Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UKITAKA KUIPATA, SHIDA NYINGI VUMILIA, ELIMU


Ukifikia kuitwa doctor shida nyingi umepitia, hususan katika nchi za dunia ya tatu, walimu wasiokuwa nahuruma wakiwachapa bakora za mikoni bila kujali na kujua maumivu yake, mwalimu anatumia nguvu zake zote kuhakikisha anamkomesha kabisa kama atapata vidonda au kuvunjika vidole, ili mradi au ameadhibiwa tu, unajisikia vipi ukikumbuka wakati ulipokuwa shuleni na adhabu kama hizi?

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Vumilia; msanii anayeibuka upya

Muziki wa Bongofleva unakua huku ukiwaacha nyuma baadhi ya wasichana na kuwanufaisha zaidi wavulana kama siyo wanaume.

 

11 years ago

Mwananchi

Usitake ukitaka sitika ni shitaka

Kwa mara nyingine tena, Bongo inaonyesha mfano mzuri wa kilimo. Sehemu nyingine, unaanza kwa kufyeka majani kwanza, kisha baada ya kuona kwamba magugu yameondolewa, ile miti na visiki vinavyozuia kilimo vinaondolewa.

 

10 years ago

Mwananchi

ukitaka kujua tunda bivu au limeoza unafanyaje ?

Kuna siku nilikuwa dukani nikikagua nazi kwa ajili ya kula. Nikawa nikiitikisa tikisa na kuidonoa kwa fedha, kuufahamu mlio wake. Wazungu watatu kando walinitazama wakiona kama muujiza. Nikawaambia ule ni ufundi rasmi wa Kiafrika.

 

11 years ago

Mwananchi

Ukitaka kufanikiwa fanya mambo kwa vitendo

Kheri ya Mwaka mpya mpendwa msomaji wangu, kwa hakikika tunapaswa kumshukuru sana Mungu kutokana na ukweli kwamba haikuwa rahisi kuuvuka mwaka, wapo wenzetu ambao hawakuweza japo walipenda.

 

10 years ago

Bongo Movies

Zamaradi Mtetema: Ukitaka Kuchukiwa Duniani we Kuwa Mkweli Tu…

Ukitaka kuchukiwa Duniani we KUWA MKWELI TU!!! kuwa mkweli kwa rafiki zako, kuwa mkweli kwa ndugu zako kuwa mkweli kwa wanaokuzunguka kuwa mkweli kwa jamii... mtu akikukosea mwambie kiroho safi, kitu kikikuuma ongea, kama kitu hujapenda ongea.. unaona shogaako akichemsha kitu mchane na kumuelekeza.. nk utachukiwa mpaka basi na utapewa maneno kama kimbelembele, mjuaji, mi sikipendi, ye ananjifanya hakosei... n.k


Na ukitaka kupendwa na kila mtu Duniani na wengi wawe wako we SNITCH TU.. njia...

 

11 years ago

GPL

OYA…UKITAKA KUJUA KAMA UNA MBIO, OMBA UFUMANIWE!

NIAJE… niaje kipande hiyooo…Kama kawiz kama dawa kaka mkubwa nipo kamili gado kwa jamvini kukisanua? Ama nini? Fanya kujisogeza hapa upate mastori moo. Ni tamu sana hizi stori aisee jamaa yangu. Basi mia!
Ebana eee…kabla ya mastori vipi michongo kitaa hiyo? Siyo sekreti masela tuongeze bidii ya kuzisaka mingo kwa prosesi halali. Hivi hapo mjengoni Dom mnawasoma mamemba wa katiba au mizinguo?
Kama maatisti...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri wa Elimu atembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania kwenye maonyesho ya Elimu mjini Dodoma

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa akimsikiliza Kaimu Mkurugenzi wa Uhamasishaji rasilimali wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Sylvia Lupembe, alipotembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania Jumatano Tarehe 13 Mei 2015.

 

10 years ago

Bongo5

China: Kujiunga chuo, kujifunza udereva, ukitaka kuoa au kuolewa sharti uchangie damu

Ajali za barabarani duniani hutokea kila uchao, na wahitaji wa damu wanazidi kuongezeka huku idadi ya wachangia damu nayo ikizidi kushuka siku hadi siku na kuleta hatari kwa maisha ya wahitaji. Kutokana na hali hiyo mji wa Baoji nchini China uko kwenye harakati za uhamasishaji uchangiaji wa damu kwa mtindo wa kipekee , kampeni ambayo […]

 

9 years ago

Vijimambo

Yusufu Makamba Amla Nyama Kingunge; “Ukitaka Kumtukana Baba Yako Mshukuru Kwanza”

Katika mkutano mkuu wa uzinduzi wa kampeni za mgombea ubunge wa Tabora mjini ndg Emmanuel Mwakasaka, Katibu mkuu mstaafu wa CCM Taifa mzee Yusufu Makambakama mgeni rasmi azungumzia mengi ikiwa kumnadi Mgombea Urais, mgombea Ubunge na madiwani wote wa CCM, pia azungumzia suala la Kingunge na Lowassa katika mkutano uliofanyika kituo cha zamani cha mabasi mkoani Tabora.Mwakasaka_ccm_tabora-2015 (27)
Yusufu Makamba, mkongwe wa siasa nchini akiongea na wananchi wa Tabora mjini.Mwakasaka_ccm_tabora-2015 (28)
Mwakasaka_ccm_tabora-2015 (29)Yusufu Makamba akizungumzia upotofu mkubwa dhidi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani