UNAKAZANA KUMUITA MUMEO ‘BABY’, VIPI HILI LA KUMUOGESHA?

Ni wiki nyingine tulivu tunakutana tena kupitia safu hii namba moja kwa kuandika makala zinazogusa maisha yetu ya kimapenzi. Ni matumaini yangu kuwa umzima na unaendelea vyema na mihangaiko yako ya kila siku ikiwa ni katika kujihakikishia maisha ya furaha na amani. Mpenzi msomaji wangu, wiki hii nitazungumzia mambo ambayo baadhi ya watu walio kwenye uhusiano huona kuyafanya wakiwa na wapenzi wao ni ushamba bila kujua faida...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies27 Jan
Faiza: Sipendi Kumuita Mpenzi Wangu “Baby” Napenda Kumuita...
Mwigizaji mrembo wa filamu hapa Bongo,Faiza Ally ameyasema hayo iliwa ni maoni yake juu ya swala la wapenzi kuitana baby.
“Leo kuna wakati nilikua nasikiliza Clouds fm nika sikia kuna wanaume hawapendi kuitwa baby!! wanahisi ni fake na wanaibiwa, kusema kweli mimi binafsi sipendi kumuita mwanaume mzima na akili zake na ndevu zake eti baby siwezi kutamka kwa sababu naona fake na mm mwenyewe sipendi kuitwa baby , kuna majina Mengi Kama honey ,darling mpenzi ni sawa japo mimi siyatumii pia...
10 years ago
Bongo Movies23 May
Lulu: Wanaonipenda Kweli, Wanafiki na Wale Baby Baby NAWAJUA
Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameandika haya kwenye ukurasa wake mtandaoni, bila shaka na wewe ANAKUJUA.
Mnaonipa Moyo na Kunipenda kiukweli....NAWAJUA
Wakuongea Nao Ya Moyoni....NAWAJUA
Wale wa kuni baby baby on IG kumbe Hakuna lolote....NAWAJUA
Wale mnajifanya shoulders to cry on ili mpate kunijua kirahisi...NAWAJUA ila SIWEZI KUWAPA HIYO CHANCE AISEEE...I'm Soleeeeee
Wale tunaochekeana kinafki...NAWAJUA I hope MNANIJUA PIA yani TUNAJUANA
Wale Waukweli kbsa ....NAWAJUA
10 years ago
Bongo503 Feb
Mwasiti amkana Misago, ni baada ya Diamond kumuita ‘muke halali ya Sam’
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Imran Khan akosolewa baada ya kumuita Osama Bin Laden mfiadini (shahidi)
10 years ago
Bongo Movies30 Nov
Wema Sepetu azua gumzo kwenye mtandao baada ya kumuita Diamond "kaka"
Huku macho na masikio ya wananchi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania yakiwa kwenye bunge la katiba linalojadili lile sakata la tegeta ESCROW, mwanadada Wema sepetu ameamua naye kuzua gumzo kwenye mtandao baada ya kutoa salamu ya pongezi kwa kijana Naseeb al maarufu kama Chibu dangote ama Diamond platnumz kwa ushindi wake wa tuzo 3 kwenye tuzo za Channel O MUSIC AWARDS zilizofanyika huko Afrika ya kusini akitumia neno KAKA katika sentensi yake kitu ambacho kimezua minong’ono ya hapa na pale...
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Viusi vya corona: Runinga ya Citizen nchini Kenya yasikitika kumuita rais Magufuli 'mkaidi'
9 years ago
Bongo526 Oct
Swizz Beatz ampongeza Diamond kwa kumuita ‘King’ baada ya kushinda tuzo za MTV EMA, soma pongezi za mastaa wengine hapa
10 years ago
Vijimambo24 Nov
NJIA 60 ZA KUMFURAHISHA MUMEO.
Katika mada yangu ya “njia 60 za kumfurahisha mkeo” niliahidi kuendelea na maudhui hii kwa kuwaletea mada ya “kumfurahisha mumeo”. Natangulisha shukrani kwa wale walioniandikia katika E-mail yangu na kupitia WhatsApp. Ifuatayo ni mada husika:
1. Anaporudi kutoka kazini, safarini au kwenye shughuli yoyote iliyowatengenisha, anza kwa salamu nzuri.
2. Unapompokea au kukutana naye basi fanya hivyo ukiwa na uso wa bashasha.
3. Vaa mavazi nadhifu. Jipambe na upake manukato kwa ajili yake.
4. Unapoanza...
10 years ago
GPL
SHOGA: MTOTO ASIKUTENGANISHE NA MUMEO!