Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ulaya kumaliza vifo vya Wahamiaji?

Umoja wa Ulaya unatarajiwa kujadili mipango ya kuondokana na tatizo la Wahamiaji wanaopoteza maisha katika bahari ya Mediterania

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Vifo vya corona: Kwanini Uingereza imerekodi vifo vingi vya corona Ulaya?

Hadi kufikia sasa Uingereza inaongoza kwa idadi ya walioambukizwa virusi vya corona Ulaya na kote duniani kulingana na takwimu rasmi. Kipi kilichokoseka?

 

10 years ago

Mwananchi

Mghwira: Serikali imeshindwa kumaliza vifo vya watoto

Mgombea urais kupitia ACT-Wazalendo, Anna Mghwira amesema Serikali imeshindwa kufikia malengo ya milenia katika suala la afya na kusababisha kuwapo kwa idadi kubwa ya vifo vya wajawazito na watoto wachanga.

 

5 years ago

Michuzi

TUNDURU YAWEKA MKAKATI WA KUMALIZA VIFO VYA MAMA NA WATOTO WACHANGA

 Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya wilaya Tunduru mkoani Ruvuma Renatus Mathias akiongea jana  wakati wa mafunzo ya siku moja ya kuwajengea uwezo wauguzi na matatibu kutoka zahanati na vituo vya Afya  mafunzo yaliyolenga kuwajengea uwezo  ikiwa ni mkakati wa Hospitali hiyo kupunguza vifo vya akina mama wajawazito wakati wa kujifungua,watoto wachanga na walio chini ya umri wa miaka mitano,katikati Mganga Mkuu wa wilaya hiyo Dkt Wendy Robert na kulia afisa lishe wa wilaya Martha Kibona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Nchi za Muungano wa Ulaya zarekodi idadi ya juu ya vifo vinavyotokana na virusi vya corona

Idadi ya vifo vilivyotokana na maambukizi ya virusi vya Corona imeongezeka katika nchi za Italia, Uhispania na Ufaransa.

 

10 years ago

Mwananchi

KUTOKA LONDON :Kwanini wahamiaji Ulaya hutokea zaidi Afrika Magharibi na Visiwa vya Karibi?

Lakini swali ni swali. Waswahili husema “kuuliza si ujinga”- liwe la mende, kupe, pikipiki, ndulele, tando za buibui au shamba la minazi, azma ni kutaka kujua.

 

10 years ago

BBCSwahili

Umoja wa Ulaya na tatizo la wahamiaji

Viongozi wa Ufaransa na Ujerumani wamezitaka nchi za Umoja wa Ulaya kufanya kazi pamoja kuweza kukabiliana na tatizo la wahamiaji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji : nchi za ulaya zakosolewa

Waziri wa mashauri ya kigeni nchini Ufaransa ameelezea hisia za nchi za ulaya dhidi ya suala la uhamiji kuwa sawa na sakata.

 

10 years ago

BBCSwahili

Suala la wahamiaji Ulaya kitendawili

Nchi za Umoja wa Ulaya zimeshindwa kuafikiana namna ya kuwahudumia watu wanaoingia barani humo kuomba hifadhi

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji waokolewa pwani ya Ulaya

Wahamiaji zaidi ya 300 wameokolewa kutoka pwani ya bahari nchini Italia na Ugiriki katika matukio tofauti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani