Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Unadhani wewe ni shakibi wa soka?

Humshindi Mbwa huyu. Kutana na Mbwa anayependa soka kuliko mashabiki wa soka wenyewe.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

HANA WIVU NA WEWE...HAKUFUATILII...MESEJI MPAKA UANZE WEWE... HUYO ANA MALENGO YAKE!

JAMANI pole na siasa. Naona zimepamba moto karibu kila kona ya nchi yetu ya Tanzania. Basi, wenye siasa zao tuwaachie, sisi tuendelee na mambo yetu.Wiki hii nina mada nzuri sana kwa wawili wanaopendana. Ningependa kila mmoja asome kwa umakini na ajue nini cha kufanya baada ya hapo. Mada inasema...hana wivu na wewe...hakufuatilii...meseji mpaka uanze wewe...Huyo ana malengo yake! Mpenzi wa hivi anaweza hata akawa anakulamba miguu...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Unadhani ukivaa barakoa umejikinga

Barakoa ya kuzuia imepata umaarufu kila mtu akijaribu kujikinga dhidi ya maambukizi ya Covi-19.

 

9 years ago

Vijimambo

Unadhani nini kifanyike kutatua matatizo ya walimu Tanzania?


Mbunge sharobaro kutoka Kenya Mike Mbuvi Sonko na Mwenzake Moses Wetang'ula, wamesema wako tayari wakatwe mishahara yao ili serikali iweze kulipa mishahara ya walimu wanayodai.
Unadhani nini kifanyike kutatua matatizo ya walimu Tanzania?

 

9 years ago

Vijimambo

Je, unadhani nini hasa chanzo cha umaskini Tanzania?


Tanzanite, Dhahabu, makaa ya mawe, almasi, urani, Mbuga za wanyama kama vile serengeti, Manyara, Ngorongoro, ardhi yenye rutuba, Mlima Kilimanjaro, maziwa makubwa matatu, bahari ya hindi na utajiri mwingine mwingi, hivi vyote vinapatikana ndani ya Tanzania lakini ajabu wananchi wake wengi ni maskini sana.

 

11 years ago

GPL

HATA KAMA... UNADHANI KUCHEPUKA NJE YA NDOA NDIYO DAWA?-2

NAMSHUKURU Mungu kwa mara nyingine tena kwa kunijaalia fursa hii ya kuzungumza nanyi wapenzi wasomaji wa safu hii. Jamani mambo vipi? Maandalizi ya sikukuu yanakwendaje? Natumaini mambo yanakwenda vizuri. Haya karibuni tena kwenye mambo ya malavudave, si unajua bila mapenzi hakuna maisha! Huo ndio ukweli. Huwezi kuishi kama jiwe au mti, raha ya maisha ni kuwa na mwenzi atakayekupenda kwa dhati na kutokuwa tayari kukusaliti kwa...

 

10 years ago

GPL

UNADHANI WANANCHI WAMEPATA ELIMU YA KUTOSHA JUU YA UGONJWA WA EBOLA?

Flora Mvungi:
Bado jitihada zaidi zinahitajika, wengi wao wanajua juujuu tu. Serikali inabidi itoe elimu zaidi. Wakati huohuo, serikali inapaswa kuwa makini na watu wanaotoka nchi zilizoathiriwa na ugonjwa huo ili kuzuia kuuingiza nchini. Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Herry Samir 'Blue' Herry Samir
’Mr. Blue’:Bado kabisa hakuna kitu kilichoeleweka, kuna wananchi ambao bado ujumbe haujawafikia vya… ...

 

11 years ago

Michuzi

WADAU WA SOKA WAMUNZI MAREHEMU OMARY CHANGA KWA BONANZA LA SOKA

Wadau mbali mbali wa mchezi wa Soka jijini Dar es Salaam,leo wamekutana pamoja kwenye viwanja vya Tabata Shule katika Bonanza la kumuenzi Marehemu Omary Changa (pichani) aliyewahi kuwa Mchezaji katika timu za Yanga,JKT Ruvu,Kagera Suger pamoja na Moro United aliefariki dunia mwezi uliopita.Bonanza hilo limefanyika maalum kwa ajili ya kuchangisha fedha za kuisaidia familia ya Marehemu Changa ikiwa ni pamoja na kuweza kufanikisha kisomo cha Arobaini yake.  Mshambuliaji wa Pembeni wa timu ya...

 

9 years ago

Mtanzania

Sema wewe

MMGL0630Na Waandishi Wetu, Mwanza

SEMA wewe. Ndivyo unavyoweza kutamka baada ya maelfu ya wakazi wa Jiji la Mwanza kujitokeza kumpokea mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA),   Edward Lowassa jana.

Vilevile, Jeshi la polisi mkoani hapa lililazimika kupiga mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa Chadema na vyama vingine vinayounda  UKAWA ambao walikuwa wamefurika uwanja wa ndege wa Mwanza.

Mabomu hayo yalianza kupigwa ya saa 6:20  mchana.  Mabomu hayo yalipigwa baada ya wafuasi hao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani