UNATAKA KUTOKA? FANYA NAO KOLABO UKIACHANA
![](http://api.ning.com:80/files/s7s9Z08DG1wlBQD2JmJehNEa9niK8mMCEVVDZsgRU*RdTXUBu-fhIrA-GUAkE4VsnRHSjy7n5qOEkKHObb*Shyi19TPcPGOm/10932191_1545721332379090_380810471_n.jpg?width=650)
Bernard Paul 'Ben Paul'. UKIACHANA na vyombo vya muziki, kingine kinachombeba msanii ni ubora wa sauti yake na hata akiimba ‘live’ basi ladha yake hupenya zaidi kwenye masikio ya wasikilizaji. Tanzania tumejaaliwa kuwa na wasanii wazuri wenye sauti zenye mvuto lakini wengi wao hupotezea sanaa hiyo na kuamua kujikita katika maisha mengine ya kujitafutia kipato. Ali Kiba. Sabau kubwa inayowaondoa katika muziki ni kukatishwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo505 Feb
Unataka followers wengi Instagram, fanya hivi
10 years ago
Vijimambo13 Mar
10 years ago
Bongo Movies12 Jan
Picha: Wema Sepetu, Aunty Ezekiel na Shilole nao Wapokea Zawadi Kutoka Coca Cola
Hizi ni zawadi za vinywaji vya Coke vyenye majina ya watu mashughuri wa hapa bongo kutoka kampuni ya coca-cola .Leo hii waigizaji, Wema Sepetu, Aunty Ezekiel na Shilole nao waepokea zawadi za vinywaji hivyo vya coke baada ya kutembelewe na wawakilishi kutoka kampuni hiyo ambapo majina ya wasanii hao yakiwa yameandika kwenye makopo ya vinywaji hivyo.
Jionee picha zao hapo juu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5NWu4P4n3xZ*6hoTJE3VTnbOf*aRuu*1fLuVcVnJUjXPjdV089i8hnlSuJBWfAIel0lAXDSSY0*33V4nYn-xzuX/MAMAWEMA.jpg)
MAMA KANUMBA, UNAONAJE UKIACHANA NA LULU?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx22VgQSVbRwpBANrUX6AZ1mtmB1QuWQfka*PRS6sTRvuxBFaXfBlt8y6ixBB7pv2PZ7E-hidlzsMqNIRSStMCgip/Lovez.jpg)
FANYA HIVI KUMPATA ANAYEKUFAA-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwoHlSwZjDeDUM-3oTAVEb2JGz0Xq4RvAv1Url3xh7zLRPBiuOCMkmyBeAhuHxTtUnaL2hiuKT9TfzsQ*-QC5oNh/Loves.jpg?width=650)
FANYA HIVI KUMPATA ANAYEKUFAA
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
SBL yazindua kampeni ya ‘Fanya Kweli’
KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia kinywaji chake cha Tusker Lager, imezindua kampeni mpya inayojulikana kwa jina la ‘Fanya Kweli’ ambayo itasaidia kujenga maisha ya mtu mmoja na Tanzania...
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Fanya haya upate mafanikio maishani