Uongozi wa Diamond wazungumzia kauli ya Alikiba Instagram
Baada ya Alikiba kupost ujumbe katika Instagram akidai kuwepo na mambo yanayoendelea nyuma ya pazia kwenye muziki wake na wengi kutafsiri amelalamikia kukosa tuzo za Afrima, uongozi wa Diamond aliyeshinda tuzo tatu umezungumza.
Akizungumza katika pindi cha XXL cha Clouds FM, mmoja kati ya mameneja wa Diamond, Babu Tale alisema walisikitishwa na ujumbe huo.
“Mimi naona asiyekubali kushindwa sio mshindani,” alisema. “Hata sisi tumeshawahi kuingia kwenye tuzo ambazo na yeye aliongea maneno...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo517 Nov
Alikiba atolea ufafanuzi post ya ‘utata’ aliyoandika Instagram, na ampongeza Diamond kwa ushindi wa AFRIMA
![12120276_163762000643678_1906855536_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12120276_163762000643678_1906855536_n1-300x194.jpg)
Alikiba ametolea ufafanuzi post yake ya Instagram iliyozua mjadala kwa mashabiki mbalimbali wa muziki ambao waliipokea kwa hisia tofauti.
Siku ya Jumatatu Nov.16 Muimbaji huyo wa single mpya ‘Nagharamia’ aliandika, “Asanteni sana najua mmepiga kura sana lakini nilikuja kugundua baada ya kufuatilia kuwa kuna mambo yanaendelea ya watu wanadiriki hata kupoteza pesa zao kwaajili yangu ila nawaomba fans msinielewe vibaya I will always be there for you #hapakazitu #kingkiba,” post ambayo baadae...
11 years ago
Bongo506 Aug
Alikiba atoa sababu ya kuunfollow watu wote kwenye Instagram
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VKfK12aD*TX5q1m7kQNKOI5-LGb4CNH3-CptmeA7Py1kTeZ3pphghNlBmLw*k3NNKLqp5Le7lbQmSn2FQK--1wzThMEtaoFJ/tempFileForShare.jpg)
ZARI UTUPIA NENO LA DIAMOND INSTAGRAM!
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/diamond-pic-2.jpg)
DIAMOND AFIKISHA MASHABIKI MIL. 1 INSTAGRAM
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Kopa kufanya kolabo na Alikiba, Diamond
MALKIA wa mipasho nchini, Khadija Kopa, amesema katika kuchanganya ladha ya muziki kwa wapenzi wake, amepanga kufanya kolabo na wasanii wa muziki wa kizazi kipya, wakiwemo Alikiba na Diamond Platinumz....
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Alikiba asishindane na Diamond, ajipange vizuri
EID Mubarak msomaji wa safu ya busati inayokujia siku yaleo. Baada ya salaam, mpendwa msomaji ni wazi ndani ya wiki iliyopita msanii Ali Kiba, alisema hana bifu na Naseeb Abdul’...
9 years ago
Bongo524 Oct
Akaunti ya Instagram ya Diamond Platnumz yawa ‘verified’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qmsUgHzH5lMW6OROGs8NK6JpTmoMwk-lHTzWwjCXhJkPGTGTxYWdLc3yqkvi4mX15iWCdsQg073bQILSfxAdw9Bn4enBGVwJ/10948950_321686791362831_755237401_n.jpg)
DIAMOND AFIKISHA FOLLOWERS LAKI TANO INSTAGRAM