Vinara hisabati kusomeshwa China
SERIKALI ya China itadhamini wanafunzi bora 10 wa kidato cha sita watakaofanya vizuri katika somo la hisabati kwa kuwa inaamini maendeleo yatategemea ukuaji wa sayansi na teknolojia miongoni mwa vijana.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo14 Jul
Walimu kusomeshwa
WALIMU nchini watanufaika kwa mara nyingine kwa kusomeshwa na Serikali katika masomo ya ngazi mbalimbali ikiwemo uzamili na uzamivu katika awamu ya pili ya Mradi wa Sayansi, Teknolojia na Elimu ya Juu (STHEP) ulio chini ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.
11 years ago
Habarileo24 Jul
Waliopata daraja la kwanza kusomeshwa bure ualimu
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imewahakikishia wahitimu wa Kidato cha Nne mwaka huu waliofaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza na kuamua kusomea ualimu wa Sayansi ngazi ya Stashahada, watasomeshwa bure.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-KwmS1foBlH8/VFxwthRxx6I/AAAAAAADMik/QSDl6N5rX-k/s72-c/RacheKiunsi-November7-2014.jpg)
Mwanafunzi aliyefunika hisabati darasa la 7
![](http://1.bp.blogspot.com/-KwmS1foBlH8/VFxwthRxx6I/AAAAAAADMik/QSDl6N5rX-k/s1600/RacheKiunsi-November7-2014.jpg)
Mwanafunzi bora wa somo la Hisabati katika mitihani ya taifa ya darasa la saba iliyofanyika nchini Septemba mwaka huu, Rachel Kiunsi (13), ameeleza siri ya mafanikio yake kuwa ni kujituma katika masomo na kuwaheshimu walimu.
Akizungumza na NIPASHE kwa njia ya simu jana kutoka mkoani Singida, Rachel ambaye alikuwa anasoma shule ya msingi Kimara 'B', jijini...
11 years ago
Habarileo28 Jul
Taasisi ya kufundisha hisabati yaja
SERIKALI inatarajia kusaini makubaliano ya awali (MOU) na Taasisi ya Masuala ya Sayansi ya Hesabu Afrika (AIMS), yatakayoiwezesha taasisi hiyo kuanzisha kampasi yake hapa nchini itakayofundisha na kuendeleza masomo ya Hisabati na Sayansi.
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Walimu wa hisabati, sayansi wapigwa ‘tafu’
10 years ago
Habarileo13 Mar
Upungufu wataalamu wa Hisabati kwadumaza uchumi
TANZANIA inakabiliwa na changamoto kubwa ya upungufu wa wataalamu wa Hisabati katika masuala ya mabadiliko ya hali ya hewa, uchumi na mambo ya fizikia, sababu inayochangia kuporomoka na kudumaa kwa uchumi wa Taifa.
10 years ago
GPLWANAFUNZI WAADHIMISHA SOMO LA HISABATI NCHINI
10 years ago
Mwananchi28 Aug
Walimu 100 kujadili maendeleo ya Hisabati