USHIRIKIANA WATAJWA

Stori: Haruni Sanchawa na Imelda Mtema KIFO cha ghafla cha mtoto Suleiman Rajabu (17) aliyekuwa na tatizo la mguu mmoja kuvimba tangu utoto kilichotokea Desemba 6, 2013 nyumbani kwao, Kitunda-Kivule ‘Bombambili’, Dar kimeibua mengi, lakini zito ni ushirikina kuhusishwa, Uwazi limeambiwa. Suleiman ilikuwa apelekwe India kwa matibabu, Desemba 8, 2013. Maandalizi yote ya safari yalishakamilika. Baadhi ya ndugu...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
MWISHO WA DUNIA WATAJWA
11 years ago
GPL
Wanaoivuruga Simba SC watajwa
11 years ago
GPL
Adui 5 wa Maximo watajwa
11 years ago
Habarileo01 Aug
Watuhumiwa mabomu Arusha watajwa
WATUHUMIWA 19 wa ulipuaji mabomu mkoani Arusha, majina yao yamewekwa hadharani jana na leo wanatarajiwa kufikishwa mahakamani kujibu mashitaka yanayowakabili. Watuhumiwa hao ni pamoja wanaodaiwa kuhusika katika ulipuaji wa bomu katika viwanja vya Soweto, wakati wa mkutano wa kufunga kampeni za udiwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) uliofanyika Juni 15, 2013.
11 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Wanasiasa watajwa kikwazo CHF
BAADHI ya wanasiasa mkoani Rukwa, wametajwa kuwa sehemu ya kikwazo cha kutofanikiwa kwa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) kwa kile kilichodaiwa kuwakataza wananchi kuchangia gharama. Mratibu wa CHF Mkoa,...
10 years ago
Dewji Blog07 Nov
Stars watakaoivaa Swaziland watajwa
Na Mwandishi wetu
Kocha mkuu wa Taifa stars Mart Nooij (pichani) ametangaza kikosi cha wachezaji 24 kwa ajili ya mechi ya kalenda ya shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu FIFA dhidi ya Swaziland itakayochezwa Novemba 16 mwaka huu jijini Mbabane.
Akizungumza jijini Dar es salaam Nooij amesema kikosi hicho kitaingia kambini novemba 10 mwaka huu na kitafanya mazoezi kwenye uwanja wa Gymkhana.
Amesema kuwa Novemba 11 mwaka huu Taifa Stars itaondoka kwenda afrika kusini ambapo itaweka...
11 years ago
Michuzi
WACHEZAJI MABORESHO STARS WATAJWA

Wachezaji hao ni kipa Benedicto Tinoko Simwanda (Temeke), mabeki wa kati; Emma Namwondo Simwanda (Temeke) na Joram Nason Mgeveje (Iringa). Walinzi wa pembeni ni Omari Ally Kindamba (Temeke), Edward Peter Mayunga (Kaskazini Pemba) na Shiraz Abdallah Sozigwa (Ilala).
Viungo ni Yusuf Suleiman Mlipili (Temeke),...
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Waliokufa mafuriko Dar watajwa
POLISI jijini Dar es Salaam imewataja watu 10 waliokufa kutokana na mafuruko yaliyotokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Jeshi la Polisi...
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Kashfa ya ESCROW vigogo watajwa TZ