Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umeme wa makontena wanufaisha nyumba 840

MRADI wa majaribio wa umeme unaotokana na nishati ya jua unaozalishwa na kusambazwa kwenye makontena maalumu yajulikanayo kama PV Generators, umenufaisha nyumba 840 katika wilaya za Kongwa, Uyui na Mlele.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

DKT KALEMANI AFANYA ZIARA YA NYUMBA KWA NYUMBA KUKAGUA KAZI YA USAMBAZAJI UMEME VIJIJINI WILAYANI MISUNGWI Inbox x


Waziri wa Nishati,Dkt Medard Kalemani(wa kwanza) akizungumza na Bi Restuta Willbad wakati alipokwenda kukagua nyumba ya mwanakijiji huyo wa kijiji cha Isamilo, Wilaya ya Misungwi,Mkoani Mwanza,Moja ya Nyumba ambayo Waziri wa Nishati,Dkt Medard Kalemani ameikagua ambayo ipo katika kijiji cha Usagara Wilaya ya Misungwi,Mkoani MwanzaWaziri wa Nishati,Dkt Medard...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tambo za umeme kwenye nyumba za makuti

MAKALA yangu ya Jumatano wiki jana, iliyozungumzia malalamiko kuhusu uteuzi wa baadhi ya wanasiasa wa CCM kuwa mawaziri, ilipokelewa kwa namna tofauti. Wengi zaidi ya asilimia 90 walipongeza nilichokiandika. Watatu...

 

9 years ago

StarTV

Zaidi ya nyumba 300 zakatiwa umeme Kinondoni

 

Shirika la Umeme Tanesco mkoa wa Kinondoni Kaskazini umezikatia umeme nyumba zaidi ya mia tatu zilizobainika kuhujumu miundombinu kwa kujiungia umeme kinyume cha sheria ili waweze kutumia umeme bila malipo yoyote.

Operation hiyo ambayo imeanza tangu mwaka 2011 imelenga kukomesha vitendo vya uhujumu miundombinu ya umeme ili kuwawezesha wananchi kunufaika na rasilimali hiyo kwa maendeleo yao..

 Wakaguzi hao wakiwa katika mtaa Oyerstabay kata Msasani barabara ya Mkadini nyumba Prot no; 63...

 

11 years ago

GPL

NGUZO YA UMEME YADONDOKEA NYUMBA MKWAJUNI KINONDONI

Nguzo ya umeme ikiwa juu ya paa baada ya kuanguka leo huko Mkwajuni, Kinondoni. Mkazi wa jijini akipita jirani na nguzo hiyo iliyoanguka. Nguzo inavyoonekana kwa…

 

10 years ago

Habarileo

Nyumba zaidi ya milioni moja kupatiwa umeme jua

Mkurugenzi Mkuu wa Mradi wa Wakala wa Umeme Vijijini (REA) kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Lutengano MwakahesyaTANZANIA imeingia katika mpango wa kutumia umeme jua ujulikanao kama One Milion Solar Homes, wenye lengo la kuzipatia nyumba milioni moja huduma ya umeme wa uhakika na salama kufikia 2017.

 

10 years ago

GPL

KAMPUNI YA OFF GRID ELETRIC KUFUNGA UMEME WA SOLA NYUMBA MILIONI MOJA NCHINI

 Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Umeme Vijijini (REA), Lutengano Mwakahesya (PhD) (kushoto), pamoja na Mkurugenzi Mwendeshaji wa Kampuni ya Off Grid Electric Ltd, wakionesha seti ya mfumo wa vifaa vya umeme wa sola ambavyo vitatumika katika mpango wa kutumia umeme wa sola kwa nyumba milioni 1 wakati wakiwaonesha waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi.   Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Umeme Vijijini (REA),...

 

11 years ago

Habarileo

Mradi wanufaisha maelfu ya wasichana Mtwara

WASICHANA wa mkoani Mtwara wamefaidika na elimu ya afya na vifaa, vitakavyowasaidia kujisitiri wakati wa hedhi. Elimu hii na msaada vimetolewa kupitia mradi wa Hakuna Wasichoweza, unaotekelezwa na asasi ya T-MARC Tanzania.

 

11 years ago

Habarileo

Mradi wa kinga ya afya wanufaisha Nachingwea

VIJIJI 21 katika wilaya za Nachingwea na Masasi vimepatiwa dawa, pembejeo za kilimo na mifugo ya mbuzi na ng’ombe wa maziwa na kuchimba visima vya maji vifupi na virefu, kupitia mradi wa kinga ya afya na uhakika wa chakula.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mpango wa NHIF wanufaisha wananchi 4,200

WATANZANIA 4,200 kutoka mikoa mitano nchini wamenufaika na mpango wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wa kupeleka madaktari bingwa mikoani. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani