Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upanga need to reassess progress

Dar es Salaam’s Upanga Darts Club (UDC)’s big gun status at the regional level of the sport is something that can hardly been disputed by any of darts followers in the city.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Muhimbili-Upanga yanyakua makombe 2, Mloganzila yajipatia 1





Mkurugenzi wa Huduma za Tiba katika Hospitali ya Taifa (MNH), Dkt. Hedwiga Swai akikabidhi kombe kwakiongozi wa timu ya mpira wa pete, Bi. Kuruthumu Kudra
baada ya timu ya MNH kuichabanga timu ya Muhimbili-Mloganzila mabao 16-11. Kushoto ni Kaimu NaibuMkurugenzi Mtendaji wa Muhimbili-Mloganzila, Dkt. Julieth
Magandi.Wachezaji wa timu ya mpira wa miguu...

 

11 years ago

Michuzi

shimozzz upanga mbele ya shule ya Sekondari Tambaza

Kadri siku zinavyozidi kwenda na simo hili linazidi kushika kasi ya kuendelea kuchimbika,jambo ambalo linaweza sababisha madhara makubwa hapo baadae.Shimo hili lipo usoni kabisa mwa Shule ya Sekondari Tambaza,Upanga jijini Dar.

 

10 years ago

Michuzi

JK ashiriki Sala ya EID El Hajj Upanga Dar es Salaam

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu muda mfupi baada ya kuswali sala ya Iddi El Hajj katika msikiti wa Maamur Upanga jijini Dar es Salaam leo asubuhi.

 

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA YA ANGA LA UPANGA,MNAZI MMOJA NA KARIAKOO MCHANA WA LEO


Pichani ni Mwonekano wa Anga la DSM maeneo ya fire,Mnazimmoja na Upanga.Picha na Sanga festo wa www.sangafesto.blogspot.com

 

10 years ago

GPL

KIBAKA ALA KICHAPO KWA WIZI WA TAA ZA GARI UPANGA, DAR

Kibaka aliyetaka kuiba taa za gari akiwa amefungwa kamba sambamba na vifaa vyake vya uhalifu. Taa ya gari ambayo tayari ilikuwa imefunguliwa na kibaka huyo.…

 

10 years ago

CloudsFM

MTI MKUBWA WAANGUKA MCHANA HUU NA KULETA MADHARA MAENEO YA SEA VIEW,UPANGA

Mti mkubwa waanguka mchana wa leo na kuleta madhara maeneo ya Sea View,Upanga,jijini Dar. Chanzo cha kuanguka kwa mti huo ni kutokana na ukongwe wa mti huo.

Source: Michuzi

 

9 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO AFANYA USAFI NA WANANCHI WA UPANGA MASHARIKI



Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel aliyeshika koleo akishiriki zoezi la usafi na wananchi wa Kata ya Upanga mashariki ikiwa ni kuitikia wito wa
kutikia agizo la Mh. Rais John Pombe Magufuli la kufanya usafi siku ya Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Tanzania .

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel aliyeshika toroli akishiriki zoezi la usafi na wananchi wa Kata ya Upanga mashariki ikiwa ni...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wafanyakazi Wizara ya Habari watembelea Kituo cha Utamaduni wa Watu wa China Upanga jijini Dar es Salaam

PIX4

Watumishi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakiongozwa na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko (Mwenye shati la batiki) wakiangalia baadhi ya vitabu katika maktaba ya  Kituo cha Utamaduni wa Watu wa China kilichopo Upanga jijini Dar es Salaam jana.

PIX5

Baadhi ya watumishi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakijisajili kwa ajili ya Kozi fupi za Lugha ya Kichina inayotolewa na Kituo cha Utamaduni wa Watu wa China kilichopo Upanga jijini...

 

9 years ago

Michuzi

EXPRESSION OF INTEREST JOINT DEVELOPMENT OF PLOT NUMBER 552 IN UPANGA AND PLOTS NUMBER 296 - 299 IN MIKOCHENI, DAR ES SALAAM


EXPRESSION OF INTERESTJOINT DEVELOPMENT OF PLOT NUMBER 552 IN UPANGA AND PLOTS NUMBER 296 - 299 IN MIKOCHENI, DAR ES SALAAM
The ELCT-ECD Investment Trust is a commercial entity of the Registered Trustees of The Evangelical Lutheran Church in Tanzania (ELCT) - Eastern and Coastal Diocese (ECD). The core objectives of the Trust are:-To be the vehicle that will be used to achieve greater investment by the ELCT-ECD for its well being so as to support itself financially, to advice the  ELCT-ECD...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani