Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upungufu uliojitokeza Serikali ya Rais Kikwete

Utawala wa miaka 10 wa Jakaya Kikwete ulimalizika Novemba 5, 2015 baada ya mrithi wake Dk John Magufuli kuapishwa. Dk Magufuli anasifiwa, Kikwete analaumiwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete akiri upungufu wa madaktari nchini, aahidi kutatua

Rais Jakaya Kikwete, amesema tatizo la upungufu wa madaktari nchini ni kubwa lakini akasema Serikali imejipanga na kuweka mikakati kabambe ya kulitatua.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Serikali ijipange kuukabili upungufu fedha za Ukimwi

Katika toleo letu la jana (Julai 11,2015), ukurasa wa 12, kulikuwa na habari iliyokuwa na kichwa kisemacho “wafadhili wapunguza fedha za Ukimwi

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rais Kikwete ametujaza hofu serikali tatu

WATANZANIA tulisubiri hotuba ya Rais Jakaya Kikwete ya kulifungua Bunge Maalumu la Katiba kwa hamu. Kulikuwa na sababu nyingi za kuisubiri hotuba hii ya ufunguzi wa Bunge Maalumu la Katiba,...

 

11 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete aahidi Serikali kuajiri mahakimu 600

Rais Jakaya Kikwete amesema serikali inakusudia kuboresha utendaji wa mahakama nchini kwa kuongeza ajira na kuendelea kufanyia mabadiliko sheria ambazo zimepitwa na wakati.

 

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI YATOA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MAABARA YA TAIFA YA AFYA YA JAMII NA KUBAINI UPUNGUFU MBALIMBALI


Na WAMJW – Dar es Salaam
Serikali imetoa ripoti ya uchunguzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii iliyoko ofisi za Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binaadam (NIMR) jijini Dar es Salaam na kubaini mapungufu mbalimbali ya kiutendaji yaliyokuwepo katika maabara hiyo.
Akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo leo jijini Dar es Salaam, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mheshimiwa Ummy Mwalimu ametaja mapungufu yaliyobainishwa na kamati hiyo kuwa moja kati ya mashine...

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI MPYA HAITABADILISHA UHUSIANO WA TANZANIA NA MAREKANI- RAIS KIKWETE

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS



TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIwa Tanzania na Marekani

·         Aiomba Serikali ya Marekani kuendelea kuiunga mkono Serikali mpya kama ilivyofanya kwake

·         Aishukuru kwa misaada iliyobadilisha maisha ya Watanzania katika miaka 10 ya uongozi wake


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameihakikishia Serikali ya Marekani kuwa uhusiano kati ya nchi hizo mbili hautabadilika na kuwa...

 

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AMWAPISHA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI IKULU DAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete, akimwapisha George Mcheche, kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, wakati wa hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam, leo mchana. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete, akisaini nyaraka wakati wa hafla fupi ya kumwapisha, George Mcheche, kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kwenye hafla hiyo… ...

 

10 years ago

GPL

UONGOZI WA UMOJA WA WENYEVITI SERIKALI ZA MTAA KUONANA NA RAIS KIKWETE

Mwenyekiti wa Mtaa wa Mtambani 'A' Kata ya Jangwani, Ally Sultan Hamed (katikati), Habiba Mondoma Katibu wa Umoja wa wenyeviti wa serikali za mtaa (kushoto) pamoja na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kigogo-Mbuyuni, Baraka James wakiwa katika mkutano na wanahabari (hawapo pichani). Wanahabari wakifuatilia tukio. Baadhi ya wenyeviti wa…

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI ITAWACHUKULIA HATUA ZA KISHERIA WATAKAOKAIDI AGIZO LA NEC - RAIS KIKWETE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) amewataka wananchi wote wenye haki ya kupiga kura kuhakikisha wanaheshimu maagizo ya Tume ya Uchaguzi ya kuwataka waondoke katika vituo vya kupigia kura mara baada ya kumaliza zoezi la upigaji kura.
Rais Kikwete Amesema kuwa wenye jukumu la kukaa kituoni ni Mawakala wa wagombea na sio wapiga kura wote kama inavyodaiwa na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa.Rais Kikwete ametoa kauli hiyo leo mjini Dodoma wakati wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani