Umaarufu wa Tungo za Nashid
Tungo za Nashid, maarufu kwa waumini wa dini ya kiislamu zimekuwa na mvuto mkubwa katika mataifa ya bara Asia na nchi za magharibi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Utata wa tungo na namna ya kuuepuka
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/LPjPRqUJvhI/default.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/JB.jpg)
JB PAMOJA NA KUPATA FEDHA, UMAARUFU WAMTESA
10 years ago
Mtanzania21 May
Upendo Nkone: Umaarufu ni shida, mateso
NA RHOBI CHACHA
MWIMBAJI mahiri wa nyimbo za injili, Upendo Nkone, amesema umaarufu kwa wasanii ni mateso kwa kuwa humjengea woga msanii kufanya jambo lolote popote hata kama moyo wake unapenda.
Upendo alieleza kwamba, msanii maarufu anapofanya jambo tofauti jamii humchukulia tofauti hali inayofanya ashindwe ama afikie mafanikio kwa mateso makubwa ya kutafuta kimya kimya.
“Umaarufu kwa msanii ni mzuri lakini ni mateso, uzuri ni kwa kuwa unarahisisha kazi zako lakini ni mateso kwa namna...
10 years ago
Mtanzania19 May
Flora Mvungi: Umaarufu umenifikisha klabu
NA RHOBI CHACHA
MWIGIZAJI wa filamu za Bongo nchini, Flora Mvungi, ameweka wazi kwamba hasingefika kwenye kumbi za starehe kama asingekuwa maarufu.
Flora alisema kutokana na umaarufu wake alioupata kupitia sanaa ya uigizaji, alijikuta akilazimika kuzijua klabu za usiku tofauti na alivyokuwa akidhani kwamba angeweza kuwa maarufu bila kufika katika klabu hizo.
‘Nashukuru ustaa umenisaidia, kwani bila ya hivyo ningekuwa mama wa nyumbani ama kazi nyingine, lakini fani niliyoichagua imeniwezesha...
9 years ago
Bongo522 Oct
Jokate asema wasanii wanaponzwa na umaarufu
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Karafuu ya Zanzibar yazidi kupata umaarufu
MSHAURI wa Shirika la Biashara la Taifa Zanzibar, Sadruddin Govinji, amesema karafuu ya Zanzibar imeendelea kupata umaarufu katika soko la Dunia kutokana na sifa zake za kipekee zenye ubora. Akiwasilisha...
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Wema: Umaarufu hauna faida kwake
Dk. Damas Ndumbaru MWANADADA anayetamba katika tasnia ya filamu nchini, Wema Sepetu amesema kuwa kila kukicha yeye anafikiria jinsi ya kupata mafanikio makubwa zaidi kushinda aliyonayo sasa kwani umarufu kwake...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JSct6ft9ycRHF6CR7pKR2ED5dXlOJW5oRNk4c2JE5TXEiDUyGrpqvVkaaDvI2Jloaqe8WdAmdlXQavxtc2e-H-68GHE0xrGG/WASTARA.jpg)
WASTARA: WASANII TUNA UMAARUFU MAANDAZI