Alikiba asishindane na Diamond, ajipange vizuri
EID Mubarak msomaji wa safu ya busati inayokujia siku yaleo. Baada ya salaam, mpendwa msomaji ni wazi ndani ya wiki iliyopita msanii Ali Kiba, alisema hana bifu na Naseeb Abdul’...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Kopa kufanya kolabo na Alikiba, Diamond
MALKIA wa mipasho nchini, Khadija Kopa, amesema katika kuchanganya ladha ya muziki kwa wapenzi wake, amepanga kufanya kolabo na wasanii wa muziki wa kizazi kipya, wakiwemo Alikiba na Diamond Platinumz....
9 years ago
Bongo518 Nov
Uongozi wa Diamond wazungumzia kauli ya Alikiba Instagram
Baada ya Alikiba kupost ujumbe katika Instagram akidai kuwepo na mambo yanayoendelea nyuma ya pazia kwenye muziki wake na wengi kutafsiri amelalamikia kukosa tuzo za Afrima, uongozi wa Diamond aliyeshinda tuzo tatu umezungumza.
Akizungumza katika pindi cha XXL cha Clouds FM, mmoja kati ya mameneja wa Diamond, Babu Tale alisema walisikitishwa na ujumbe huo.
“Mimi naona asiyekubali kushindwa sio mshindani,” alisema. “Hata sisi tumeshawahi kuingia kwenye tuzo ambazo na yeye aliongea maneno...
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
Alikiba: Diamond hawezi kuziba nafasi yangu
MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ali Kiba, amesema msanii mwenzake wa muziki huo, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ hawezi kuziba nafasi yake. Kauli hiyo ya Alikiba imekuja baada ya...
10 years ago
Bongo520 Aug
Alikiba azungumzia uwezekano wa kufanya wimbo na Diamond Platnumz
11 years ago
Bongo502 Aug
Audio: G-Lover azungumzia tofauti iliyopo kati ya Diamond na Alikiba
10 years ago
Bongo507 Feb
Alikiba kuhusu collabo na Diamond: Nikiwa na wimbo unaomfaa ntamshirikisha