi ndani ya mwenzake, hivyo kuumizana kusingekuwepo, migogoro mikubwa na kuachana isingetokea. Migogoro mingi inatokea kwa sababu wengi wameyageuza mapenzi kama mchezo (game), hawajui kuwa saikolojia inaonya vitendo vya kuucheza shere moyo wa mtu. Kumfanyia hivyo mtu mwenye hisia...

 

10 years ago

GPL

UKIPENDA PANAPOSTAHILI UTAONA THAMANI HALISI YA PENZI-2

Katika somo lililopita kama nilivyogusia ushauri wa Brandon King na makala yake ya “Be aware of heart” nilieleza kuwa ni kosa kubwa kumuona mwenzi wako ana thamani ndogo na wakati huohuo ukawa unatoa kipaumbele kwa watu wa pembeni. Tafsiri inayotawala katika uhusiano ni kuwa kundi linalosumbua mno na kuonekana ni sugu kwa tabia ya namna hii ni lile ambalo linawahusisha memba wanaoingia kwenye uhusiano wa kimapenzi...

 

10 years ago

Mwananchi

Askofu: Kikwete, Sitta wahairishe Bunge

Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Anglikana Tanzania (KKAT), Ainea Kusenha, amesema kuwa kinachofanyika Dodoma kuhusu Katiba Mpya, ni kupoteza fedha za taifa lakini hakuna katiba.

 

5 years ago

Michuzi

UKISTAAJABU YA WASANII UTAKUTANA NA YA WANASIASA


Charles James, Michuzi TV

UNAFIKI! Ndiyo. Kwanini nisiuite unafiki ilihali jana walipendana na kuliana yamini kwamba hawatogombana wala kuachana lakini sasa kutwa kurushiana maneno kwenye Televisheni baada ya kugombana.

Wapo wale ambao jana waliitana wanafiki, wazandiki. Mwingine akasema fulani anakwamisha michongo yangu, ila leo wanaenda wote Kidimbwi kula bata. Unafiki.

Siyo siasa, maisha ya kawaida wala mapenzi. Kote huko ni maeneo yenye kuonesha unafiki wetu sisi binadamu. Wanafiki wenye...

 

11 years ago

IPPmedia

UKAWA: Opposition alliance that battled Kikwete, now facing Sitta


Daily News
UKAWA: Opposition alliance that battled Kikwete, now facing Sitta
IPPmedia
UKAWA, the Alliance for People's Constitution in the Constituent Assembly sounds very unfamiliar to many people, but it is the same people that pushed for national support against the Constitutional Review (Amendments) Bill2013. Ukawa, which is a ...
CA members commend president's inaugural speechDaily News
New Chapter in History As Kikwete Inaugurates CA On FridayAllAfrica.com

all 22

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani