Upungufu wataalamu wa Hisabati kwadumaza uchumi
TANZANIA inakabiliwa na changamoto kubwa ya upungufu wa wataalamu wa Hisabati katika masuala ya mabadiliko ya hali ya hewa, uchumi na mambo ya fizikia, sababu inayochangia kuporomoka na kudumaa kwa uchumi wa Taifa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV25 Nov
 Wataalamu wa ujenzi wamuunga mkono Rais Magufuli katika maendeleo ya uchumi
Rais wa chama cha wakadiriaji majenzi Tanzania amesema Udhibiti wa gharama za ujenzi katika miradi mbalimbali ya Serikali ni jambo la msingi katika kukua kwa maendeleo ya kiuchumi kwa nchi yeyote duniani.
Hayo yameelezwa na Rais wa chama cha wakadiriaji majenzi Tanzania TIQS Samuel Marwa wakati wa mkutano mkuu wa mwaka uliofanyika jijini Dar es salaam.
Rais wa chama cha wakadiriaji majenzi, Samuel Marwa amesema Tanzania bado inakabiliwa na uchache wa wataalamu hao kwani vyuo vinavyotoa...
5 years ago
Michuzi
Wataalamu wa Sekta ya Rasilimali Watu na Wadau wa Sekta ya Uchumi Kukutana Mtandaoni

Semina hiyo itafanyika Jumanne, Mei 12, 2020 kwa njia...
11 years ago
Habarileo10 Oct
Vinara hisabati kusomeshwa China
SERIKALI ya China itadhamini wanafunzi bora 10 wa kidato cha sita watakaofanya vizuri katika somo la hisabati kwa kuwa inaamini maendeleo yatategemea ukuaji wa sayansi na teknolojia miongoni mwa vijana.
11 years ago
Habarileo28 Jul
Taasisi ya kufundisha hisabati yaja
SERIKALI inatarajia kusaini makubaliano ya awali (MOU) na Taasisi ya Masuala ya Sayansi ya Hesabu Afrika (AIMS), yatakayoiwezesha taasisi hiyo kuanzisha kampasi yake hapa nchini itakayofundisha na kuendeleza masomo ya Hisabati na Sayansi.
10 years ago
Vijimambo
Mwanafunzi aliyefunika hisabati darasa la 7

Mwanafunzi bora wa somo la Hisabati katika mitihani ya taifa ya darasa la saba iliyofanyika nchini Septemba mwaka huu, Rachel Kiunsi (13), ameeleza siri ya mafanikio yake kuwa ni kujituma katika masomo na kuwaheshimu walimu.
Akizungumza na NIPASHE kwa njia ya simu jana kutoka mkoani Singida, Rachel ambaye alikuwa anasoma shule ya msingi Kimara 'B', jijini...
11 years ago
Mwananchi28 Aug
Walimu 100 kujadili maendeleo ya Hisabati
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
11 years ago
Mwananchi19 Sep
Walimu wa hisabati, sayansi wapigwa ‘tafu’
10 years ago
GPLWANAFUNZI WAADHIMISHA SOMO LA HISABATI NCHINI