Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNATAKA KUTOKA? FANYA NAO KOLABO UKIACHANA

 Bernard Paul 'Ben Paul'. UKIACHANA na vyombo vya muziki, kingine kinachombeba msanii ni ubora wa sauti yake na hata akiimba ‘live’ basi ladha yake hupenya zaidi kwenye masikio ya wasikilizaji. Tanzania tumejaaliwa kuwa na wasanii wazuri wenye sauti zenye mvuto lakini wengi wao hupotezea sanaa hiyo na kuamua kujikita katika maisha mengine ya kujitafutia kipato. Ali Kiba. Sabau kubwa inayowaondoa katika muziki ni kukatishwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Unataka followers wengi Instagram, fanya hivi

Labda kama wewe ni staa, lakini kama ni mtu wa kawaida, kupata followers wengi kwenye Instagram sio rahisi. Lakini haya ni mambo kadhaa ambayo ukifanya huenda followers wakaongezeka. 1. Caption Beyoncé huweka picha nzuri sana kwenye Instagram lakini kama angekuwa anaziwekea caption, zingependeza zaidi. Hata hivyo huyo ni staa tayari hivyo hili linaweza lisiwe na […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Wema Sepetu, Aunty Ezekiel na Shilole nao Wapokea Zawadi Kutoka Coca Cola

Hizi ni zawadi za vinywaji vya Coke vyenye majina ya watu mashughuri wa hapa bongo kutoka kampuni ya coca-cola .Leo hii waigizaji, Wema Sepetu, Aunty Ezekiel na Shilole  nao waepokea zawadi  za vinywaji  hivyo vya coke baada ya kutembelewe na  wawakilishi kutoka  kampuni hiyo ambapo majina ya wasanii  hao yakiwa yameandika kwenye makopo ya  vinywaji hivyo.

Jionee picha zao hapo juu

 

10 years ago

GPL

MAMA KANUMBA, UNAONAJE UKIACHANA NA LULU?

NImiaka mitatu sasa tangu  kufariki kwa Steven Kanumba, mmoja kati ya waigizaji mahiri waliojipatia mamia ya mashabiki kutokana na kazi zake nzuri. Kwa watu wake wa karibu, na pengine mashabiki wote, kifo chake kilikuwa ni cha ghafla na cha kushtua sana. Kwa tuliomfahamu kiasi, huu siyo tena wakati wa kurejea maisha yake, kwa sababu tulijua nini alitaka katika maisha yake ya uigizaji na kwa kiwango kikubwa, alielekea...

 

10 years ago

GPL

FANYA HIVI KUMPATA ANAYEKUFAA-2

Karibu katika muendelezo wa mada yetu tuliyoanza wiki iliyopita, mada yetu inajieleza hapo juu.Tulijifunza wiki iliyopita kabla ya kutafuta atakayekufaa na kukupenda, wewe binafsi unapaswa kufanya yafuatayo; Jiepushe na makundi
Umri wa kijana ndiyo pekee wenye changamoto nyingi sana katika uso wa dunia kama vile ; vishawaishi, tamaa, majaribu na mengineyo. Kama kijana unapaswa uchague watu wa kuwa nao usipende kufuata mkumbo...

 

10 years ago

GPL

FANYA HIVI KUMPATA ANAYEKUFAA

NIjambo la kumshukuru sana Mungu kwa wapenzi wasomaji wa XXlove kukutana tena, wiki iliyopita tulizungumzia juu ya hakuna haja ya kuhuzunika kwa kuachwa, bali jipe moyo kwa sababu utampata akupendaye. Leo napenda tujifunze namna ya kufanya ili kumpata atakayekufaa kama mwandani wako. Miongoni mwa fumbo ambalo majibu yake huwa ni magumu kwa mwanadamu ni suala la kumpata mtu anayefaa katika uhusiano wa kimapenzi kama mume au...

 

10 years ago

Tanzania Daima

SBL yazindua kampeni ya ‘Fanya Kweli’

KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia kinywaji chake cha Tusker Lager, imezindua kampeni mpya inayojulikana kwa jina la ‘Fanya Kweli’ ambayo itasaidia kujenga maisha ya mtu mmoja na Tanzania...

 

10 years ago

Mwananchi

Fanya haya upate mafanikio maishani

Wengi tunapenda mafanikio maishani. Ukiwa mfanyabiashara, mwajiriwa, kiongozi, mama wa nyumbani au mwanafunzi, lazima uwe na ndoto ya kufanikiwa kama sehemu ya kutimiza ndoto yako.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani