Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNAKARIBISHWA KATIKA MKUTANO MKUBWA WA KIROHO


umuia ya watanzania Wasabato walioko Marekani (Tanzania Adventists in the United States), inakualika katika mkutano mkubwa wa kiroho (TAUS Retreat 2015) unaonza leo hapa Washington DC. Wote mnawakaribishwa tujumuike na kumshukuru muumbaji wetu. TAREHE ZA MKUTANO: April 16 (5pm), mpaka April 19 (11am) MAHALI- Burnt Mills SDA Church; 10915 Lockwood Drive, Silver Spring MD 20901 MGENI RASMI: Mchungaji Wilbert Nfubhusa toka Kigoma, Tanzania. 
MOTO: Kufanana na Yesu
Karibuni sana, na Mungu...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MKUTANO MKUBWA WA KIROHO WASHINGTON DC

 Jumuia ya watanzania Wasabato walioko Marekani (Tanzania Adventists in the United States), kwa kifupi TAUS, itakuwa na mkutano mkubwa wa kiroho (TAUS Retreat 2015) unaoanza leo Washington DC. Viongozi wa TAUS wanawakaribisha watu wote wajumuike pamoja nao katika kumsifu na kumshukuru Mungu muumbaji wetu. TAREHE ZA MKUTANO: April 16 (saa 11 jioni), mpaka April 19 (saa 5 asubuhi) MAHALI- Burnt Mills SDA Church; 10915 Lockwood Drive, Silver Spring MD 20901 MGENI RASMI: Mchungaji Wilbert...

 

10 years ago

Vijimambo

Mkutano mkubwa wa kiRoho (TAUS retreat 2015) waanza Washington DMV

Mgeni Rasmi, Mchungaji Wilbert Nfubhusa akitoa Wazo la Jioni wakati wa uzinduzi wa Retreat hiyoMkutano mkubwa wa kiroho (TAUS Retreat 2015) ulioandaliwa na Jumuia ya waTanzania Wasabato walioko Marekani  (Tanzania Adventists in the United States) umeanza leo hapa Washington DC.
Utaendelea mpaka Jumapili.
Ijumaa na Jumamosi ni kuanzia saa 2 asubuhi mpaka saa 3 usiku kwa saa za Marekani ya Mashariki(8:00 am  - 9:00pm EST)
Anwani ni
Burnt Mills SDA Church; 
10915 Lockwood Drive, Silver Spring MD...

 

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO MKUBWA WA KIROHO KUENDELEA LEO JUMAMOSI DMV, BALOZI LIBERATA MULAMULA MGENI RASMI

 Mchungaji Wilbert Nfubhusa akiongoza mkutano wa kiroho siku ya Ijumaa April 17, 2015 mkutano ulioanza siku ya Alhamisi April 16, 2015 katika kanisa la Wasabato lililopo mtaa wa Lockwood Silver Spring, Maryland na kuhudhuriwa na Watanzania kutoka majimbo mbalimbali hapa Marekani. Leo Jumamosi April 18, 2015 Mhe. Balozi Liberata Mulamula anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mkutano huo unaotarajiwa kumalizika siku ya Jumapili April 19, 2015.Mchungaji Dr. Herry Mhando (kati karibu na kamera)...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZA MATUKIO YANAYOENDELEA KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI DMV


Mkutano mkubwa ulioandaliwa na kanisa la Cathedral of Praise unaendelea ukiwa katika hatua za mwishomwisho. Mkutano huo uliofanyika katika hotel ya Hampton iliyoko Baltimore ave College Park umefanyika kwa mafanikio ukishirikisha wahubiri kutoka states mbalimbali za hapa Marekani.

 

10 years ago

Dewji Blog

Kinana ahutubia mkutano mkubwa Tanga, awashukuru watanzania kuipatia CCM ushindi mkubwa uchaguzi serikali za mitaa

01

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa maalumu kwa ajili ya kuwapongeza wananchi kuwachagua viongozi wa CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyka nchini kote Desemba 14 mwaka jana. CCM imepata ushindi wa asilimia 81 nchi nzima.

Kinana amesema maeneo yote ambayo upinzania wameshinda na ushindi uliosababishwa na baadhi ya wana CCM NA ENDAPO WATAGUNDULIKA WAMEFANYA KUSUDI KUKIKOSESHA USHINDI CHAMA WATAWAJIBISHWA.

Katibu Mkuu wa...

 

10 years ago

Vijimambo

WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA WAFANYA MKUTANO MKUBWA JIJINI DAR ES SALAAM KUJAILI MCHANGO WA DIPLOMASIA KATIKA KUFIKIA DIRA YA TAIFA 2025

Mkutano wa Mabalozi wa Tanzania ulioanza Mei 25-27, 2015 katika hoteli ya Ramada, Dar es Salaam. Lengo kuu la mkutano huo ni kujadili utekelezaji wa Sera ya Mambo ya Nje na mchango wa Wizara kufikia Dira ya Taifa 2025. Mkutano huu ni wa nne kufanyika tangu ule wa kwanza uolifanyika mwaka 1999 katika hoteli ya Whitesands, Dar es Salaam.Kauli mbiu ya mkutano ni Diplomasia ya Tanzania Kuelekea Dira ya Taifa 2025. Ujumbe huo umechaguliwa kwa kuzingatia mchango wa Wizara ya Mambo ya Nje na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mkutano mkubwa wa albino wafanyika Dar

Viongozi wa vyama na mashirika ya watu wenye ulemavu wa ngozi kutoka nchi zaidi ya 30 za Afrika na Ulaya wanakutana kwa siku mbili Dar es Salaam, Tanzania.

 

10 years ago

Vijimambo

UNAKARIBISHWA KWENYE SHEREHE ZA EID EL FITR ZA PAMOJA DMV


Asalam Alaykum  Uongozi wa Tanzanian Muslims Community of Washington DC Metro (TAMCO) Una Furaha Kuwakaribisha  WaTanzania Wote katika Sherehe za Eid El Fitr, kuadhimisha Kumaliza kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Zitakazo Fanyika (Inategemea Kuandama kwa Mwezi)


Friday July 17, 2015


1.     Chai ya Asubuhi ya Pamoja, Baada ya Salat El Eid

Kuanzia Saa Tatu Asubuhi – Saa Nane Mchana 9AM-2PM


Wheaton Claridge Park 11901 Claridge Road

Wheaton,  MD 20902


2.     Sherehe za Eid za Jioni  

Kuanzia Saa Kumi na...

 

11 years ago

Michuzi

MAANDALIZI YA MKUTANO MKUBWA WA CPA JIJINI ARUSHA YAIVA

Katibu wa Bunge,Dk Thomas Kashililah(kulia) akiongozana na Wabunge ambao ni Wajumbe wa Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya Madola(CPA) na watumishi wa Bunge wakiwa kwenye Hoteli ya Ngurdoto Mountain Lodge, mkoani Arusha kwaajili ya maandalizi ya mkutano mkubwa wa 45 utakaofanyika mwezi huu. Katibu wa Bunge,Dk Thomas Kashililah(kulia) akishauliana na jambo na maafisa wa Hoteli ya Ngurdoto Mountain Lodge mkoani Arusha wakati wa ziara ya Wabunge ambao ni Wajumbe wa Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani