Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uko wapi uhalali wa chaguzi zetu nchini?

Katika toleo la jana la gazeti hili, tuliandika kwa kirefu kuhusu suala la upigaji kura katika nchi yetu na kuhoji sababu za wananchi wengi kutojitokezi kupiga kura.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Mwema

Uko wapi uhalali wa Ukawa?

KUFUNGASHA virago kwa Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya kampuni tata ya kufua umeme ya Richm

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Mwananchi

Uko wapi uhalali wa kupambana na machinga bila wateja?

Kwa muda mrefu sasa katika maeneo tofauti nchini hasa mijini kumekuwa na mvutano kati ya wafanyabiashara na mgambo wa miji.

 

10 years ago

GPL

HILI LA KATIBA, HIVI UBAYA WA MAASKOFU UKO WAPI?

Rais Jakaya Kikwete. WIKI moja iliyopita kumekuwa na mfululizo wa matukio yanayoendana na hali ya kisiasa ya taifa letu kwa sasa. Yote yamezaliwa kutokana na kauli iliyotolewa na Jumuia ya Kikristo Tanzania (CCT) na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) kuhusu Katiba Inayopendekezwa. Vyombo hivyo viwili vya dini ya Kikristo, baada ya kuelezea mapungufu yaliyokuwemo katika mchakato mzima wa kuipata Katiba Inayopendekezwa,...

 

11 years ago

GPL

UMUHIMU WAKO KWA MWENZI WAKO UKO WAPI?

KUNA wakati inatokea kwenye uhusiano, mmoja wao  akadhauriwa na mpenzi wake na kuonekana wa kawaida tu. Athari kubwa zaidi katika kuonekana wa kawaida au kudharauliwa ni kuachana wakati wowote – kwa ghafla. Mara nyingi tendo la kuachana kwa wenzi wa aina hii huwa hakuna sababu kubwa sana. Jambo dogo tu linaweza kukatisha uhusiano lakini kumbe ndani kuna siri nyingine kubwa zaidi; kushuka thamani – kupoteza...

 

11 years ago

GPL

UMUHIMU WAKO KWA MWENZI WAKO UKO WAPI? -3

KAMA kuna mambo muhimu unayotakiwa kuyajua katika mapenzi ni pamoja na umuhimu wako kwa mwenzi wako. Ndugu zangu, huwezi kuwa kwenye uhusiano ambao hauna faida. Mambo yanakwenda hovyo, huthaminiwi wala kupewa kipaumbele. Katika mada hii tunaendelea kuangalia ni kwa namna gani utakuwa mwenye umuhimu kwenye uhusiano wako. Ngoja niwachekeshe kidogo; kuna wakati niliwahi kukutana na msichana mmoja ofisini akihitaji ushauri. Jambo...

 

10 years ago

Vijimambo

JE UNATAKA KUJUA WEMA SEPETU KAZALIWA MWAKA GANI, WAPI NA KASOMA WAPI! SOMA HAPA

wema sepetu bongoclan.co.tzAkiwa mmoja kati ya wanadada wanofanya vizuri sana kwenye Tasnia hii ya Bongo Movies ,Wema Sepetu ni msichana  anayetoka kwenye Familia ya kibalozi ni mtoto wa mwisho katika familia ya wasichana wanne wa Balozi Isaack Sepetu Ibrahimu.Ana sura na umbo zuri sana, na mvuto mkubwa sana kutokana na rangi yake nzuri ya ngozi. Wema sepetu alizaliwa mnamo mwaka 1988 katika hospitali ya ST. Andrew’s jijini Dar es Salaam na ni mtoto wa mwisho kuzaliwa katika familia yao yenye watoto wanne wa kike.wema sepetu bongoclan.co.tz..

 

9 years ago

GPL

SAJENTI, SIASA NA MALEZI YA MTOTO WAPI NA WAPI?

MAISHA ya Kibongo kwa kweli ni magumu sana. Kuna msemo mmoja maarufu sana mtaani unaosema kuwa bora jana kuliko leo, wakimaanisha angalau jana walikuwa na uhakika, hawajui leo itakuwaje. Vijana wako bize kutafuta hela kwa kila mbinu, wenye haraka wakitumia silaha, ushirikina na hata utapeli, ili mradi kila mmoja anajitahidi kuhakikisha maisha yake ya leo yanakwenda sawa, huku akijiweka vizuri kuishika kesho yake isiingie...

 

9 years ago

Mwananchi

‘Vichinjio’ vinavyobeba uhalali, haki

Wakati Uchaguzi Mkuu ukitarajiwa kufanyika Oktoba 25, ukiwa   ni wa tano tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini mwaka 1992, safari hii Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC), imetoa vitambulisho vya mpiga kura vyenye alama za utambulisho za kibaiolojia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani