Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ULTIMATE SECURITY YAJIKITA ZAIDI KIULINZI

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya ulinzi ya Ultimate security,Jacqui Bothma na Meneja wa huduma kwa wateja wa kampuni hiyo Pambwe Maulid wakikata utepe kuashiria uzinduzi wa magari mapya 12 na pikipiki 14 zitakazotumika kwaajili ya kutoa huduma mbalimbali katika jamii. Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya ulinzi ya Ultimate security,Jacqui Bothma(kushoto)akimsikiliza Meneja wa huduma kwa wateja wa kampuni hiyo Pambwe Maulid,(hawapo pichani)akiongea na waandishi wa habari kuhusiana na uzinduzi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ULTIMATE SECURITY YAJIKITA ZAIDI KIULINZI‏

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya ulinzi ya Ultimate security, Jacqui Bothma na Meneja wa huduma kwa wateja wa kampuni hiyo Pambwe Maulid wakikata utepe kuashiria uzinduzi wa magari mapya 12 na pikipiki 14 zitakazotumika kwaajili ya kutoa huduma mbalimbali katika jamii. Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya ulinzi ya Ultimate security, Jacqui Bothma (kushoto) akimsikiliza Meneja wa huduma kwa wateja wa kampuni hiyo Pambwe Maulid...

 

11 years ago

GPL

BENKI YA KCB YAJIKITA ZAIDI KUSAIDIA JAMII

Mganga mfawidhi wa hospitali ya Rufaa ya mkoa, Mawenzi, Dkt. Lwezaula Fredrick(katikati) akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhiwa misaada ya vifaa vya hospitali vyenye thamani ya shilingi milioni 15 kutoka kwa benki ya KCB Tanzania mjini Moshi, mkoa wa Kilimanjaro. Wakisikiliza kwa makini ni meneja wa tawi la Moshi benki ya KCB Tanzania, Oforo Erasmo(kushoto), Kaimu katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro, Mhandisi Alfred...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yazidi kujiimarisha kiulinzi-Kikwete

Rais Jakaya Kikwete amesema Tanzania imezidi kujiimarisha kiulinzi baada ya kuanza kuwasomesha maofisa wake hapa nchini, ambao awali walikuwa wakienda kusoma nje ya nchi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

PWMO yajikita kupinga ukatili wa kijinsia

WANAHABARI wanawake mkoani Pwani wamezindua chao kinachofahamika kwa jina la PWMO. Uzinduzi huo ulikuwa na kaulimbiu ya kupinga ukatili wa kijinsia unaofanywa katika maeneo mbalimbali  ndani na nje ya mkoa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ghana yajikita katika mimea ya GMO

Je vyakula vilivyokuzwa kisayansi vinaweza kutoa suluhu kwa tatizo la uhaba wa chakula? Ghana imeimarisha utafiti wa GMO

 

11 years ago

Tanzania Daima

CBT yajikita kupaisha zao la korosho

KATI ya mazao muhimu ya kibiashara nchini korosho ni mojawapo jambo linalofanya tasnia nzima ya korosho iweze kuangaliwa kwa umakini zaidi kuanzia serikalini hadi kwa mdau mmoja mmoja. Hata hivyo,...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yajikita kusimamia mpango, dira ya taifa

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema imeelekeza zaidi nguvu zake katika kutekeleza na kusimamia mpango wa dira ya taifa ya maendeleo 2020 pamoja na mpango wa kukuza uchumi Mkuza kama ndiyo njia pekee ya kupiga hatua kubwa ya maendeleo na kupambana na umasikini kwa wananchi wake.

 

10 years ago

Vijimambo

Urais 2015:Rushwa yajikita Nec CCM

  Takukuru yazungumza, yaahidi kufuatilia
  Nape asema inachangia kukichafua chamaRushwa iliyokithiri inadaiwa kutolewa kwa baadhi ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (Nec) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaoshiriki kikao kilichomalizika jana, mjini Dodoma.

Vitendo hivyo vinadaiwa kuanza mwanzoni mwa wiki hii, vikiwahusisha pia baadhi ya Makatibu wa CCM waliokutana mjini hapa kutoka mikoa yote nchini.

Rushwa hiyo inadaiwa kufanywa na waratibu wa baadhi ya mitandao ya wanaotajwa kutaka kuwania...

 

10 years ago

Michuzi

IDRIS IS AFRICA’S ULTIMATE HOTSHOT!

Tanzania’s Idris emerged from the Big Brother Hotshots house at the end of Sunday night’s thrilling 2-hour live extravaganza with USD 300 000 in the bank! He picked up an avalanche of viewer votes from the continent after 63 days of fun, drama and intrigue to become the hottest of the Hotshots in the 9th season of the continent’s most epic reality show.
Idris saw off the challenge of 25 other housemates through 9 weeks of extravaganzas, weekly tasks, ‘freeze’ challenges and even an epic prank...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani