Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muhimbili-Upanga yanyakua makombe 2, Mloganzila yajipatia 1





Mkurugenzi wa Huduma za Tiba katika Hospitali ya Taifa (MNH), Dkt. Hedwiga Swai akikabidhi kombe kwakiongozi wa timu ya mpira wa pete, Bi. Kuruthumu Kudra
baada ya timu ya MNH kuichabanga timu ya Muhimbili-Mloganzila mabao 16-11. Kushoto ni Kaimu NaibuMkurugenzi Mtendaji wa Muhimbili-Mloganzila, Dkt. Julieth
Magandi.Wachezaji wa timu ya mpira wa miguu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AZINDUA UJENZI WA HOSPITALI KUBWA NA YA KISASA YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI KISASA KIJIJINI MLOGANZILA

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na Balozi wa Korea nchini Mhe. Chung IL wakikata utepe kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa Hospitali kubwa na ya kisasa ya Chuo Kikuuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili kijijini Mloganzila maeneo ya Kwembe, Kilometa 24 kutoka jijini Dar es salaam, baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa hospitali hiyo itakayokuwa kubwa kuliko zote nchini leo April 24, 2014. Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na Balozi wa Korea nchini Mhe. Chungh...

 

11 years ago

Michuzi

MAGUFULI AKAGUA MIZANI YA KISASA YA VIGWAZA MKOANI PWANI PAMOJA NA UJENZI WA BARABARA YA KIBAMBA-KWEMBE-MAKONDEKO (17KM) ITAKAYOPITA KATIKA CHUO KIKUU CHA MUHIMBILI, MLOGANZILA, KIBAMBA

 Mhandisi kutoka Wakala wa Barabara Nchini TANROADS Ndugu Kileo akimuonesha Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli jinsi Mzani mpya wa Vigwaza utakavokuwa ukipima magari wakati yakitembea tofauti na mizani mingine nchini. Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia kazi ya ujenzi  inayofanyika katika Chuo Kikuu cha Muhimbili kilichopo katika eneo la Mloganzila Kibamba nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Dkt. Magufuli alipita hapo mara baada ya kukagua...

 

11 years ago

BBCSwahili

Al-Ahly vinara wa makombe

Al-Ahly ya Misri imeandikisha rekodi ya kutwaa makombe 19 ya kimataifa na kuipiku AC Milan ya Italia yenye makombe 18

 

11 years ago

BBCSwahili

Bayern yazidi kujitwalia makombe 2013

Mabingwa wa Ujerumani Bayern Munich ni mabingwa wa dunia baada ya kuicharaza Raja Casablanca ya Morocco.

 

11 years ago

TheCitizen

Upanga need to reassess progress

Dar es Salaam’s Upanga Darts Club (UDC)’s big gun status at the regional level of the sport is something that can hardly been disputed by any of darts followers in the city.

 

11 years ago

Michuzi

shimozzz upanga mbele ya shule ya Sekondari Tambaza

Kadri siku zinavyozidi kwenda na simo hili linazidi kushika kasi ya kuendelea kuchimbika,jambo ambalo linaweza sababisha madhara makubwa hapo baadae.Shimo hili lipo usoni kabisa mwa Shule ya Sekondari Tambaza,Upanga jijini Dar.

 

10 years ago

Michuzi

JK ashiriki Sala ya EID El Hajj Upanga Dar es Salaam

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu muda mfupi baada ya kuswali sala ya Iddi El Hajj katika msikiti wa Maamur Upanga jijini Dar es Salaam leo asubuhi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uholanzi yanyakua nafasi ya 3 Brazil

Uholanzi iliilaza Brazil mabao matatu kwa nunge na kunyakua nafasi ya 3 katika kombe la dunia huko Brazil

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani