Unesco yahamasisha ujumbe wa amani #UchaguziMkuu2015
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog10 Nov
UNESCO yatoa ujumbe kuhusiana na Siku ya Sayansi Duniani
Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Bi Irina Bokova.
Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) Lenye makao yake makuu jijini Paris, Ufaransa kupitia Mkurugenzi wake Mkuu limetoa ripoti ya ujumbe wake kuelekea siku ya Sayansi Duniani kwa amani inayotarajia kuadhimishwa leo hii Novemba 10, Duniani kote.
Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO , Bi Irina Bokova, katika ujumbe wake, juu ya maadhimisho ya leo ameweza kugusia mambo mbalimbali:
“Hii Siku ya Sayansi Duniani kwa Amani na...
9 years ago
Michuzi10 Nov
UJUMBE WA MKURUGENZI MKUU WA UNESCO KUHUSIANA NA SIKU YA SAYANSI YA DUNIANI
![Irina_Bokova1](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/Irina_Bokova1.jpg)
Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) Lenye makao yake makuu jijini Paris, Ufaransa kupitia Mkurugenzi wake Mkuu limetoa ripoti ya ujumbe wake kuelekea siku ya Sayansi Duniani kwa amani inayotarajia kuadhimishwa leo hii Novemba 10, Duniani kote.
Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Bi Irina Bokova, katika ujumbe wake, juu ya maadhimisho ya leo ameweza kugusia mambo mbalimbali:
"Hii Siku ya Sayansi Duniani kwa Amani na Maendeleo...
10 years ago
Dewji Blog08 Jun
Ujumbe wa Bi. Irina Bokova, Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO Siku ya Bahari Duniani
Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Bi Irina Bokova.
DUNIA endelevu haiwezi kuwapo kama hakutakuwepo na bahari yenye kuendeleza uhai.
Miezi michache kabla ya kufanyika kwa kongamano la kihistoria la COP21 (21st Conference of the Parties to the United Nations Framework Convention on Climate Change) la kutengeneza ajenda mpya ya maendeleo endelevu, ujumbe huu ulikuwa hauna tija.
Lakini sasa ujumbe huu una tija sana na muhimu sana.
Iwe nchi iko mbali na bahari au karibu, kila nchi na kila aina ya...
9 years ago
Dewji Blog12 Oct
Msajili wa Vyama vya Siasa: Mrisho Mpoto na Christina Shusho kuwa mabalozi wa kubeba ujumbe wetu wa amani wa “AMANI YETU FAHARI YETU”
Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi (katikati) akizungumza na vyombo vya habari mapema leo Oktoba 12 juu ya kuhamasisha Amani pamoja na kuwatangaza rasmi wasanii Mrisho Mpoto (kulia) na Christine Shusho (kushoto) kuwa mabalozi wa amani wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa katika kipindi hiki cha Uchaguzi mkuu, huku wakibeba ujumbe wa “AMANI YETU FAHARI YETU”. (Picha zote na Andrew Chale wa Modewjiblog).
Picha tatu za Jaji Mutungi zikionyesha msisitizo wa suala la Amani...
9 years ago
Dewji Blog06 Oct
UNESCO yawakutanisha wadau kujadili amani uchaguzi mkuu
Katibu Mkuu wa Baraza la Mahedhebu kwaajili ya Amani,Mchungaji,Canon Thomas Godda akizungumza katika kongamano la Amani lililoandaliwa na shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu,Sayansi na Utamaduni (UNESCO)kwa kushirikiana na madhehebu ya Dini na Viongozi wa Mila ili kuhamasisha amani katika kipindi cha uchaguzi na baada ya uchaguzi.
Na Mwandishi wetu, Simanjro
Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia na Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) limekutanisha wadau mbalimbali...
10 years ago
MichuziMasauni Akibidhiwa Cheti cha Mchangio wake kwa Vijana Dhidi ya Amani kutoka UNESCO NA YUNA
BOFYA...
10 years ago
Dewji Blog08 Apr
Mhe Masauni akibidhiwa cheti cha mchangio wake kwa vijana dhidi ya amani kutoka UNESCO na YUNA
9 years ago
Dewji Blog24 Oct
Video ya Ujumbe wa Amani kutoka LHRC
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeendeleza dhamira yake ya kujenga jamii inayozingatia Haki na Usawa kwa kutoa ujumbe wa dakika moja unaohimiza Amani kwa watanzania katika kipindi hiki cha uchaguzi.
Tazama video ya ujumbe huo hapa upate kuhamasika na kushiriki na Watanzania wengine wapenda Amani.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-X9YOr0K4kSU/XlabsjmLmtI/AAAAAAALfnA/kEW2KTeM1iEhbgebDNgsk40t52fTWPixACLcBGAsYHQ/s72-c/2f26c27f-081f-4f28-8350-68dc20257ed6.jpg)
Kamati ya Amani Mkoa wa Mbeya yaahidi Kupeleka ujumbe kwa waumini.
Viongozi hao
Wameyasema hayo walipokuwa semina ya kuelimisha jinsi ya kujikinga na uhalifu wakati wa kutumia huduma za mawasiliano ikiwa ni sehemu ya kampeni ya Sirubiniki Mjanja haingizwi chaka inayolenga katika kuelimisha umma ya...