USHIRIKI WA LOWASSA VITANI WAIBUA GUMZO

Waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa. Na Mwandishi Wetu USHIRIKI wa waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa katika vita vya kumng’oa Nduli Idd Amin wa Uganda mwaka 1978/79 umeibua gumzo kufuatia madai ya katibu mkuu wa zamani wa CCM, Yussuf Makamba kushabihiana na ya Makongoro Nyerere aliyedai kuwa hakuwahi kumwona mstari wa mbele. Rais wa awamu ya kwanza wa Tanzania, Mwl. J.K Nyerere na makamanda wa Jeshi. Katika mkutano...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
KAMPENI ZA URAIS… JK, LOWASSA SASA VITANI RASMI
10 years ago
GPL
LOWASSA AWA GUMZO UPYA!
10 years ago
GPL
STAILI YA KAMPENI YA LOWASSA YAZUA GUMZO
10 years ago
GPL
LOWASSA AWA GUMZO UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
10 years ago
Vijimambo
Kauli ya LOWASSA Yaleta Gumzo 'Maskini Akienda IKULU Ataiba si Ndio? Tajiri Akienda Ikulu Atawapa watu Mbinu za Utajiri'

Kweli au si kweli? Maskini akienda IKULU ataiba si ndio? Tajiri akienda Ikulu atawapa watu mbinu za utajiri....ama, maskini akienda ataongoza kwa kuelewa matatizo ya wananchi wake na kuwapa kipaumbele...na tajiri yeye hatajali kundi la maskini wanahitaji nini maana hajui umaskini unafananaje?? Vyovyote vile!! Bado tunasikiliza na kupima sera za wagombea wote...
10 years ago
Mwananchi24 Sep
Utafiti Twaweza waibua maswali 14
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Ushindi Sombetini waibua shangwe
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Ushuru waibua sintofahamu Moshi
11 years ago
Mwananchi14 Jul
Waliofutiwa leseni waibua mapya